Report maalum: Madanguro ya kichina chanzo cha mauaji ya wachina

Mmmh! Mshana bhana, hebu aithee achana na mambo hayo; Ww sio wa hayo - potezea bro.. Tubandikie yale mambo yetu pendwa...... au hata yale ya Kilingeni au maonesho ya kazi za kichawi n.k.
 
Mzee huu uzi unastahili pongezi kufichua hizi mambo. Hao Zin ghu wa usipowa handle kwa umakini ni hatari mno kwa magenge ya uharifu tena ule very sophisticated! Idara zetu za usalama pamoja na siasa zetu zilizochafuka natumaini watali handle bravely.
 

Haya mambo wewe umeyajulia wapi!
 
Nasikiaga huwa wanafuga misitu hao
 
Wenzangu wa tandale uzuri, manzese, mikasa river, buguruni kimboka walianza kufurahia machimbo ya wachina walipofika kwenye rate za dola moto umekata kimtindo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…