TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Hii nchi vijana wengi wa familia maskini wanajituma sana ila hawafanikiwi wanazunguka duara na kufa kwa frusttation .. why?
arrogance angekua mtu wa kujishusha angefika mbali mi nilisoma na watu wa type ya jamaa walikua wanajifanya wao wana akili sana lakini dunia haitaki watu arrogant ukijishusha watu wanakusaidia jamaa anaonekana alikua ana akili ya darasani ila utoto mwingi
 
nilikuwa na mdogo wake kihombo JKT MGAMBO 835-2013 anaitwa Beatrice Kihombo...daah pole kwa Familia,ndugu,jamaa na Marafiki

Tumepoteza mtu muhimu mwingine tena,daah hakika jamaa aliwainua wengi ‘Raha ya Milele ampe Eee! Bwana na Mwanga Wa Milele Umwangazie,APUMZIKE KWA AMAN
Mgambo ya kanole
 
Cha ajabu kila mwaka kuna kijana ni Tanzania One mwenye akili kama yeye au zaidi

Hii ku-generalize kwamba ni top human being throughout miaka yote hii sijui labda umetumia measurement gani hasa?
Ubora wa mitihani (na siyo ugumu) unatofautiana kila mwaka. Kila mwaka wanafaulu, lakini kati ya waliofaulu kuna wanao(aliye)faulu zaidi.
Aliyefaulu zaidi ili kujua sifa zake za ziada ni lazima alinganishwe na waliofaulu zaidi miaka iliyotangulia.
Records zitaamua.

Hata mkipata wote A zote, lazima zitakuwa na uzani tofauti
 
So appreciating Joannes Chrysostomus Wolfgangus Theophilus Mozart

Just because he is white and because you didn't know Elias you are happily mocking him

Anyway Africans tupo hvo

Matokeo yake o level alifeli all other arts subject ,D and C but physics chem math alkua ana A her mother alkua ni secretary wa shule so alkua anamtaftia vtabu na kumpa anasoma mwenyewe

Anyway nkikuelekeza Sana bado hutoelewa your mindset ipo hvo
BABA SWALEHE ANDIKA KISWAHILI TU.


ENGLISH YAKO INANIVUNJA MBAVU...
 
Hakuna kitu kibaya kama hiki kinachoitwa uhuru wa maoni.
Huyo boya nimeona comment yake nikatamani kumtukana, ila ndio hivyo nikaheshimu huo uhuru wa maoni.
Na hapo utakuta ana degree
Hii nchi ngumu sana, mtu hata hajui kuwa 98% inaweza kupatikana kwenye 60% ya kitu kingine
Ila nyinyi madogo mbona vilaza sana, muache kukurupuka, hujui kama 98% ni 58.8/60 ? Sasa shida iko wapi hapo ?

Hiyo 60 yako inawekwa kwenye mia kisha 40 kadhalika, mwisho wa siku ukijumlisha unarudi mule mule kwenye jumla ya 100.
 
Ubora wa mitihani (na siyo ugumu) unatofautiana kila mwaka. Kila mwaka wanafaulu, lakini kati ya waliofaulu kuna wanao(aliye)faulu zaidi.
Aliyefaulu zaidi ili kujua sifa zake za ziada ni lazima alinganishwe na waliofaulu zaidi miaka iliyotangulia.
Records zitaamua.

Hata mkipata wote A zote, lazima zitakuwa na uzani tofauti
elimu ya sasa ipo katika mazingira mepesi sana ukilinganisha na miaka ya 2012 kurudi nyuma...
maana hapo ndipo elimu na mitaala ya elimu ilianza kuchezewa hovyo hadi sasa...
so huwezi linganisha T.O wa mwaka 2000 na wa sasa 2019 ama 2020...
 
Dah! I'm shocked! I know the guy, tulipiga wote Tosa Boys lakini alikuwa amenitangulia darasa, nakumbuka the day alipotangazwa kuwa T.O wote tulikuwa shocked pale kiumeni kwa sababu kwanza alikuwa siyo mtu wa kuonekana class wala mazingira ya shule, muda mwingi nasikia alikuwa akienda kujichimbia Mzumbe, those days alikuwa na afro flani hivi la kibabe kichwani, kila mtu akawa anashangaa imekuwaje jamaa atoboe kuwa TO wakati class anadoji kinyama?

Alikuwa mtu wa low profile mno, akiwepo skuli mchana anapiga mbonji usiku anatoboa akipiga msuli. That night alipotangazwa kuwa TO, our Headmaster by then (Charwe- Rest in Peace), alikuwa excited mno, akatutangazia huku akiwa mitungi kwamba tutapiga kitu cha nyali (wali) wiki nzima mfululizo kusherekea mafanikio ya Mwamba Elias! So sad. His legacy will live!
 
elimu ya sasa ipo katika mazingira mepesi sana ukilinganisha na miaka ya 2012 kurudi nyuma...
maana hapo ndipo elimu na mitaala ya elimu ilianza kuchezewa hovyo hadi sasa...
so huwezi linganisha T.O wa mwaka 2000 na wa sasa 2019 ama 2020...
NAUNGA MKONO HOJA. SASA HIVI KUFELI NI KUJITAKIA TU. ENZI ZETU 2000 NDIO KULIKUA NA VIPANGA HATARI.
 
Unchosema ni sawa...hivyo vigezo vyote ulivyotoa ni sahihi

Ila kwa hili,nani kafanya research ya kweli kwa vigezo vyote hivyo kutuhakikishia Kahombo ndio supreme among all these years mzee?

Hakuna aliefanya!

Kilichofanyika ni maoni binafsi ya mtu kwendana na hisia zake ila hakuna concrete stats to back it up!

Sasa tubaki kwenye personal opinions tu mzee!
Upo sahihi Sana mkuu
 
Back
Top Bottom