Republican, Democrats (USA), Conservative, Liberal na Liberal Democrats (Uingereza) havina ukomo wa uongozi sawa na Chadema

Republican, Democrats (USA), Conservative, Liberal na Liberal Democrats (Uingereza) havina ukomo wa uongozi sawa na Chadema

watu darasa la saba hapa JF hawanisumbui! "Naongea" na Ansbert, Kabendera Kabebdera na waandishi engine kama hao.....(and the like!). Kwani JF kuna nini? angalia posts zao utaona kuna tatizo kubwa la intellect ya wachangiaji.......... Walio wengi wenye akili wameachana na JF baada ya kutoka kuwa uwanja/platform ya great thinkers na kuvamia na watu kama wewe!
For your information, I will be abandoning JF soon!
It's high time you retire, the legacy that you had established for years has gone crumbling due to your irrational judgements and views pertaining to Mbowe's chairmanship bid.
 
It's high time you retire, the legacy that you had established for years has gone crumbling due to your irrational judgements and views pertaining to Mbowe's chairmanship bid.
I HAVE THE SAME VIEWS ON YOU SUPPORTING LISU...A JUNIOR TRYING TO THINK
 

Attachments

  • GgorHp4XUAAE0_u.jpeg
    GgorHp4XUAAE0_u.jpeg
    51.3 KB · Views: 2
Zama hizi za sasa si za kuwa na chama kimoja kinaongoza peke yake..yaani kuanzia ma-veo, weo, ma-dc, Ma-rc, mawaziri nk siasa za sasa lazima ziwe jumuishi na shirikishi..kila kura iwe na nguvu ya matokeo, vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi na kupata idadi fulani ya kura lazima viwe na nafasi kwenye uongozi..mambo ya the winner takes all hayajatufikisha popote zaidi ya chama kukumbatia wizi, upendeleo, matumizi mabaya ya madaraka, ufisadi na ubaguzi wa kiitikadi..na hivyo si tu chadema, chama chochote kikipata ridhaa ya kuongoza peke yao hawawezi kubadilisha misingi ya uongozi wa nchi km wanavyotaka..ndio maana lazima yawepo mabadiliko ya katiba sasa!
Sahihi
 
I HAVE THE SAME VIEWS ON YOU SUPPORTING LISU...A JUNIOR TRYING TO THINK
You've been on the defensive side, that says a lot. Not a single day you've stressed what your candidate will do but rather you've reiterated how he should keep a tight grip in power!!

In some instances you've suggested voter fraud for Mbowe to keep power by "any means". Is that rational?

The platform will be a much better place if you indeed retire
 
You've been on the defensive side, that says a lot. Not a single day you've stressed what your candidate will do but rather you've reiterated how he should keep a tight grip in power!!

In some instances you've suggested voter fraud for Mbowe to keep power by "any means". Is that rational?

The platform will be a much better place if you indeed retire
My only concern is the way/the means Lisu is advancing/ "proposing" to attain power! Ka kukigawa chama kama NCCR Mageuzi?
 
Na siku CCM kupitia machawa wao wakisema Uganda na Rwanda hawana ukomo wa Rais tuwasikilize na tuwaelewe.

Jinsi watu wa CHADEMA huwa wanapiga kelele juu ya maswala ya hii nchi unaweza kudhani ni watu makini kweli.

Hawa hawa wapambe wa Mbowe siku CHADEMA ikipewa madaraka ya kuongoza nchi, watakuja na mifano ya mbona Uganda na Rwanda hakuna ukomo wa urais.


Mleta mada ametuasa kufikirisha kichwa , unachosema wewe ni tofauti..

Mtu kupingax ukomo wa uongozi katika vyama haiharamishi mtu huyo huyo kuunga mkono ukomo wa madaraka kwa nafasi ya urais katika nchi. Lakini mwisho wa siku mawazo ya wamanchi wengi ndio yatafuatwa.
 
My only concern is the way/the means Lisu is advancing/ "proposing" to attain power! Ka kukigawa chama kama NCCR Mageuzi?
Ndio Mbowe apishe sasa mbona republicans waliachia MAGA movement itawale chama na leo wananufaika. Ila wangepambana naye chama kingewafia
 
My only concern is the way/the means Lisu is advancing/ "proposing" to attain power! Ka kukigawa chama kama NCCR Mageuzi?
The man is contesting for.....how comes anakigawa chama? Yeye ameweka wazi madhaifu ya uongozi huu na njia ya kuutoa ni kugombea full stop anakigawaje hapo?
The only people wanaokigawa chama ni nyie team mugabe Mbowe maana mnafanya direct character assassination to hon. Lissu
Jana nimemsikiliza the sitting chairman four consecutive hours hajanadi hata sera moja .....the only thing that man was good into is to read Chadema constitution and fearful bla bla.
This time amekutana na strong opponent. Halafu ni kama hakutegemea ni kama Lissu aligeuzia gia angani ....kama alivyofanya yeye kwa Lowassa.
 
Back
Top Bottom