Report maalum: Madanguro ya kichina chanzo cha mauaji ya wachina

Report maalum: Madanguro ya kichina chanzo cha mauaji ya wachina

Mzee huu uzi unastahili pongezi kufichua hizi mambo. Hao Zin ghu wa usipowa handle kwa umakini ni hatari mno kwa magenge ya uharifu tena ule very sophisticated! Idara zetu za usalama pamoja na siasa zetu zilizochafuka natumaini watali handle bravely.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Nje ya mada! Mshana Jr na mrangi hawa jamaa zetu wachina ni wabaguzi kweli kweli. BBC wamefuatilia ile clip ya mchina aliyekuwa ana-record watoto wa kiafrika na kuwaambia waseme kwa kichina " I am a black monster and my IQ is low." (mimi ni shetani mweusi na kiwango changu cha akili ni kidogo) bila kujua. . Wamekutana na kitisho.
Wabaguzi wa rangi wapo popote Lakini hawa wachina wa Africa wanabebwa na viongozi wetu
 
°Wachina watamu wewe du, wanavina vifupi ajabu wana mbwembwe balaa.
°Wahindi baridi sana pia magogo kitandani
 
Wachina wanapenda ngono si mchezo, huku kwezo wapo kwenye mishe za kutengeneza barabara aisee wanawatafuna sana mabinti wa kiha sio powa, mpaka wengine wamewazalisha watoto kabisa, mpaka mradi uishe basi tutakuwa na watoto wa kichini +waha wengi sana
 
Leo ndio nimejua..kuna siku nipo kkoo na wachina flan hivi ...mara akapigiwa simu na mkewe..baada ya maongez ya muda kadhaa..akaanza kulia nikamuuliza kulikoni..akajibu mwanae kaweka gari lake alilo nunua kwa gharama kubwa huko china kwenye kamali na akaliwa..ila hawa jamaa bna..wametumwa pesa na mzee nae anapenda kamali haswa..ingawa kaz wanapiga
 
Tanga barabara ya 4 pale kwenye miaka ya 2002 kulikua na wahindi wawili wanajiuza lkn kwa connection maalum niliwapitia wote, ila kwa mbususu safi na tamu wa
 
Hatari asiee, kwahiyo hao wachina shoo za kina mwajumandalandefu hawaziwezi ??

Niliskiaga bara la Asia wanaongoza kua na uume mdogo(vibamia) au ndio sababu na huenda huku wanakutana na mabwawa tofauti na kwao!!
 
Back
Top Bottom