Resilience ya 4R za Samia Put 2Test: Kuacha Waandamane, She Has Everything 2Gain & Nothing 2Lose, Kuwazuia, She has Everything 2Lose, Nothing 2Gain!

Kinana hajajiengua, bali ameenguliwa. You need to have more than 3 Ds to comprehend this one
 
Wenye kazi yao wana taarifa nyingi kuliko zako. Hata kama kwenye barua ya kuomba kibali Polisi hawajaandika lakini ushahidi wanao TISS. Ni bora kuzuia maandamano yenye INSANITY kama haya kuliko kuyaacha yakaleta madhara mabaya.
Taarifa za kubumba sio taarifa. Katika taasisi zilizokosa uadilifu ni pamoja na hao TISS.
 
Treason. Rais Samia ataondoka kwa mujibu wa katiba ya JMT ya 1977 toleo la 2000 na siyo maandamano.

CHADEMA wamepoteza mwelekeo kwa kuwa wameshindwa kuleta ushawishi wa kisera kwa wananchi. Wanafikiri mob psychology na public sympathy vitawasaidia.
Wapi CHADEMA wamesema kuwa Samia must go today?

Lengo la CHADEMA must go ni kuushawishi umma wa Watanzania kuikataa CCM na Samia, kuanzia ngazi ya Kijiji kwenye Serikali za mitaa Nov na uchaguzi mkuu 2025.

Uhaini ni kitendo, Si kushika bango na kuimba.

Hii ni Nchi ya kidemokrasia sio police state.

Umeelewa?
 
nadhan nyie hamajaingia katika viatu vya uongoz. unapokuwa kiongoz unaangalia kwa mapana yake. ukisema waachwe nyie mnawaza upande wenu tu siasa na matumbo yao kina hilda na maseese.ila wengine je? leo tunaogopa kwenda mahospitalin tu a wagonjwa ICU wanahitaji huduma, kuna wanafunzi kuna shugul za kiuchum za watu ambazo hazipaswi kuwa disturbd
.wote mlishuhudia kenya jins nchi ilivorudi nyuma kwa miaka 10. maduka yaliporwa na uharibifu. hapana hatuhitaji maandamano.ila wayaongee majukwaan. tu leo tuki disturb shughul za kiutalii peke yake nakupa mfano unajua nchi italoose kias gam cha mapato ambao ndio hayo hayo yanaenda kugharamia mkongo wa taifa ili muitishw space na muendeshe Raum zenu kwenda goldern fork kunywa supu.
 
Naunga mkono hoja πŸ‘
 
"Watu wasiojulikana" wamempa taharuki mno (panic mode) kiasi ambacho na ninadiriki kusema kimemfanya ashindwe maamuzi ya hekima.
 
Mkuu this is a very good analysis. πŸ‘πŸ‘ŒπŸ€πŸ™
 
Dah! Kaka Paskali unatarajia kweli kutangaza nia mwakani au uliishaamua kumwachia Askofu?
 
Hii hapa kama hujaisikia wewe ni introvert;
 
Pole sana Mzee Pascal Mayalla na wenzako kwa kuamini utapeli wa kisiasa uliopewa jina la maridhiano.

Huu ndio utapeli aliofanyiwa Maalim Seif (Rip) kwa miaka mingi na Ccm huko Zanzibar.
 
Siyo fujo ni kuhamasisha kuelekea 2025.Sorry,mimi ni SHE
okay madam pole, id za kijuba hizi kutambua jinsia unahitaji intelijensia ya juu kidogo,

but hiki sio kipindi cha uchaguzi wala kampeni za uchaguzi, huo sio uhaini kweli?πŸ’
 
Paskal
ukiwachukulia hatua -UMEWAONEA ukiwaacha UMEWAOGOPA.
 
okay madam pole, id za kijuba hizi kutambua jinsia unahitaji intelijensia ya juu kidogo,

but hiki sio kipindi cha uchaguzi wala kampeni za uchaguzi, huo sio uhaini kweli?πŸ’
No worries πŸ‘
Kuna waziri flani, majuzi alisema Rais akimaliza kipindi hiki ni mitano tena na mitano tena. Hii tuiweke kwenye uchaguzi au wapi kwa sababu katiba itakuwa imevunjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…