Resilience ya 4R za Samia Put 2Test: Kuacha Waandamane, She Has Everything 2Gain & Nothing 2Lose, Kuwazuia, She has Everything 2Lose, Nothing 2Gain!

Resilience ya 4R za Samia Put 2Test: Kuacha Waandamane, She Has Everything 2Gain & Nothing 2Lose, Kuwazuia, She has Everything 2Lose, Nothing 2Gain!

Bahati mbaya tuna kiongozi mwenye ubongo wa ndege! hawezi chambua lolote! Anaingizwa mkenge na wanaomtakia mabaya hajielewi! asipojiangalia Hague inamsubiri kama mamba wa mto mara! Wenye akili akina Comrade Kinana walijiengua mapema wameenda zao canada kutafuna walichochuma hapa!
Kinana hajajiengua, bali ameenguliwa. You need to have more than 3 Ds to comprehend this one
 
Wenye kazi yao wana taarifa nyingi kuliko zako. Hata kama kwenye barua ya kuomba kibali Polisi hawajaandika lakini ushahidi wanao TISS. Ni bora kuzuia maandamano yenye INSANITY kama haya kuliko kuyaacha yakaleta madhara mabaya.
Taarifa za kubumba sio taarifa. Katika taasisi zilizokosa uadilifu ni pamoja na hao TISS.
 
Treason. Rais Samia ataondoka kwa mujibu wa katiba ya JMT ya 1977 toleo la 2000 na siyo maandamano.

CHADEMA wamepoteza mwelekeo kwa kuwa wameshindwa kuleta ushawishi wa kisera kwa wananchi. Wanafikiri mob psychology na public sympathy vitawasaidia.
Wapi CHADEMA wamesema kuwa Samia must go today?

Lengo la CHADEMA must go ni kuushawishi umma wa Watanzania kuikataa CCM na Samia, kuanzia ngazi ya Kijiji kwenye Serikali za mitaa Nov na uchaguzi mkuu 2025.

Uhaini ni kitendo, Si kushika bango na kuimba.

Hii ni Nchi ya kidemokrasia sio police state.

Umeelewa?
 
nadhan nyie hamajaingia katika viatu vya uongoz. unapokuwa kiongoz unaangalia kwa mapana yake. ukisema waachwe nyie mnawaza upande wenu tu siasa na matumbo yao kina hilda na maseese.ila wengine je? leo tunaogopa kwenda mahospitalin tu a wagonjwa ICU wanahitaji huduma, kuna wanafunzi kuna shugul za kiuchum za watu ambazo hazipaswi kuwa disturbd
.wote mlishuhudia kenya jins nchi ilivorudi nyuma kwa miaka 10. maduka yaliporwa na uharibifu. hapana hatuhitaji maandamano.ila wayaongee majukwaan. tu leo tuki disturb shughul za kiutalii peke yake nakupa mfano unajua nchi italoose kias gam cha mapato ambao ndio hayo hayo yanaenda kugharamia mkongo wa taifa ili muitishw space na muendeshe Raum zenu kwenda goldern fork kunywa supu.
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
Naunga mkono hoja 👍
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
"Watu wasiojulikana" wamempa taharuki mno (panic mode) kiasi ambacho na ninadiriki kusema kimemfanya ashindwe maamuzi ya hekima.
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
Mkuu this is a very good analysis. 👍👌🤝🙏
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
Dah! Kaka Paskali unatarajia kweli kutangaza nia mwakani au uliishaamua kumwachia Askofu?
 
Wapi CHADEMA wamesema kuwa Samia must go today?

Lengo la CHADEMA must go ni kuushawishi umma wa Watanzania kuikataa CCM na Samia, kuanzia ngazi ya Kijiji kwenye Serikali za mitaa Nov na uchaguzi mkuu 2025.

Uhaini ni kitendo, Si kushika bango na kuimba.

Hii ni Nchi ya kidemokrasia sio police state.

Umeelewa?
Hii hapa kama hujaisikia wewe ni introvert;
Screenshot_20240923_125252_X.jpg
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
Pole sana Mzee Pascal Mayalla na wenzako kwa kuamini utapeli wa kisiasa uliopewa jina la maridhiano.

Huu ndio utapeli aliofanyiwa Maalim Seif (Rip) kwa miaka mingi na Ccm huko Zanzibar.
 
Siyo fujo ni kuhamasisha kuelekea 2025.Sorry,mimi ni SHE
okay madam pole, id za kijuba hizi kutambua jinsia unahitaji intelijensia ya juu kidogo,

but hiki sio kipindi cha uchaguzi wala kampeni za uchaguzi, huo sio uhaini kweli?🐒
 
Wanabodi,
Asubuhi hii nimeguswa na bandiko la mwana jf huyu, Naishauri serikali Kesho isije Ikatumia mabavu, iache CHADEMA wafanye maandamano yao kwa Amani

Naunga mkono hoja,
Hata mimi, kwanza nimeyaunga mkono haya maandamano Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
na nikalishauri jeshi letu la polisi Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na kuwasisitiza polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu Kakamavu na Adilifu la La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, Kwenye Maandamano Yetu, Please Msigeuke. Gestapo au Makaburu!"

Hivyo leo hii ndio kwa mara ya kwanza, hii falsafa ya R ya Resilience kwenye 4R za Rais Samia, is put to a test, je kwenye hizi 4R za Rais Samia, do we real mean it, or just paying lip services for just preaching only, and don't practice what we preach?.

Rais Samia akiwaacha Chadema waandamane, japo watatamba sana, but She'll have everything to gain & nothing to lose, kwa kuwazuia kuandamana kwa kuwatandika, She'll have everything to lose, and nothing gain!.

Hiki ni kipimo cha busara za Mama. Wangwana wanashauri, if coughs between the two devils, choose the lesser!.

Je CinC wetu amechagua nini?.
Time will tell!.

Paskali

Rejea.
Paskal
ukiwachukulia hatua -UMEWAONEA ukiwaacha UMEWAOGOPA.
 
okay madam pole, id za kijuba hizi kutambua jinsia unahitaji intelijensia ya juu kidogo,

but hiki sio kipindi cha uchaguzi wala kampeni za uchaguzi, huo sio uhaini kweli?🐒
No worries 👍
Kuna waziri flani, majuzi alisema Rais akimaliza kipindi hiki ni mitano tena na mitano tena. Hii tuiweke kwenye uchaguzi au wapi kwa sababu katiba itakuwa imevunjwa.
 
Back
Top Bottom