Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Kutaka kujua hilo jiulize kwa nini marekani aliwazuia UN wasichunguze na kutoa ripoti ya kisanduku cheusi kilichokuwepo kwenye ndege iliyodunguliwaMwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi! Hivi kuna mkono wa mataifa ya magharibi Katika mauaji yake au ni vikundi vya waasi vya ndani ya nchi tu
Duhh pole sana mkuu
K
Kushea story inatosha tu mkuu sababu kuna watu wa muhimu zaidi inawafariji huko walipo @ Habriymana jr @ Bagenzi...!!!!
Aliye ua kwa upanga..,..............Je hii maada inauhusiano wowote na Kagame Kufanya mabadiliko makubwa jeshini apa Rwanda
Huo ULIKUA mpango kazi !kwani wao alikua hawajui ndege itatunguliwa!!?Aliitwa Arusha kwa maridhiano chini ya Mzee Ally Hassan Mwinyi …akaruhusiwa kurudi home akiwa na Rais Ntaryamira wa Burundi kwny ndege moja
wakati huo Kijana Paul Kagame akisaidiwa na Mtoto wetu wa Hiyari Yoweri Kaguta Museven walikuwa tayari kwa kazi kubwa na nzito
mara tu baada ya kufika kwny anga la Kigali safari ikaishia hapo na Burundi ikapoteza Rais kwa kuwa tu aliomba Lifti kwa sababu ya Umaskini wa Taifa lake
ilikuwa wiki ya kwanza ya April, 1994
naikumbuka sana wiki hii kwa kuwa lilinitokea tukio zito sana ambalo lilichangia sana kuwa Pohamba wa leo
Alhamdulillah
RIP Juve mwanangu. You were a great man. Hata hivyo, kama ulionewa kama ulivyomuonea Gregoire Kayibanda, time will tell. Uzuri ni kwamba hata huyo aliyeamuru ndege itunguliwe naye atakufa tena saa nyingine kifo kibaya kuliko hicho. Mungu anamuonaIlikua usiku wa tarehe 16/04/1989 ulikua pale Kicukiro safe house kama sikosei zilikuja taarifa kutokea Gisenyi safe house kua usipobadilisha circle ya watu wanaokuzunguka basi utaiingiza nchi kwenye maafa makubwa ya uhasama wa kijamii ama kikabila kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma..Watu uliowaamini walikuangusha sababu walikua na uchu wa madaraka na wapinzani wa serikali yako hasa vikundi vya waasi walikua na uchu wa madaraka pia..Wananchi walikua wamechoshwa na siasa za upendeleo wa kikabila zilizokua zinaendeshwa waziwazi na watu uliowakabidhi madaraka ya kuisimamia kiutendaji serikali yako.
Watu uliowaamini walikuangusha na wakakuondosha mapema sababu ulikua tayari kwa maridhiano ya kitaifa kwa faida ya Taifa la Rwanda sababu ulijua madhara ya vita kwa wananchi wa kawaida hasa hasa wanawake na wazee na wagonjwa na watoto.Rafiki pekee aliyekua na wewe ni Mzee Mobutu Seseseko na hakua mnafiki na wewe unalijua hilo,wengine wooote walikaa kwako kimasilahi..
Nachosikitika mjomba hukupata nafasi ya kuishi mda mrefu ili uone jamii ya watu wanaokuzunguka hasa familia yako wakikua na kua watu wazima uliondoka mapema..Hakuna aliyekamilika ila pamoja na mapungufu yako unakumbukwa kwa mazuri yako pia kama baba,kama mjomba,kama kiongozi,kama rafiki,kama mlezi pia.Unakumbukwa kwa tabasamu lako,utani wako na jina lako la utani""KINANI""ubishani wako,haiba yako na tabia yako ya kuwajali watu wa familia yako (Ukoo wako) haijalishi wamezaliwa na kukulia wapi,,,
Iwe USA au Tanzania au Kenya au Belgium au Ufaransa au Burundi au Zaire(Congo DRC) au Rwanda uliwakumbuka wote kwa hali na mali....Mjomba ni mama ,mjomba ni rafiki ndio maana inakua vigumu kututoka akilini na moyoni......Pumzika kwa amani unakumbukwa na wengi comrade..
Aliitwa Arusha kwa maridhiano chini ya Mzee Ally Hassan Mwinyi …akaruhusiwa kurudi home akiwa na Rais Ntaryamira wa Burundi kwny ndege moja
wakati huo Kijana Paul Kagame akisaidiwa na Mtoto wetu wa Hiyari Yoweri Kaguta Museven walikuwa tayari kwa kazi kubwa na nzito
mara tu baada ya kufika kwny anga la Kigali safari ikaishia hapo na Burundi ikapoteza Rais kwa kuwa tu aliomba Lifti kwa sababu ya Umaskini wa Taifa lake
ilikuwa wiki ya kwanza ya April, 1994
naikumbuka sana wiki hii kwa kuwa lilinitokea tukio zito sana ambalo lilichangia sana kuwa Pohamba wa leo
Alhamdulillah
Apo pana mawili kwa mtazamo wangu;Kutaka kujua hilo jiulize kwa nini marekani aliwazuia UN wasichunguze na kutoa ripoti ya kisanduku cheusi kilichokuwepo kwenye ndege iliyodunguliwa
Bro kuna jambo hapo kubwaaa sana litajulikana tuuuuApo pana mawili kwa mtazamo wangu;
Huenda kweli kuna jambo wanalificha ambapo ingejulikana ingekua hatar kwao
Huenda waliona haina tija yeyote
Aliye ua kwa upanga..,..............
Ilikua usiku wa tarehe 16/04/1989 ulikua pale Kicukiro safe house kama sikosei zilikuja taarifa kutokea Gisenyi safe house kua usipobadilisha circle ya watu wanaokuzunguka basi utaiingiza nchi kwenye maafa makubwa ya uhasama wa kijamii ama kikabila kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma..Watu uliowaamini walikuangusha sababu walikua na uchu wa madaraka na wapinzani wa serikali yako hasa vikundi vya waasi walikua na uchu wa madaraka pia..Wananchi walikua wamechoshwa na siasa za upendeleo wa kikabila zilizokua zinaendeshwa waziwazi na watu uliowakabidhi madaraka ya kuisimamia kiutendaji serikali yako.
Watu uliowaamini walikuangusha na wakakuondosha mapema sababu ulikua tayari kwa maridhiano ya kitaifa kwa faida ya Taifa la Rwanda sababu ulijua madhara ya vita kwa wananchi wa kawaida hasa hasa wanawake na wazee na wagonjwa na watoto.Rafiki pekee aliyekua na wewe ni Mzee Mobutu Seseseko na hakua mnafiki na wewe unalijua hilo,wengine wooote walikaa kwako kimasilahi..
Nachosikitika mjomba hukupata nafasi ya kuishi mda mrefu ili uone jamii ya watu wanaokuzunguka hasa familia yako wakikua na kua watu wazima uliondoka mapema..Hakuna aliyekamilika ila pamoja na mapungufu yako unakumbukwa kwa mazuri yako pia kama baba,kama mjomba,kama kiongozi,kama rafiki,kama mlezi pia.Unakumbukwa kwa tabasamu lako,utani wako na jina lako la utani""KINANI""ubishani wako,haiba yako na tabia yako ya kuwajali watu wa familia yako (Ukoo wako) haijalishi wamezaliwa na kukulia wapi,,,
Iwe USA au Tanzania au Kenya au Belgium au Ufaransa au Burundi au Zaire(Congo DRC) au Rwanda uliwakumbuka wote kwa hali na mali....Mjomba ni mama ,mjomba ni rafiki ndio maana inakua vigumu kututoka akilini na moyoni......Pumzika kwa amani unakumbukwa na wengi comrade..
Wa sasa hahusiki?Wanajeshi wake aliowaamini kabisa ndio walimgeuka na ndio walihusika na mauaji ya kimbari kwa asilimia kubwa wakishirikiana na vikundi vya wanamgambo na vikundi vya waasi
Labda anahofia usalama wake au makachero wa vikundi vinavyoipinga serikali yakeJe hii maada inauhusiano wowote na Kagame Kufanya mabadiliko makubwa jeshini apa Rwanda
Anahusika ndio master planer wa genocideWa sasa hahusiki?
Sijui kwa kweli mkuu.Kwani pk anahali gani huko alipo!!?
Nakubaliana nawe vinginevyo tuanze kumtafuta aliyemuua KayibandaDaah , Acheni kufukua Makaburi , kama ni kufa atakufa tu kwa Mpango wa Muumba wake.
Yeah nilichojifunza ni kwamba wanajeshi hawaaminiki hasa wale wa vikosi maalumu
Labda anahofia usalama wake au makachero wa vikundi vinavyoipinga serikali yake
Nani na nani mkuu????Wote wawili hali zao zizidi kuwa mbaya.