TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Kwa aliyesoma A level Physics na Advanced Mathematics atakubaliana na mimi kuwa physics ni ngumu kuliko maths. Sisi wa kukariri tulipata shida sana[emoji23]

Pole kwa wafiwa wote na wale mliobahatisha kuwa nae.
 
Ndio unakalili sasa kaitendea nn physics kama alikua anaijua vizuri yani kaleta nn kipya kama sio kukalili
Amefundisha watu ambao Sasa hivi NI madaktari na ma ma nurse
Wengine ma engineer sehemu mbalimbali Kama vile ujenzi madi no
Pia wengine wamefundishwa nae Sasa hv NI mafndi umeme , madereva na wanapaka rangi nyumba na magari hiZo field zote na nyingine nyingi NI physics

Sasa wewe ulitaka aitendee Nini physics labda

Amefanya kkikubwa Sana
Kiyendo Cha ku transfer knowlegde aliyonayo kwenda kwa Mtu mwingine unafikiri NI Jambo dogo

Acha ujinga wewe
 
Sehemu zingine kama unamponda,mahala kwingine kama unamsifia,kuna mahala unahubiri Mora. Kuna mahala unalilia kufa. Kuna ugonjwa aliofia,kama unatamani kuusema,unajificha nyuma yake. Hujaeleweka unataka nini hasa?. Maana kama ni kufa wamekufa wengi sana wajuzi,maarufu sana. Hebu tuambie mwamba unataka nini sana?
 
Amefundisha watu ambao Sasa hivi NI madaktari na ma ma nurse
Wengine ma engineer sehemu mbalimbali Kama vile ujenzi madi no
Pia wengine wamefundishwa nae Sasa hv NI mafndi umeme , madereva na wanapaka rangi nyumba na magari hiZo field zote na nyingine nyingi NI physics

Sasa wewe ulitaka aitendee Nini physics labda

Amefanya kkikubwa Sana
Kiyendo Cha ku transfer knowlegde aliyonayo kwenda kwa Mtu mwingine unafikiri NI Jambo dogo

Acha ujinga wewe
Sijui kama umejibu ulichoulizwa.
 
Ila leo ndio nimeamini ualimu ni kada inayodharauliwa sana, ila cha ajabu bado watu wanapeleka watoto wao shule.
Unaambiwa amefundisha watu wengi na alikuwa msaada kwao kwa masomo alofundisha ila bado mtu haoni mchango wake.

Kama ni hivyo ni kwanini basi msifundishe watoto wenu wenyewe mnawaacha waende kupoteza muda shuleni?[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Sio kukalili NI kukariri
Ulitaka njibu vp
Ujinga wenu mnafikiri kwamba gifted person lazima agundue kitu
Kwa hyo Kama hakugundua ameendeleza walivyogundua wengine sio gifted
Ndio maana mnangangania eti alikuwa anakariri
Nadhani nyie ndio mnaokariri Sasa
Kweli elimu haijawasaidia

Mbona nyie hamjaweza kukariri basi mkapata hzo A tukawaandika hata hapa jf?
Mm simjui huyo kijana lakini nimesoma Phys na Chem mpaka chuo kikuu najua huwszi kukariri kea kiwango Cha huyo kijana
Naandika kitu ninachokifahamu
 
Back
Top Bottom