zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,255
Roho za marehemu wapumzike kwa amani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanzania mwenye akili zaidi au mtanzania mwenye uwezo mkubwa wa kukariri?
Tanzania ina watu wawili tu wenye akili zaidi.
Anyway RIP, Rest in Eternity. May The Holy Mary, Mother of mercy be wit
- Nyerere
- Tuntemeke Sanga
Hakuna course inayoweza mpeleka mtu puta wakati amekuwa best studentMay his soul rest in eternal peace.
Huyu mwamba hakumaliza petroleum engineering pale udsm, alidisco akiwa third yr. nlikuwa nyuma yake mkuu. Mwamba alikuwa anajua sana, sema petroleum ilimpeleka puta sana.
Muddy yule wa Mchikichini amefariki!? Lini aisee?Kuna yule mwl, wa tuition wa physics muddy juzI kati kafariki... Huyo ndio tunafahamu.... Sasa Elias kamaliza juzi petroleum engerering chuoni kwetu..
Kafa lini?
Mkuu Altezza ya mill 6 mkononi unapata unasema si haba?huyu kama yanayoandikwa hapa ni ya kweli alitakiwa awe anaendeshwa kwenye gari nzuri,analala pazuri na ana watu wanamnyenyekea kwenye wadhifa wake but ona alivyo anaonekana kama analazimisha furaha ambayo hana.View attachment 1630947si haba mkuu
Chegere hakusoma physics Advance. Acha kupotosha.Martin Chegere alipata 99.99
Dharau zake pia zilichangia kumfelisha.
Wapo baadhi ya Ma T.O wamepushiwa na serikali hii hii wamefika mbali sana.Wamekuwa asset ya nchi na baraka za kiuchumi kwenye familia zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza mahaba.
Martin Chegere hakusoma Physics Advance
Hajawahi kuwa T.O primary, ila aliongoza mitihani ya mock ukonga.classmate wangu huyu ukonga primary school na Pugu secondary school.Huyu mwamba Martin Chegere balaa lake zito, T.O primary, O-Level mpaka A-Level.
Muanzisha mada,?TO mwenzie namlilia sana
Best T.O ni Martin chegereMkuu
Naona hatuelewani
Mimi nachopinga ni wewe kusema yeye ndio the best TO all these years
Nikakuuliza una evidence gani to prove that?
Ukasema kwavile kafundisha tuition ya Physics!
Nikakwambia thats nonsense maana sio yeye mwenye impact tu,kuna maTO wenzake wanafanya impact hapa duniani kupitia vitu vingine
Nikaongeza kwa kukwambia kwamba hii kusema marehemu yeye ndio mwenye impact pekee yake zaidi ya wengine wote si kweli ni maoni binafsi ya mtu tu kama wewe..
Kua mwalimu sio evidence kwamba wewe tu ndio mwenye impact hapa duniani
Kudai eti hao wanaofanya operations wamepita kwake si kweli ni baadhi tu,mostly hawajapita kwake...maTO wa nyuma yake hawajapita kwake na ni wengi,maTO wa mbele yake wamepita baadhi...
Nishakuelewa,utakua labda upo sekta ya ualimu ndio maana unavutia kwako kusisitiza ni mwalimu tu hapa duniani ndio ana impact wengine wote ng'ombe!
Hiyo ni mjadala mwingine...kwa hili tuishie hapa kwamba hayo uliyotoa ni maoni tu biased na hakuna research official iliyotoka kuelezea impact yake kwamba ni the first na most biggest ever in this republic kwa impact done by any TO ever
kafanyajeMuanzisha mada,?
Kijana mdogo Sana.
Kitaje hicho kitu kwa faida ya wengine.Ila alisahau kitu. Very sorry.
Kmmk 😂 😂Wanasemaga ukimcheka mtu unakuwa kama yeye vipi wewe hukumcheka RAFIKI YAKO Ili uwe kama yeye?
AI see 😂 😂Kama na sense hard feelings hapa..mzee unateseka au?.
Unaweza ukawa ulimzid maisha but the guy was amazing usingeweza mfikia kichwan.May be hata all of ur relatives.kichwa yake ilikua gufted