Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kumpata mtu kama Dkt Magufuli au Makonda ni nadra sana. Yaani Makonda anavyofanya unaona kabisa haigizi that is jinsi alivyo! N/W alijaribu ila hana mvuto kabisa, yaani akiongea anaonekana anakoroma hajui kujenga hoja angalau kidogo W/Mkuu ingawa naye huwa ana ukali utadhani mwl wa chekechea badala ya kujenga hoja. Dkt Samia aisee ni rais wa pekee sana yaani yupo kama Dkt Kikwete yaani anacheka na wewe hahaha ila anakumaliza kimya kimya hahaha 😂 yaani wanamdharau hahahaUmesahau na naibu waziri mkuu
Rais ziara zake zitetakiwa kila wiki Tanesco makao makuu, kukagua SGR, kuangalia tunasaidiaje wananchi kuhusu mfumuko wa bei.Mrugenzi wa rea na team yake out
Nako Kuna madudu na.misukule sukule na takukuru mko na hapo dodoma mnawangalia tu hakagui vifaa vinaletwa na Wakandaras hao wa class 1 wa ndani na wa nnje hawana uwezo matokeo yake wameenda kutuibia transformer dar na pwan 82 na kwenda kutumia kwenye miradi ambayo selikali ilishalipa tayari ikishirikiana na wafanyakazi wa tanesco emergency Tena line HT Nani alikuwa anazimia umeme ili waweze iba izo transformer Kama sio wafanyakazi wa tanesco wenyewe,.mwananchi wa kawaida asiojua umeme akijaribu kuiba anageuka mkaa dk 0 hata kugusa nati tu hataikaribia inagia wizi transformer wezi ni watumishi wa tanesco wenyewe waisitafe mchawi
Inawezekana hata Sa💯 - Out pia , maana kuna uzembe kila sehemu😁1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out
Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Ndoto za Alinacha1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out
Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
A.k.a waziri wa Uchaguzi😂😂Waziri wa mambo ya ndani hangoki hata kwa bakora
Polisi ni ndio majambazi leo. Mahakama ndio zinapora ardhi, mashamba. nyumba haki za Wananchi.masauni ni robota la vyuma chakavu 'hafai hata kusimamia mgambo wa jiji
Akili zako ni fupi mno.Chadema tumeshawazoea na mawazo yenu ya kutawaliwa na wazungu. Mwenzenu Lissu kaenda kuishi kabisa, Lema karudi mpelekeni na Mbowe mnatuchosha.
Mpaka sasa ametatua kero ipi?Kwaiyo Makonda hajui majukumu ya RC,DC na DED ilihali alikuwa DC na baadaye RC!
Acha uongo Mkuu!
Makamanda wa siasa za kisasa.Makamanda gani nyie
Makamanda matapeli uchwaraaa.Makamanda wa siasa za kisasa.
1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out
Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Hanaga aibuHao watu wote wakitolewa, aliyewachagua anabakije?