TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Apumzike kwa amani huyu mhandisi, poleni wafiwa.

Hapo pia nimeona the tragedy of academic hyper-performance inayoambatana na arrogance. Mnisamehe sana kwa maoni yangu haya.

Kwa kutazama fates za hawa hyper-performers hasa wa O-level na A-level, naona bora mtoto apate passes za kawaida tu zinazotosha kwenda chuo na kuendelea na maisha, kwani hizi za kuzidi sana zinaleta pia mambo mengine magumu ambayo mtoto anashindwa kukabiliana nayo.

Usishangae kusikia kuwa hao wenzake walioorodheshwa pamoja hapo kwenye jedwali la matokeo sasa hivi wana maisha mazuri tu, wana makazi yao, familia zao, vipato vya uhakika na wanafurahia maisha, lakini mwenzao huyo waliyekuwa wakimsifu sana na hata kumuonea wivu ameishia maporomokoni.

Mnajua hawa "Tanzania-One" wanakoishia baada ya misifa hiyo? Tuwaombee sana hawa watoto na tuwasaidie sana.
Upo sahihi mkuu.
 
Unchosema ni sawa...hivyo vigezo vyote ulivyotoa ni sahihi

Ila kwa hili,nani kafanya research ya kweli kwa vigezo vyote hivyo kutuhakikishia Kahombo ndio supreme among all these years mzee?

Hakuna aliefanya!

Kilichofanyika ni maoni binafsi ya mtu kwendana na hisia zake ila hakuna concrete stats to back it up!

Sasa tubaki kwenye personal opinions tu mzee!
impact yake ni kumbwa kuliko others TO labla TO mwingine ambaye ana impacts ni @joelnanauka.

kitu pekee alichokifanya ni kufanya maelfu ya watanzania wenye ndoto ya kusoma physics na kufanya vizuri kutimiza ndoto yao.

hivyo ilo tu linamfanya awe awe tofauti , ukiachana na record ya matokeo yake ambayo bado haijavunjwa.

pili u genious wake upo kwenye nini yeye alifahamu ...... Elimu na kuhamisha knowledge, na alifanikiwa sana...

kama ujuavyo elimu ni huduma na ualimu ni wito, na si ualimu tu bali wenye matokeo chanya.

Tunajifunia wahandisi, madactari, na wengine wanasayansi kutoka kwenye mikono yake ikumbukwe jamaa hakuwai kuajiriwa nikiwepo mimi mwenyewe.

Ameandika vitabu vya physics vitakavyo kuwa vikitumika vizazi na vizazi....siwezi sema ana umri mkubwa labla chini ya 40hv, but tunajivunia maisha ya mwamba
 
Cha ajabu kila mwaka kuna kijana ni Tanzania One mwenye akili kama yeye au zaidi

Hii ku-generalize kwamba ni top human being throughout miaka yote hii sijui labda umetumia measurement gani hasa?
Sasa kama hizo akili umekaa nazo nyumbani kwenu jamii itakujua vipi kama una akili zaidi? Kihombo katunga vitabu, kafundisha vijana na ndio wanashuhudia kuwa alikuwa na akili zaidi.
 
Msamehe bure huyo anaesema jamAA alikuwa anakariri,,,,mtu na aina hiyo mnakuwa mnaongea lugha tofauti kwa hiyo kuelewana ni ngumu sana,,mtu aliyesoma physics advance,hawezi sema jamaa alikuwa anakariri kwa sababu anafahamu nature yA Hayo masomo yalivyo,,,
Huyo ni wivu tu unamsumbua na pia yawezekana amesoma masomo ya kukariri majibu kama historia. Physics hususan ya A- level huwezi kutoboa kwa kukariri.
 
elimu ya sasa ipo katika mazingira mepesi sana ukilinganisha na miaka ya 2012 kurudi nyuma...
maana hapo ndipo elimu na mitaala ya elimu ilianza kuchezewa hovyo hadi sasa...
so huwezi linganisha T.O wa mwaka 2000 na wa sasa 2019 ama 2020...
Na ndiyo maana nikataja ubora wa mitihani na siyo ugumu wa mitihani.
 
Aisee

Ulivyotoa vyote ni maoni binafsi unavyoona binafsi yako,hakuna concrete stats!

Nanauka?Kwavile unamuona Youtube na kwenye maradio anaongea kama public speaker sio?

Umeona where you are going?

Ambao hujawaona youtube hao hawana impact sio?

Waliopo Microsoft,NASA,LinkedIN,Tesla,etc,hao hawana impact sio?

Walioko Muhimbili wanapasua ubongo za watu kuokoa maisha wao hawana impact sababu sio public speakers Youtube?

Kwahiyo marehemu Kahombo ni bora zaidi na alikua na impact kubwa zaidi hapa duniani zaidi ya maTO wote sababu tu alikua anafundisha Tuition ya Physics?

I know where you are going bro,siwezi kwenda wewe,nenda mwenyewe!
Kwanini niendelee kwenda na ww,
hebu tuanzie hapa ,kwani nani kasema hawana IMPACT?
The fact ni kwamba jamaa katimiza kilicho mleta duniani, wapo wapasua ubungo wengi wamepita kwenye mikono yake, na wapo ma TO wengi wamepita kweye mikono yake,
kaacha impact na impact imeonekana. kama huwelew unakaza ubongo, haina noma kaza tu ubongo
kitu pekee ninacho kwambia chochote kile kinaitaji elimu, na niwachache wanaotumia elimu zao vyema kuleta matokeo chanya kwenye jamii
 
Mkuu

Hapa duniani mwenye impact ni mfundisha Tuition ya Physics tu?

Marehemu alitunga kitabu gani?Maana kuna tabia ya watu kutamka kitu tu akitegemea tutaamini akisemacho kama msahafu...Weka serial number ya kitabu chake hapa tu verify,kwasababu I know ni uongo mtakatifu!

Au unasemea madesa yale ya O'Level ya Jiandae?Au collection ya Solved Papers?Hivyo si vitabu mkuu

Ni solved past papers binded kwa stepplers!

Tuna maTO wapo Muhimbili wanafanya complex suggeries...Tunao maTO ni waaalimu vyuo mbalimbali duniani...

Tuna maTO wapo Google,Microsoft,NASA,LinkedIN,etc...kwavile huwaoni Youtube au Clouds FM kama public speakers wa mahusiano basi hawana impact???????

Relax bwana
wewe ni kilaza sibishani nawewe husikute hata kitabu ukiwekewa, hutoelewa....
kwahiyo baki na ukilaza wako
 
Kaacha mtoto mmoja

Afadhali kama alipata angalao wasaa wa kuowa na kupata mtoto,simjui ila nimesikitika sana watu smart na msaada kama hawa kufa hata hawajazifurahia elimu zao,duniani huko watu level yake wanagombania yupi awe tajiri wa dunia wa kwanza na nani awe wa pili ila kibongo bongo sometimes huyu kafariki hajaijengea hata familia yake msingi wa maisha.

Mungu amrehemu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TAFUTENI ''A'' ZA GEOGRAPHY 2006. ZINAHESABIKA NAMI NILIKUA MMOJA WAO.
Leta uzi wako tukukasirikia ukiwepo
Elimu ya bongo na wasomi wetu inatia huruma sana. Kama huyu ndo alifananishwa na Einstein basi mie ndio Tesla😀😀 Huyu jamaa kwa nilivyokuwa naona approach zake za kusolve maswali sidhan kama mitihani ya olympiad angepewa angetusua hata 40%

Anyway, aliwahi kuja pale mzumbe nikiwa A-level akasema kwamba Yeye na shetani wakikaa wakatunga swali la physics basi mungu hawezi solve(hii ni sacrilege kubwa sana).

R.I.P Kihombo, you'll be remembered
Duuuh kama kweli alisema hivyo aliingiwa na kiburi maridhawa!
 
Back
Top Bottom