Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
[emoji15] [emoji15] [emoji382] [emoji382]We ndo kichwa maji ufalme ni mpk awe mwanaume unajua maana ya ufalme kweli ww kanjanja......afu sijasema mfalme nimesema ufalme ebu jaribu kuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji382] [emoji382]We ndo kichwa maji ufalme ni mpk awe mwanaume unajua maana ya ufalme kweli ww kanjanja......afu sijasema mfalme nimesema ufalme ebu jaribu kuelewa
Umeniwahi mkuu. Nilitaka niwape za uso. Wanalazimisha kingdom iwe Queendom. Sijui walishawahi kuisikia wapi!!We ndo kichwa maji ufalme ni mpk awe mwanaume unajua maana ya ufalme kweli ww kanjanja......afu sijasema mfalme nimesema ufalme ebu jaribu kuelewa
Kumbe diamond ni malikia aiseeeNick Minaj na ufalme wapi na wapi? Au tuseme Ray Van ameumaliza umalkia wa Diamond
Rudi darasani afu uje hapa tena... usikurupuke tu umetoka kuchezewa huko unaandika upupu hapa...We ndo kichwa maji ufalme ni mpk awe mwanaume unajua maana ya ufalme kweli ww kanjanja......afu sijasema mfalme nimesema ufalme ebu jaribu kuelewa
roma hizo akil za bange hahahahahNick Minaj na ufalme wapi na wapi? Au tuseme Ray Van ameumaliza umalkia wa Diamond
Mkuu usisahau kuwa diss song ndo huwa zinamshusha msanii cku zote endapo utaloose hiyo battle, nakumbuka Ja rule alivyo potezwa jumla na 50 cent, au Drake alivompoteza meek mill kipindi kile, na kweny hip hop diss ndo huwa zinaweza kuhamisha mashabiki kutoka upande mmoja adi mwengine. Kibongo bongo ndo huwa hatufatilii sana iz diss song lakin kwa wenzetu kule ni bora ukadisiwa na ukakaa kmya kulko ukajibu alafu ukapotezwa.Acha uzwazwa shetter ni diss song
All the way up ni nyimbo ya fat joh
Nimalizie mimi ndio nimeanzisha post ya kijinga
Remy Ma anaweza kuufuata moto huu?
HahahhahaNick Minaj na ufalme wapi na wapi? Au tuseme Ray Van ameumaliza umalkia wa Diamond
Playback nilfikir bongo tu kumbe hata majuu
Ufalme unaitwaje kwa lugha ya malkia wa Uingereza?We ndo kichwa maji ufalme ni mpk awe mwanaume unajua maana ya ufalme kweli ww kanjanja......afu sijasema mfalme nimesema ufalme ebu jaribu kuelewa
Mimi nilijuaga iggy azarea ndo angekua mpinzani wa nick ila akaniangusha sana.
Kabisaaa... Half kapotea kabisa sasa hv ila Nicki bado anatusua tuMimi nilijuaga iggy azarea ndo angekua mpinzani wa nick ila akaniangusha sana.
Kumbuka kuna watu ni wazaliwa wakipindi young money ina zaliwa so kumjua remy ma na akina papoose, da brat, mss eliot, mc light, queen latifa, mob deep, WUTANG clean, ni ngumu wao wambie drake, young thug!!!Nicki minaj ndo ajipange kufika level za Remy ma......mwaka mmoja tu toka Remy ma atoke jera kashaanza kumuhenyesha.......tafakari chukua hatua
Unamaanisha iggy hajui auLabda uwashindanishe makalio tu