TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Wakati nafika advance tanga tech story za huyu mtu nilizikuta,,,kuna darasa moja kati ya madarasa ya advance kuna maneno yameandikwa nanukuu"elias mtu na nusu" nazani wahusika waliandika katika kuonesha kumkubali jamaa ,story zinasema zaidi vile vitabu ambavyo wanafunzi wengi huvikwepa yeye ndo alipenda kuvitumia mfano nelkon,roger,UP(university physics) kwa upande wa physics,,waliosoma physics advanced level watakuwa wanaelewa zaidi hapa,,ndo mana mtu anaesema jamaa alikuwa anakariri namshangaaaa unakariri physics utakariri vingapi????nazani alikuwa ni gifted(wakati mwingine kumkubali mtu hakukupunguzii kitu sio kila ktu ni kupinga) kwa niaba ya watoto wa tanga tech ,,niseme REST IN PEACE MTU NA NUSU,,tusisahau kuwa karibu na muumba wetu pamoja na vyote tunavofanya,duniani mapito,,ulale mahali unapostahili,AMEN
We jamaa nelkon na roger muncaster ni vitabu vinavyokimbiwa?. At least hiyo UP imenyooka sio hivyo.
 
Nenda kwenye kitabu cha waliohitimu 2013 if you can see his name, by the way alikuwa anapuuzia sana shule, tulikuwa nae field TPDC akiwa alihudhuria only one week, prof. Temu amekuja kutembelea he was explaining the thing that he don know, superviser alikuwa ndugu yake alimkataa pale pale kuwa alikuwa hahudhurii, sina uhakika kama ni hiki kilichomtoa chuo, baada ya hapo kuna shule alienda kufundisha kuna uzi humu unaelezea tafuta
Prof. Temu, hiki chuma kweli kweli
 
Mkuu achana nar huyo.wala asikusumbue kutoa ushahid..hao watu wengi ni ma ngwini...mim ni engeneer nmesoma pale coet..na naweza diriki kusema ..kuna watu wako talented aisee..hawa kariri kabisa.wanaelewa mambo..yaan test au quiz unaweza shangaa mtu kapata 98...anaefatia ana 30...na ni hvo hvo kila test...kuna jamaa semista ya kwanza mwaka wa kwanza alipiga gpa ya 4.9...tele hyo...watu nuksi
Semester ya kwanza wanacalculate GPA hapo UDSM?.
 
Leo tunavyozungumza Elias Kihombo hatunaye tena duniani. Inasemekana kifo chake ni kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimkabili.

Tunahitaji kuwa Karibu na Mungu wakati wote kwani safari yetu ipo mikononi mwake.

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe!

I will never forget you My brother.

You will be missed forever and always. The beautiful moments you shared with me will always speak of a great person that you were. Rest in peace up in heaven.


-----
Pia soma




ALAMA ALIZOACHA ELIAS KIHOMBO


Imepita miaka takribani miaka 14 sasa, tangia Tanzania ilipopata kumshuhudia mwanafunzi alieshindikana katika masuala ya Elimu hapa namzungumzia,Tanzania One (2006) Elias Kihombo katika matokeo ya Kidato cha Sita mwaka 2006 akitokea shule ya sekondari Tosamaganga wengi wanapenda kuiita Tosa Boy's

Mwaka 2006, Necta ilimtangaza mwanafunzi Elias Kihombo kutoka Tosamaganga Secondary School kuwa ndo kipanga wa mwaka huo akiwapita wanafunzi wenye akili zaidi waliovuma toka shule kongwe na special schools kama Kibaha, Ilboru, Mzumbe, Kilakala, Tabora Boys etc ukweli ni kwamba Elias Kihombo hakuwa maarufu kwa kipindi hiko na wengi walisikia tu story zake haswa kwa Wanafunzi wa Mzumbe Boys ambao Mara nyingi walipata kumuona katika mazingira yao.

Kumbuka kwamba Elias Kihombo hakupewa Priority kubwa sana ya kuwa T.O wa Advance Level kutokana pia na matokeo yake ya Kidato cha Nne (4) kuonekana kuwa ya kawaida sana, Kihombo alifanikiwa kupata Division One (1.14) akiwa na Physics-A Chemisrty-A Biology na Mathematics-B, Ndipo mwaka huo 2003 alipata kuchaguliwa Tanga Technical school iliyopo mkoa wa Tanga (tetesi), lakini baadae aliamua kurudi tena katika shule yake ya zamani yaani Tosamaganga Secondary kuendelea na masomo yake ya Advance Level. Alimaliza hapo hapo akifanikiwa kuwa mwanafunzi wa kwanza toka Tosamaganga kwa Advance Level kuwa mwanafunzi bora kitaifa, Alifanikiwa kupata maksi za juu sana na kupata Division One (1.3)

Physics-A
Chemistry-A
Advanced Mathematics-A

October 2006 Alichaguliwa kujiunga na University of Dar Es Salaam (UDSM) akiwa kama T.O kusoma Bachelor of Science In Telecommunication Engineering (4years) na tetesi zinasema alifanikiwa kupata ufadhili wa masomo yake chini ya kampuni ya Airtel.

Siku zilienda na alikuwa karibu kumaliza Elimu yake ya chuo kikuu, huku akipata madili mengi ya kufundisha Tuition maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dar Es Salaam na shule nyingi za sekondari ndani ya Tanzania, hasa shule za Advance.

Lakini baada ya Miaka 4 kupita ikiwa miezi michache tu imebaki ya kumaliza chuo, Tanzania One Kihombo alidisco chuo na hivyo kumfanya asifanikiwe kupata degree yake ya kwanza mwaka huo 2010, lakini wengi wanasema hakupaswa kudisco chuo lakini ndivyo ambavyo Hatima yake ilipoishia hapo (tetesi )

Moja kati ya maneno ambayo wengi wanamnukuu aliyopata kuyasema ndani ya Miaka hiyo, alisema "Duniani walionipita kwa akili ni watu wawili tu wa kwanza Mola, wa pili ni Mzungu" hapa ndipo hatima yake inavyosemekana ikafungwa na wakuu wake lakini wengine wanasema vingine.

Elias hakutaka kwenda chuo chochote kile na ndani ya Miaka hiyo mitatu baada ya kudisco chuo, yaani 2011, 2012 na 2013 alikuwa anazunguka shule mbalimbali za sekondari Tanzania kupiga mapindi ya Physics na Chemistry na kwelii huyu jamaa alikuwa ni Invisible katika masomo hayo mawili, Japo Pure Mathematics alikuwa hafundishi kabisa kwasababu alikuwa anasema "Siwezi kufundisha Somo rahisi duniani kama Pure Mathematics, Mimi nafundisha Physics na Chemistry tu"

Ndipo baada ya Miaka mitatu kupita (3) T.O aliyetukuka zaidi katika vinywa vingi vya wanafunzi wa Tanzania, kutokana na ufundishaji wake na kuwaita wanafunzi wake Nyumbu na kuwa na Jeuri zaidi ya Akili zaidi ya watu wengine, alifanikiwa kurudi tena ndani ya University of Dar Es Salaam safari hii akiwa ameamua na amezamilia kuchagua kozi nyingine Mpya kabisa iliyoanzishwa mwaka huo 2013 hapohapo Udsm iliyoitwa (Bachelor of Science In Petroleum Engineering). Hii kozi ilikuwa inachukua wanafunzi 20 pekee Tanzania nzima tena wale waliosoma PCM tu (Physics, Chemistry na Advanced Mathematics) na waliopata Marks za juu kabisaa.

Baada ya Miaka 4 kupita, ndipo July 2017, T.O Elias Kihombo alifanikiwa kumaliza Degree yake ya kwanza (Bachelor of Science In Petroleum Engineering) na mnamo November 2017 Elias Kihombo alifanikiwa kutunukiwa Degree yake ya kwanza akiwa ndani ya University of Dar Es salaam baada ya Miaka 11 kupita.

Hapa imepita Miaka mingi tangia, 2006 Engineer Elias Kihombo alivyotangazwa kuwa Tanzania One lakini ilimchukua Miaka mingine 11 mpaka kutunukiwa Degree yake ya kwanza. Huyu ndiye The Best Of The Best, Eng Elias Kihombo Mwanafunzi aliyepata kutokea Tanzania kuwa na uwezo mkubwa darasani. Nlsikia jinsi ambayo eng elias alikuwa na kipaji cha kufundisha kuanzia asubuhi mpk jioni na kusitokee hata swali moja liliomtolea nje .siku ambayo alisolve maswali kuanzia saa moja hadi saa nne hakuna swali lililo msumbua saa tano hadi saa nane hakuna swali lililo msumbua saa tisa hadi saa kum na mbili hakukua na swali lililo msumbua tuliendelea na mwendo huo kwa muda wa wiki moja . Itabaki historia ktk maisha ya wanafunzi na elimu ya Tanzania kwa ujumla.

Lakin leo tunavyozungumza Elias Kihombo hatunaye tena duniani. Inasemekana kifo chake ni kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimkabili. Tunahitaji kuwa Karbu na Mungu wakati wote kwan safari yetu ipo mikononi mwake. Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe!

I will never Forget you My brother

You will be missed forever and always. The beautiful moments you shared with me will always speak of a great person that you were.

Rest in peace up in the heaven

View attachment 1630262
View attachment 1630283
Mkuu,

Umekosea sana kumtukuza mja wa Mungu kama 'The Best Of The Best', hii sio sawa

Ukitaka kujua wanafunzi waliokuwa na akili zisizo za kawaida darasani katika masomo ya sayansi kuanzia sekondari hadi chuo jikite miaka kati ya 1966-1989, baada ya hapo hakuna kitu kwa sababu silabasi tayari zilikuwa zimebadilika na masomo kurahisishwa sana lakini kulikuwa na wigo mpana wa kupata maarifa nje ya mfumo wa darasani hasa mitandao nk.

Msingi mzuri wa mwanafunzi kukuza kipaji kwa matumizi sahihi ya akili ni kufundishwa na mwalimu aliyefaulu daraja la kwanza na masomo anayofundishwa ndio kafauli vizuri hapo ufundishaji ni wa moyo wote kuliko wa leo ambao lengo lao ni kipato tu.

Combination zifuatazo ndizo zilikuwa zinatoa wanafunzi wenye akili sana

1. CBA (Chemistry, Biology & Agriculture) mpaka mwaka 1987 shule ilikuwa ni moja tu chi nzima yenye wanafunzi 24 tu na sharti awe daraja la kwanza kutoka kidato cha nne);
2. PCM (Physics, Chemistry & Advanced Mathematics) wanafunzi wenye akili sana walikuwa wakipatikana kwenye shule maalumu za serikali au seminari; (Kibaha, Ilboru, Old Moshi, Pugu, Tambaza, Minaki, Moshi Tech, Tanga Tech, Galanos, Mkwawa, Mazengo, Weruweru, Ashira nk)
3. PGM (Physics, Geography & Advanced Mathematics) maelezo kama hapo namba 2
4. PCB (Physics, Chemistry & Biology) maelezo kama namba 2
5. CBG (Chemistry, Biology & Geography) maelezo kama namba 2
6. EGM (Economics, Geograph & Advanced Mathematics) maelezo kama namba 2

Kuna watu walipata A za masomo yote kuanzia kidato cha nee, kidato cha sita na chuo daraja la kwanza lakini utashangaa aliokuwa nao na walipata daraja la pili au tatu kwa sasa ni Maprofesa au PhD holders na utafiti kibao for nothing productive for personal or community advancement.

Kuna wengine anaweza asiingie darasani kwa siku kadhaa, haendi prep, hashiriki discussion session na wenzie lakini kwenye mtihani masomo yote anachukua A zote

Fomula ya kujenga ubongo vizuri ili uwe naakili isiyo ya kawaida ni kumsikiliza mwalimu darasani ABC principles anazofundisha kisha changamoto zote na njia sahihi za kukabiliana nazo utaziweza siku zote. Kusoma notisi, kutafuta rejea kwenyye vitabu mbalimbali na kushiriki majadiliano na wenzako ni nyongeza tu.
 
Mkuu,

Umekosea sana kumtukuza mja wa Mungu kama 'The Best Of The Best', hii sio sawa

Ukitaka kujua wanafunzi waliokuwa na akili zisizo za kawaida darasani katika masomo ya sayansi kuanzia sekondari hadi chuo jikite miaka kati ya 1966-1989, baada ya hapo hakuna kitu kwa sababu silabasi tayari zilikuwa zimebadilika na masomo kurahisishwa sana lakini kulikuwa na wigo mpana wa kupata maarifa nje ya mfumo wa darasani hasa mitandao nk.

Msingi mzuri wa mwanafunzi kukuza kipaji kwa matumizi sahihi ya akili ni kufundishwa na mwalimu aliyefaulu daraja la kwanza na masomo anayofundishwa ndio kafauli vizuri hapo ufundishaji ni wa moyo wote kuliko wa leo ambao lengo lao ni kipato tu.

Combination zifuatazo ndizo zilikuwa zinatoa wanafunzi wenye akili sana

1. CBA (Chemistry, Biology & Agriculture) mpaka mwaka 1987 shule ilikuwa ni moja tu chi nzima yenye wanafunzi 24 tu na sharti awe daraja la kwanza kutoka kidato cha nne);
2. PCM (Physics, Chemistry & Advanced Mathematics) wanafunzi wenye akili sana walikuwa wakipatikana kwenye shule maalumu za serikali au seminari; (Kibaha, Ilboru, Old Moshi, Pugu, Tambaza, Minaki, Moshi Tech, Tanga Tech, Galanos, Mkwawa, Mazengo, Weruweru, Ashira nk)
3. PGM (Physics, Geography & Advanced Mathematics) maelezo kama hapo namba 2
4. PCB (Physics, Chemistry & Biology) maelezo kama namba 2
5. CBG (Chemistry, Biology & Geography) maelezo kama namba 2
6. EGM (Economics, Geograph & Advanced Mathematics) maelezo kama namba 2

Kuna watu walipata A za masomo yote kuanzia kidato cha nee, kidato cha sita na chuo daraja la kwanza lakini utashangaa aliokuwa nao na walipata daraja la pili au tatu kwa sasa ni Maprofesa au PhD holders na utafiti kibao for nothing productive for personal or community advancement.

Kuna wengine anaweza asiingie darasani kwa siku kadhaa, haendi prep, hashiriki discussion session na wenzie lakini kwenye mtihani masomo yote anachukua A zote

Fomula ya kujenga ubongo vizuri ili uwe naakili isiyo ya kawaida ni kumsikiliza mwalimu darasani ABC principles anazofundisha kisha changamoto zote na njia sahihi za kukabiliana nazo utaziweza siku zote. Kusoma notisi, kutafuta rejea kwenyye vitabu mbalimbali na kushiriki majadiliano na wenzako ni nyongeza tu.
Upo sahihi kabisa mkuu
 
Apumzike kwa amani huyu mhandisi, poleni wafiwa.

Hapo pia nimeona the tragedy of academic hyper-performance inayoambatana na arrogance. Mnisamehe sana kwa maoni yangu haya.

Kwa kutazama fates za hawa hyper-performers hasa wa O-level na A-level, naona bora mtoto apate passes za kawaida tu zinazotosha kwenda chuo na kuendelea na maisha, kwani hizi za kuzidi sana zinaleta pia mambo mengine magumu ambayo mtoto anashindwa kukabiliana nayo.

Usishangae kusikia kuwa hao wenzake walioorodheshwa pamoja hapo kwenye jedwali la matokeo sasa hivi wana maisha mazuri tu, wana makazi yao, familia zao, vipato vya uhakika na wanafurahia maisha, lakini mwenzao huyo waliyekuwa wakimsifu sana na hata kumuonea wivu ameishia maporomokoni.

Mnajua hawa "Tanzania-One" wanakoishia baada ya misifa hiyo? Tuwaombee sana hawa watoto na tuwasaidie sana.
Kumsifu mtu mbele ya watu ni sawa na kumuua isipokuwa kwa yule anaejitambua tu...

Binadamu anaposifiwa vitu viwili vinaweza vikamuota kama asipojitambua.
1-: dharau
2:- kiburi

Na hv vtu viwili ni adui wa mafanikio duniani adi mbinguni.

Kupitia statement yake " Mungu na mzungu"....tumpe pole mwamba kwa kupitiwa na hvyo vtu viwili.

The more you know abt the unknown,the more you actually understand how little you know....
It make you humble and bring you back to the world of wonders, miracles and magic...

DHARAU NA KIBURI NI ADUI WA MAFANIKIO YAKO...TUSISAHAULISHWE NA VITU VIDOGO DUNIA TUNAPITA.
 
Cancer watu wanaugua muda mrefu,sukari watu wanaugua muda mrefu,figo wanaugua muda mrefu even frustration ni maradhi endelevu na mengineyo sasa wewe unataka kusema nini alikuwa akiugua je aliwahi kuja kwako kutaka ushauri ukampima?

Ujinga tu,au unadhani kuwa TO kunamtenga kuwa kama binadamu wengine?
Umeelewa kauli yangu au unakurupuka tu kunijibu na kuni judge? Unajua nilikuwa nalenga nini?

Jadeed habithi Al amal
 
Leo tunavyozungumza Elias Kihombo hatunaye tena duniani. Inasemekana kifo chake ni kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimkabili.

Tunahitaji kuwa Karibu na Mungu wakati wote kwani safari yetu ipo mikononi mwake.

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe!

I will never forget you My brother.

You will be missed forever and always. The beautiful moments you shared with me will always speak of a great person that you were. Rest in peace up in heaven.


-----
Pia soma




ALAMA ALIZOACHA ELIAS KIHOMBO


Imepita miaka takribani miaka 14 sasa, tangia Tanzania ilipopata kumshuhudia mwanafunzi alieshindikana katika masuala ya Elimu hapa namzungumzia,Tanzania One (2006) Elias Kihombo katika matokeo ya Kidato cha Sita mwaka 2006 akitokea shule ya sekondari Tosamaganga wengi wanapenda kuiita Tosa Boy's

Mwaka 2006, Necta ilimtangaza mwanafunzi Elias Kihombo kutoka Tosamaganga Secondary School kuwa ndo kipanga wa mwaka huo akiwapita wanafunzi wenye akili zaidi waliovuma toka shule kongwe na special schools kama Kibaha, Ilboru, Mzumbe, Kilakala, Tabora Boys etc ukweli ni kwamba Elias Kihombo hakuwa maarufu kwa kipindi hiko na wengi walisikia tu story zake haswa kwa Wanafunzi wa Mzumbe Boys ambao Mara nyingi walipata kumuona katika mazingira yao.

Kumbuka kwamba Elias Kihombo hakupewa Priority kubwa sana ya kuwa T.O wa Advance Level kutokana pia na matokeo yake ya Kidato cha Nne (4) kuonekana kuwa ya kawaida sana, Kihombo alifanikiwa kupata Division One (1.14) akiwa na Physics-A Chemisrty-A Biology na Mathematics-B, Ndipo mwaka huo 2003 alipata kuchaguliwa Tanga Technical school iliyopo mkoa wa Tanga (tetesi), lakini baadae aliamua kurudi tena katika shule yake ya zamani yaani Tosamaganga Secondary kuendelea na masomo yake ya Advance Level. Alimaliza hapo hapo akifanikiwa kuwa mwanafunzi wa kwanza toka Tosamaganga kwa Advance Level kuwa mwanafunzi bora kitaifa, Alifanikiwa kupata maksi za juu sana na kupata Division One (1.3)

Physics-A
Chemistry-A
Advanced Mathematics-A

October 2006 Alichaguliwa kujiunga na University of Dar Es Salaam (UDSM) akiwa kama T.O kusoma Bachelor of Science In Telecommunication Engineering (4years) na tetesi zinasema alifanikiwa kupata ufadhili wa masomo yake chini ya kampuni ya Airtel.

Siku zilienda na alikuwa karibu kumaliza Elimu yake ya chuo kikuu, huku akipata madili mengi ya kufundisha Tuition maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dar Es Salaam na shule nyingi za sekondari ndani ya Tanzania, hasa shule za Advance.

Lakini baada ya Miaka 4 kupita ikiwa miezi michache tu imebaki ya kumaliza chuo, Tanzania One Kihombo alidisco chuo na hivyo kumfanya asifanikiwe kupata degree yake ya kwanza mwaka huo 2010, lakini wengi wanasema hakupaswa kudisco chuo lakini ndivyo ambavyo Hatima yake ilipoishia hapo (tetesi )

Moja kati ya maneno ambayo wengi wanamnukuu aliyopata kuyasema ndani ya Miaka hiyo, alisema "Duniani walionipita kwa akili ni watu wawili tu wa kwanza Mola, wa pili ni Mzungu" hapa ndipo hatima yake inavyosemekana ikafungwa na wakuu wake lakini wengine wanasema vingine.

Elias hakutaka kwenda chuo chochote kile na ndani ya Miaka hiyo mitatu baada ya kudisco chuo, yaani 2011, 2012 na 2013 alikuwa anazunguka shule mbalimbali za sekondari Tanzania kupiga mapindi ya Physics na Chemistry na kwelii huyu jamaa alikuwa ni Invisible katika masomo hayo mawili, Japo Pure Mathematics alikuwa hafundishi kabisa kwasababu alikuwa anasema "Siwezi kufundisha Somo rahisi duniani kama Pure Mathematics, Mimi nafundisha Physics na Chemistry tu"

Ndipo baada ya Miaka mitatu kupita (3) T.O aliyetukuka zaidi katika vinywa vingi vya wanafunzi wa Tanzania, kutokana na ufundishaji wake na kuwaita wanafunzi wake Nyumbu na kuwa na Jeuri zaidi ya Akili zaidi ya watu wengine, alifanikiwa kurudi tena ndani ya University of Dar Es Salaam safari hii akiwa ameamua na amezamilia kuchagua kozi nyingine Mpya kabisa iliyoanzishwa mwaka huo 2013 hapohapo Udsm iliyoitwa (Bachelor of Science In Petroleum Engineering). Hii kozi ilikuwa inachukua wanafunzi 20 pekee Tanzania nzima tena wale waliosoma PCM tu (Physics, Chemistry na Advanced Mathematics) na waliopata Marks za juu kabisaa.

Baada ya Miaka 4 kupita, ndipo July 2017, T.O Elias Kihombo alifanikiwa kumaliza Degree yake ya kwanza (Bachelor of Science In Petroleum Engineering) na mnamo November 2017 Elias Kihombo alifanikiwa kutunukiwa Degree yake ya kwanza akiwa ndani ya University of Dar Es salaam baada ya Miaka 11 kupita.

Hapa imepita Miaka mingi tangia, 2006 Engineer Elias Kihombo alivyotangazwa kuwa Tanzania One lakini ilimchukua Miaka mingine 11 mpaka kutunukiwa Degree yake ya kwanza. Huyu ndiye The Best Of The Best, Eng Elias Kihombo Mwanafunzi aliyepata kutokea Tanzania kuwa na uwezo mkubwa darasani. Nlsikia jinsi ambayo eng elias alikuwa na kipaji cha kufundisha kuanzia asubuhi mpk jioni na kusitokee hata swali moja liliomtolea nje .siku ambayo alisolve maswali kuanzia saa moja hadi saa nne hakuna swali lililo msumbua saa tano hadi saa nane hakuna swali lililo msumbua saa tisa hadi saa kum na mbili hakukua na swali lililo msumbua tuliendelea na mwendo huo kwa muda wa wiki moja . Itabaki historia ktk maisha ya wanafunzi na elimu ya Tanzania kwa ujumla.

Lakin leo tunavyozungumza Elias Kihombo hatunaye tena duniani. Inasemekana kifo chake ni kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimkabili. Tunahitaji kuwa Karbu na Mungu wakati wote kwan safari yetu ipo mikononi mwake. Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe!

I will never Forget you My brother

You will be missed forever and always. The beautiful moments you shared with me will always speak of a great person that you were.

Rest in peace up in the heaven

View attachment 1630262
View attachment 1630283
RIP
 
Umeelewa kauli yangu au unakurupuka tu kunijibu na kuni judge? Unajua nilikuwa nalenga nini?

Jadeed habithi Al amal
................Nilikusoma katikati ya mistari ile kauli obviously ulidhamiria kusema ameondoka kwa ngoma ila ukaachia jamii ijiongeze,nawajua sana wabongo hata hao wanaouliza uliza vijikauli kama “alikuwa anaumwa/ajali au nini” ni kutafuta umbea ila kama kafa kafa tu kama ni kwa kuugua kafa kama ni kwa ajali kafa sasa kwamba kafaje ni yeye na Mungu wake sisi haituhusu wala haimuhusu mtu yeyote.

Ulikuwa huna sababu ya kusema unatafakari,unatafakari kama nani.....baba yake au ndugu yake?hiyo kauli para ya chini kama umenitukana na wewe iwe hivyo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
................Nilikusoma katikati ya mistari ile kauli obviously ulidhamiria kusema ameondoka kwa ngoma ila ukaachia jamii ijiongeze,nawajua sana wabongo hata hao wanaouliza uliza vijikauli kama “alikuwa anaumwa/ajali au nini” ni kutafuta umbea ila kama kafa kafa tu kama ni kwa kuugua kafa kama ni kwa ajali kafa sasa kwamba kafaje ni yeye na Mungu wake sisi haituhusu wala haimuhusu mtu yeyote.

Ulikuwa huna sababu ya kusema unatafakari,unatafakari kama nani.....baba yake au ndugu yake?hiyo kauli para ya chini kama umenitukana na wewe iwe hivyo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
"Ulikuwa huna sababu ya kusema unatafakari,unatafakari kama nani....."

kwani nakatazwa kutafakari? Na kichwa ni changu mwenyewe Kwani kutafakari kwangu kuna kipi cha maana naongeza au napunguza?
 
Back
Top Bottom