Resilience ya 4R za Samia Put 2Test: Kuacha Waandamane, She Has Everything 2Gain & Nothing 2Lose, Kuwazuia, She has Everything 2Lose, Nothing 2Gain!

Resilience ya 4R za Samia Put 2Test: Kuacha Waandamane, She Has Everything 2Gain & Nothing 2Lose, Kuwazuia, She has Everything 2Lose, Nothing 2Gain!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani
Kwema Wakuu!

Nimeona nami kwa nafasi yangu hata kama ni ndogo, niishauri serikali kuhusu haya maandamano ya hawa ndugu zetu wa CHADEMA.

Hakuna haja ya kutumia mabavu na ubabe kuzuia CHADEMA kuonyesha hisia za Maumivu ya ndugu zao waliouawa na kutekwa. Ni wanachama wenzao.

Mimi acha nipumzike Sasa. Tutasimama upande wenye HAKI.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu,

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
- Mama don't preach. I think we've had enough of Preaching about law, justice & human rights. Would you Please just Practice what you Preach?
Leo umeandika kama msomi na siyo chawa wa kutafuta kacheo
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu,

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
- Mama don't preach. I think we've had enough of Preaching about law, justice & human rights. Would you Please just Practice what you Preach?
Bila kupepesa macho nadiriki kusema kuwa katika sakata hili Rais ameshauriwa viba ya na ushauri mbaya huu ni mpango mkakati. Nakumbuka wakati wa maandamano ya Zanzibar na Pemba wakati ule Jaji Waryoba aliisihi sana serikali na Jeshi la Polisi wasiyazuie maandamano ya CUF badala yake wawape ulinzi lakini serikali ikashupaza shingo na wote ni mashahidi kuwa kwa mara ya kwanza Tanzania ikazalisha wakimbizi na kulitia doa kubwa Taifa letu.Najua kitakachotokea leo ni kuwa Chadema wataumizwa na pengine hata wengine kuuwawa lakini lawama zote zitakuwa kwa Rais na siyo washauri wake.
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.

Muhimu Serikali, polisi ilinde maandamano, iwalinde waandamaji wote. Ukweli Watanzania huwa wanatii sheria zote za jamhuri.
 
Kwa leo namimi nakuunga mkono Kaka Pascal Mayalla ni kutumia tu hekima, maandamano ya Watanzania hayajawahi leta vurugu. Wanaandamana na hakuna kibaya kitakachotokea. Wanaomshauri ndiyo wanaomuingiza shimoni na kumjengea chuki na wananchi.
Lengo la maza ni kutumaliza watanganyika ndiyo maana sahivi hata kwenye utumishi wa umma amejaza wazanzibar tupu
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
Angewaacha tu waandamane ulinzi uimarishwe.
 
Siku zote binadamu sifa yetu ya pekee ni ubinafsi na kujipendelea, hakuna kitu kitatutenganisha na sifa hizi wakati wote tutakaoishi kwenye uso wa dunia, labda utu au ubinadamu au utashi au dhamiri ambvyo kwa sehemu nyingine ndio tumejaliwa ili kuweka tofauti ya binadamu na viumbe vingine.

Linapokuja swala la maslahi binafsi iwe ni risiki, furaha , amani , madaraka ama chochote chenye maslahi chanya kwetu kinapokuwa hatarini ustahimilivu hauna nafasi! Si kwa kwa sababu yoyote ila ubinafsi, nipate mimi akose yule kwa vyovyote vile hata ikibidi afe!

Kinyume na hapo utu au dhamiri utashi ndio inayoweza kuokoa.
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.

Angalau Leo umerudi kwenye ubora wako ulioupoteza tangu uitwe mjengoni Dodoma

Karibu tuandamane,bado hujachelewa sasa bado lisaa ndio maandamano yataanza rasmi
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
Hivi watu wanasema "SAMIA Must Go", unawaachaje waandamane?
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
Ungewafafanulia kwanza wadau kwa ufasaha, malengo na maana ya "SAMIA MUST GO" hata mimi ningeweza kuunga mkono maandamano hayo, ikiwa utafafanua hiyo watu wazima tuelewe, hicho ambacho wewe mwaandishi nguli, mwalimu mwandamizi wa sheria unaeheshimika sana, hebu fafanua hicho unachokiunga mkono SAMIA MUST GO maana yake nini?

kwamba kakikundi ka watu wachache wanaandamana wanavunja au wanagonga geti la ikulu wanaimba Samia Must go, polisi wawe wanakenua meno tu aah hawa si wanafanya maandamano ya amani tuwape ulinzi zaidi, right?

what is the meaning of must?

Rwanda walipuuza vitu kama hivi, wakadhani ni vidogo, vilipoanza kusambaa kwa nguvu na kushika kasi walioshindwa kudhibiti athari na kilichotokea ni historia ya majonzi mpaka kesho 🐒
 
Walishaandamana hapo kabla mwaka huu maeneo mbalimbali, na wakalindwa na Polisi. Na leo watalindwa pia na Polisi, hakuna cha ajabu, muhimu wamesisitiza ya Amani.
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.

🙏🏾🙏🏾
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
Hapa umebugi
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
Zile 4R ulikuwa utapeli kama utapeli mwingine. Lengo ilikuwa ni kumfanya Samia atawale bila pressure ya wapinzani. Lakini baada ya wapinzani kumkemea Samia wazi wazi tena kwa lugha kali kwa kugawa raslimali zetu, ameona bora aige tabia za Magufuli dhidi ya wapinzani, amepotea kwenye zile 4R ambazo msingi wake ulikuwa ni hadaa.
 
Back
Top Bottom