Rest In Peace Kizzo Gunz

Rest In Peace Kizzo Gunz

Posta ya 200 na chenji. Marehemu ni nani nani? Kama ni ngada pia poa
 
Rest in power schoolmate!

We hung out a lot back in the day.

Skipped a lot of classes together just to go eat at our favorite ‘chips’ joint...Kwa Shirima.

On Sunday we kicked it at Coco beach! Flossing the latest sneakers, pushing our parents’ whips while bumping the hottest hip hop joints while gangsta leanin’ at the same time....just to mack at the shorties.

Herbert is gone. Now you are gone. Sitting here wondering who’s next? Me? Dassu? Gwamaka? Harold? Kunda?

Oh well such is life, though. Rest well hommie.
Who is next? Kwani kabaki nani kwenye list?
 
acha kutetea use*ge mjinga wewe...wamasai ule ni utamaduni wao kutoboa masikio na hawatoboi kwa muundo huo ambao marehemu ametoboa....wenyewe wanatoboa matundu makubwa...hizo hereni marehemu alizo vaa ni ishara ya ushoga na ukienda sehemu kama mombasa ukipita umevaa hereni kama hizo usishangae ukishikwa t*ko hajalishi wewe ni shoga au sio shoga
Umesema kweli kabisa mkuu, nawashangaa Sana wanaolinganisha uvaaji wa hereni wa huyo marehemu na utamaduni wa kimasai. Kimsingi ni tofauti.
Mi nikiona mtu kavaa hereni namna hiyo namchukulia negative sana, na sio mimi tu ni watanzania wengi Sana Kwa mujibu wa mila na desturi zetu.
Jamani tujitahidi kujichunga na vitu hivi vidogovidogo ambavyo vinawezakuwafanya watu wakutafsiri vibaya.hata ukifariki.
Kwa upande wangu mimi nikiona mwanaume kavaa hivyo ( hereni za hivyo) namfikiria ni anafirwa.
Any way Mwenyezi Mungu amuweke mahala anapostahili
 
Back
Top Bottom