Report ya Makonda ya kutembelea mikoa 20 ikimfikia Rais tutarajie yafuatayo kutolea!

Report ya Makonda ya kutembelea mikoa 20 ikimfikia Rais tutarajie yafuatayo kutolea!

Umesahau na naibu waziri mkuu
Ila kumpata mtu kama Dkt Magufuli au Makonda ni nadra sana. Yaani Makonda anavyofanya unaona kabisa haigizi that is jinsi alivyo! N/W alijaribu ila hana mvuto kabisa, yaani akiongea anaonekana anakoroma hajui kujenga hoja angalau kidogo W/Mkuu ingawa naye huwa ana ukali utadhani mwl wa chekechea badala ya kujenga hoja. Dkt Samia aisee ni rais wa pekee sana yaani yupo kama Dkt Kikwete yaani anacheka na wewe hahaha ila anakumaliza kimya kimya hahaha 😂 yaani wanamdharau hahaha
 
Ccm sisi ni wamoja tunatekenyana tu ili tucheke vizuri huku tukifurahia tabu zenu wananchi, Stukeni.
 
Nilikua sijafatilia misafara ya Makonda ila keo nimeona video chache. Nadhani huyu atakua rais wa nchi mbeleni.
 
Mrugenzi wa rea na team yake out
Nako Kuna madudu na.misukule sukule na takukuru mko na hapo dodoma mnawangalia tu hakagui vifaa vinaletwa na Wakandaras hao wa class 1 wa ndani na wa nnje hawana uwezo matokeo yake wameenda kutuibia transformer dar na pwan 82 na kwenda kutumia kwenye miradi ambayo selikali ilishalipa tayari ikishirikiana na wafanyakazi wa tanesco emergency Tena line HT Nani alikuwa anazimia umeme ili waweze iba izo transformer Kama sio wafanyakazi wa tanesco wenyewe,.mwananchi wa kawaida asiojua umeme akijaribu kuiba anageuka mkaa dk 0 hata kugusa nati tu hataikaribia inagia wizi transformer wezi ni watumishi wa tanesco wenyewe waisitafe mchawi
 
Mrugenzi wa rea na team yake out
Nako Kuna madudu na.misukule sukule na takukuru mko na hapo dodoma mnawangalia tu hakagui vifaa vinaletwa na Wakandaras hao wa class 1 wa ndani na wa nnje hawana uwezo matokeo yake wameenda kutuibia transformer dar na pwan 82 na kwenda kutumia kwenye miradi ambayo selikali ilishalipa tayari ikishirikiana na wafanyakazi wa tanesco emergency Tena line HT Nani alikuwa anazimia umeme ili waweze iba izo transformer Kama sio wafanyakazi wa tanesco wenyewe,.mwananchi wa kawaida asiojua umeme akijaribu kuiba anageuka mkaa dk 0 hata kugusa nati tu hataikaribia inagia wizi transformer wezi ni watumishi wa tanesco wenyewe waisitafe mchawi
Rais ziara zake zitetakiwa kila wiki Tanesco makao makuu, kukagua SGR, kuangalia tunasaidiaje wananchi kuhusu mfumuko wa bei.

Ila ukweli ni kwamba huyu ametoka Zanzibar haijui bara, wala uchungu na bara inabidi ategemee wabara kumuongoza.


Unajua kabisa ukiwa serikalini hata ukikiiba bilioni 100, utapelekwa wizara nyingine na kuambiwa usiibe sana, kula kwa urefu wa kamba yako. Ukichukua shamba la mjane, nyumba ya yatima unapewa kitengo kingine. Utakuwa na attitude, mentality gani?
 
1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out

Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Inawezekana hata Sa💯 - Out pia , maana kuna uzembe kila sehemu😁
 
1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out

Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Ndoto za Alinacha
 
Kama vipi avunje baraza lote la mawaziri halafu wagawane wizara yeye na huyo Makonda wake. Wabaki wao tu.
 
1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out

Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.


Hao watu wote wakitolewa, aliyewachagua anabakije?
 
Back
Top Bottom