Ghichichi
Senior Member
- Oct 13, 2012
- 191
- 206
Hakuna mtu ambae amekariri, akaandika kitabuKukarirri nacho kipajiiii
Sio wote wanaweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu ambae amekariri, akaandika kitabuKukarirri nacho kipajiiii
Sio wote wanaweza
Ina. Mana pamoja na kujua sana kemia na phisikia alishindwa kabisa kuitumia japo kujikinga na ngoma?Vijana wengi sana wanaoshika hela mapema.. wanakufa mapema sana... stds zinawachukua sana vijana... vijana vichwa huwa hawaishi sana sabab ya wanawake
Huyo alisema yeye alisoma petroleum chemistryIntake moja na sirJeff Denis
Kama umekaa nazo nyumbani[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama hizo akili umekaa nazo nyumbani kwenu jamii itakujua vipi kama una akili zaidi? Kihombo katunga vitabu, kafundisha vijana na ndio wanashuhudia kuwa alikuwa na akili zaidi.
MLEVi Mmoja kumbe umesoma mzumbe!?!Elimu ya bongo na wasomi wetu inatia huruma sana. Kama huyu ndo alifananishwa na Einstein basi mie ndio Tesla😀😀 Huyu jamaa kwa nilivyokuwa naona approach zake za kusolve maswali sidhan kama mitihani ya olympiad angepewa angetusua hata 40%
Anyway, aliwahi kuja pale mzumbe nikiwa A-level akasema kwamba Yeye na shetani wakikaa wakatunga swali la physics basi mungu hawezi solve(hii ni sacrilege kubwa sana).
R.I.P Kihombo, you'll be remembered
Unamaanisha mm au MLEVi MmojaMLEVi Mmoja kumbe umesoma mzumbe!?!
Namuuliza swali mlevi mmojaUnamaanisha mm au MLEVi Mmoja
.................Haya mfano wewe tuiweke physics pembeni.Ndio unakalili sasa kaitendea nn physics kama alikua anaijua vizuri yani kaleta nn kipya kama sio kukalili
Ni wivu tu unakusumbua. Ww najua hata physics ya form one huweziRip kwake T. O wa dunia
Sikh hizi karibia kila kifo cha MTU maarufu,hiyo kitu lazima itajwe. Ikiwa ni kweli,inawezekana kitaa hali sio nzuri.Ina. Mana pamoja na kujua sana kemia na phisikia alishindwa kabisa kuitumia japo kujikinga na ngoma?
Sema sasa kawaje. Alipata ajali, kaugua, au kawaje.
Yaani jamii yetu huwa siilewi hapa mtu kaacha mtegemezi mnasema afadhali?Afadhali kama alipata angalao wasaa wa kuowa na kupata mtoto,simjui ila nimesikitika sana watu smart na msaada kama hawa kufa hata hawajazifurahia elimu zao,duniani huko watu level yake wanagombania yupi awe tajiri wa dunia wa kwanza na nani awe wa pili ila kibongo bongo sometimes huyu kafariki hajaijengea hata familia yake msingi wa maisha.
Mungu amrehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna yule mwl, wa tuition wa physics muddy juzI kati kafariki... Huyo ndio tunafahamu.... Sasa Elias kamaliza juzi petroleum engerering chuoni kwetu..
Kafa lini?
Jamii yetu na kina nani!!!wewe na familia yako au na kina nani?usilazimishe kila mtu aamini unachoamini wewe.Yaani jamii yetu huwa siilewi hapa mtu kaacha mtegemezi mnasema afadhali?
DuhPhysics alikuwa ana 99
Cancer watu wanaugua muda mrefu,sukari watu wanaugua muda mrefu,figo wanaugua muda mrefu even frustration ni maradhi endelevu na mengineyo sasa wewe unataka kusema nini alikuwa akiugua je aliwahi kuja kwako kutaka ushauri ukampima?"Aliugua mda mrefu" [emoji848]
Kuna gonjwa naliwaza hapa