TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Unaweza kukariri Number au Physics
Mtanzania mwenye akili zaidi au mtanzania mwenye uwezo mkubwa wa kukariri?
Tanzania ina watu wawili tu wenye akili zaidi.
  1. Nyerere
  2. Tuntemeke Sanga
Anyway RIP, Rest in Eternity. May The Holy Mary, Mother of mercy be wit

May his soul rest in eternal peace.

Huyu mwamba hakumaliza petroleum engineering pale udsm, alidisco akiwa third yr. nlikuwa nyuma yake mkuu. Mwamba alikuwa anajua sana, sema petroleum ilimpeleka puta sana.
Hakuna course inayoweza mpeleka mtu puta wakati amekuwa best student
Alitakiwa kutafuta Scholarship angekua Professor kwa muda mfupi.
Elimu ya Bongo Lecturers wakishakujua backgroud yako wanakukamia
 
Mkuu Altezza ya mill 6 mkononi unapata unasema si haba?huyu kama yanayoandikwa hapa ni ya kweli alitakiwa awe anaendeshwa kwenye gari nzuri,analala pazuri na ana watu wanamnyenyekea kwenye wadhifa wake but ona alivyo anaonekana kama analazimisha furaha ambayo hana.

Haijulikani amepewa gari apeleke car wash au ni yake,yaani usiyemjua unaweza kumdharau kumbe kichwani humfikii hata kidogo.tukumbuke haya siyo maisha wazazi wengi wanayotegemea watoto wao waje kuishi baada ya msoto mwingi pamoja na kulipa ada,mzazi anategemea mwanae awe smart baada ya kufaulu ila hapa nyumbani mambo ni tofauti.

Najiuliza hivi kweli wizara ya elimu ilikuwa haina details zake ikampa kitengo au ni connection alikuwa hana?hakika kama kuna mtu alikuwa anambania asisogee basi ana la kujibu mbele za Mungu siku yake ikifika.
 
Huyu mwamba Martin Chegere balaa lake zito, T.O primary, O-Level mpaka A-Level.
Hajawahi kuwa T.O primary, ila aliongoza mitihani ya mock ukonga.classmate wangu huyu ukonga primary school na Pugu secondary school.
 
Mkuu

Naona hatuelewani

Mimi nachopinga ni wewe kusema yeye ndio the best TO all these years

Nikakuuliza una evidence gani to prove that?

Ukasema kwavile kafundisha tuition ya Physics!

Nikakwambia thats nonsense maana sio yeye mwenye impact tu,kuna maTO wenzake wanafanya impact hapa duniani kupitia vitu vingine

Nikaongeza kwa kukwambia kwamba hii kusema marehemu yeye ndio mwenye impact pekee yake zaidi ya wengine wote si kweli ni maoni binafsi ya mtu tu kama wewe..

Kua mwalimu sio evidence kwamba wewe tu ndio mwenye impact hapa duniani

Kudai eti hao wanaofanya operations wamepita kwake si kweli ni baadhi tu,mostly hawajapita kwake...maTO wa nyuma yake hawajapita kwake na ni wengi,maTO wa mbele yake wamepita baadhi...

Nishakuelewa,utakua labda upo sekta ya ualimu ndio maana unavutia kwako kusisitiza ni mwalimu tu hapa duniani ndio ana impact wengine wote ng'ombe!

Hiyo ni mjadala mwingine...kwa hili tuishie hapa kwamba hayo uliyotoa ni maoni tu biased na hakuna research official iliyotoka kuelezea impact yake kwamba ni the first na most biggest ever in this republic kwa impact done by any TO ever
Best T.O ni Martin chegere
 
" Maradhi yaliyokuwa yanamsumbua"

Kwasisi wahakiki wa KAZI za Fasihi HUWA tunajiongezaga tu.

1) KWA kuwa alikuwa Star, Aling' ara bila shaka na wasichana na majimama yalimmendea na yeye bila kujua akaingia mzima mzima.

2) Kilichofuata ni kupata " Maradhi" ambayo ndiyo aliyoondoka nayo.
 
Back
Top Bottom