TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Ndio huyo mshikaji wako Chegere?

That guy must be really smart basi...

Hajawahi soma USA,say Harvard au Yale?

Its funny from Kindergarten yupo Tanzania tu mpaka leo?

Angeenda Harvard akawa matched na the brights of the world na akawa out-perform aisee tungesema mengine hapa...

Nadhani Rweyemamu Anatory tu ndio aliweza hiyo ya kufunika dunia nzima...

But thats an angle to look at too

Havard huingii kizembe zembe zama hizi... zamani havard iliwapa sana chance waafrica sabab nchi zilikuwa changa hazina wasomi kabisa (quota system ya potential leaders na walimu wa vyuo ) ndio maana ma professor wa zamani kina mkandala wamesoma vyuo vikubwa kama UC barkeley ... ila zama hizi hawatoi chance kwa maksi za necta.. scholarship za siku hizi ni korea na vyuo vya ulaya visivyo na majina makubwa
 
Huwa hawanahabari ya kukukuza vipaji.ila wanapenda kutumia vipaji kwa maslahi yao.Yaani huyu jamaa ingekuwa nchi nyingine angepewa push na serikali,maana kipaji angeweza ingizia nchi fedha za kigeni.Ukisoma huu uzi utakuta bongo walikuwa wanakomaa naye kumuweka darasani afanye vitu vilivyokuwa siyo saizi yake ,yaani atafute course work,ndiyo maana hata alidisco.lkini ukisoma hizo posts hapo juu utagundua jamaa tayari alikuwa kwenye level ya Phd akiwa first year.so walimu walimfelisha huenda alikua na fikra za juu sana kiasi walikuwa hawamuelewi.Yaani hapa nalia na mfumo wetu wa elimu ulivyo ligid.yaani uko so machenical.Yaani iliishia kumtangaza TO huko 2006 baada ya hapo hakuna time ya kumfuatilia na kumpromote aweze kufika mbali,only sponsorshipi ya ada.Hizi ni talents ambazo baadaye wangakuja kutafuta ufumbuzi wa changamoto za nchi.
RIP Tanzania one mwenye record kubwa sana.huwenda record take haijavunjwa na haitakujwa kuvunjwa hivi karibuni.kama ni kweli aliscore hizo maks
Sijui kuna siri gani katika mfumo wetu wa elimu ambao maybe tunafichwa maana mawazo chanya kama haya ya kwako nimeanza kuyasikia muda mrefu sana lakini sioni serikali ikijisumbua kufanya mabadiliko ya kimfumo katika elimu ili kuleta tija hususani katika kutambua na kuendeleza vipaji vya watu wake.
 
Dharau zake pia zilichangia kumfelisha.
Wapo baadhi ya Ma T.O wamepushiwa na serikali hii hii wamefika mbali sana.Wamekuwa asset ya nchi na baraka za kiuchumi kwenye familia zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama dharau zake ndio kilikuwa kikwazo nadhani alipaswa kufanyiwa counseling na watu positive.Naamini angekuwa sawa tu.
 
Mimi mwaka 2000 nlipata A katika masomo yote matatu ya PCM. kifupi ni kuwa O- Level nilikuwa na B moja tu ya Kiswahili. A- level nikasimamisha misonge masomo yote.

Nilipokuwa Chuo UDSM. nliishi maisha ya manyanyaso sana toka kwa lectures pale Udsm. Nlinyanyasika sana. Mitihani yangu ikawa inasahishwa kwa umakini mkubwa kunitafutia makosa.

Semister ya kwanza nlikuwa na GPA ya 4.9 na pili 4.9

Mwaka wa pili semister ya kwanza 4.9 ya pili 4.8 walimu wakaanza kuwa na nongwa hasa kwa kuwa nlikuwa naonekana sometimes kuwarekebisha wanapokuwa wanafundisha. Nlikuwa mara nyingi napendekeza njia rahisi za ku solve maswali.

Nlidisco ktk mazingira ya kushangaza sana. Kesi yangu ilienda mbele za watu ambao baadaye wengine walikuja omba msamaha. Namkumbuka Prof mmoja ambaye alikuja gombea urais miaka ya nyuma huyu ndo alikuwa akinipambania na kunitia moyo. Huyu aliniwezesha kurudi tena chuo after 4 years. Nlianza na GPA ya 4.7 nikawa napanda.mpaka nimemaliza Chuo nlikuwa na GPA ya 4.8 nenda kawaulize Coet watakupa habari zangu.

Ndo kisa cha wadau kuniita Chizi Maarifa. Mimi nlikuwa napiga vipindi wanachuo wa masters wanakuja kwangu Hall 4 niwape shule.

Nitawasimulia mambo makubwa kwenye uzi wangu. Ila kuna details ntaficha sababu za kiusalama.
Tunasubiri....Usisahau kuni Tag
 
Mimi mwaka 2000 nlipata A katika masomo yote matatu ya PCM. kifupi ni kuwa O- Level nilikuwa na B moja tu ya Kiswahili. A- level nikasimamisha misonge masomo yote.

Nilipokuwa Chuo UDSM. nliishi maisha ya manyanyaso sana toka kwa lectures pale Udsm. Nlinyanyasika sana. Mitihani yangu ikawa inasahishwa kwa umakini mkubwa kunitafutia makosa.

Semister ya kwanza nlikuwa na GPA ya 4.9 na pili 4.9

Mwaka wa pili semister ya kwanza 4.9 ya pili 4.8 walimu wakaanza kuwa na nongwa hasa kwa kuwa nlikuwa naonekana sometimes kuwarekebisha wanapokuwa wanafundisha. Nlikuwa mara nyingi napendekeza njia rahisi za ku solve maswali.

Nlidisco ktk mazingira ya kushangaza sana. Kesi yangu ilienda mbele za watu ambao baadaye wengine walikuja omba msamaha. Namkumbuka Prof mmoja ambaye alikuja gombea urais miaka ya nyuma huyu ndo alikuwa akinipambania na kunitia moyo. Huyu aliniwezesha kurudi tena chuo after 4 years. Nlianza na GPA ya 4.7 nikawa napanda.mpaka nimemaliza Chuo nlikuwa na GPA ya 4.8 nenda kawaulize Coet watakupa habari zangu.

Ndo kisa cha wadau kuniita Chizi Maarifa. Mimi nlikuwa napiga vipindi wanachuo wa masters wanakuja kwangu Hall 4 niwape shule.

Nitawasimulia mambo makubwa kwenye uzi wangu. Ila kuna details ntaficha sababu za kiusalama.

Aiseee...Nasubiria stori yako. Walimu wa Coet nawapata pata kiasi chake.
 
Mimi mwaka 2000 nlipata A katika masomo yote matatu ya PCM. kifupi ni kuwa O- Level nilikuwa na B moja tu ya Kiswahili. A- level nikasimamisha misonge masomo yote.

Nilipokuwa Chuo UDSM. nliishi maisha ya manyanyaso sana toka kwa lectures pale Udsm. Nlinyanyasika sana. Mitihani yangu ikawa inasahishwa kwa umakini mkubwa kunitafutia makosa.

Semister ya kwanza nlikuwa na GPA ya 4.9 na pili 4.9

Mwaka wa pili semister ya kwanza 4.9 ya pili 4.8 walimu wakaanza kuwa na nongwa hasa kwa kuwa nlikuwa naonekana sometimes kuwarekebisha wanapokuwa wanafundisha. Nlikuwa mara nyingi napendekeza njia rahisi za ku solve maswali.

Nlidisco ktk mazingira ya kushangaza sana. Kesi yangu ilienda mbele za watu ambao baadaye wengine walikuja omba msamaha. Namkumbuka Prof mmoja ambaye alikuja gombea urais miaka ya nyuma huyu ndo alikuwa akinipambania na kunitia moyo. Huyu aliniwezesha kurudi tena chuo after 4 years. Nlianza na GPA ya 4.7 nikawa napanda.mpaka nimemaliza Chuo nlikuwa na GPA ya 4.8 nenda kawaulize Coet watakupa habari zangu.

Ndo kisa cha wadau kuniita Chizi Maarifa. Mimi nlikuwa napiga vipindi wanachuo wa masters wanakuja kwangu Hall 4 niwape shule.

Nitawasimulia mambo makubwa kwenye uzi wangu. Ila kuna details ntaficha sababu za kiusalama.
Mimi ni kilaza(sina hadhi ya U T.O) lakini manyanyaso ya chuo yanayofananafanana na yako yalinifanya nianze kuwauliza wadau wanipe mbinu nzuri ya kujidiscosisha.Nikapewa mbinu kem kem basi nikajifungia kwenye chumba changu cha siri nikachomoka na mbinu mojawapo kiroho safi.Sitakagi ujinga kabisa
 
Ndio huyo mshikaji wako Chegere?

That guy must be really smart basi...

Hajawahi soma USA,say Harvard au Yale?

Its funny from Kindergarten yupo Tanzania tu mpaka leo?

Angeenda Harvard akawa matched na the brights of the world na akawa out-perform aisee tungesema mengine hapa...

Nadhani Rweyemamu Anatory tu ndio aliweza hiyo ya kufunika dunia nzima...

But thats an angle to look at too
Wewe unafaa sana kukaa kwenye nyadhfa zinazohusiana na promotion of human abilities.Una moyo wa kipekee sana.Tz hatujazoea kuona watu kama nyie.Uishi milele mkuu.
 
Huwa hawanahabari ya kukukuza vipaji.ila wanapenda kutumia vipaji kwa maslahi yao.Yaani huyu jamaa ingekuwa nchi nyingine angepewa push na serikali,maana kipaji angeweza ingizia nchi fedha za kigeni.Ukisoma huu uzi utakuta bongo walikuwa wanakomaa naye kumuweka darasani afanye vitu vilivyokuwa siyo saizi yake ,yaani atafute course work,ndiyo maana hata alidisco.lkini ukisoma hizo posts hapo juu utagundua jamaa tayari alikuwa kwenye level ya Phd akiwa first year.so walimu walimfelisha huenda alikua na fikra za juu sana kiasi walikuwa hawamuelewi.Yaani hapa nalia na mfumo wetu wa elimu ulivyo ligid.yaani uko so machenical.Yaani iliishia kumtangaza TO huko 2006 baada ya hapo hakuna time ya kumfuatilia na kumpromote aweze kufika mbali,only sponsorshipi ya ada.Hizi ni talents ambazo baadaye wangakuja kutafuta ufumbuzi wa changamoto za nchi.
RIP Tanzania one mwenye record kubwa sana.huwenda record take haijavunjwa na haitakujwa kuvunjwa hivi karibuni.kama ni kweli aliscore hizo maks
Rigid mkuu
 
Mimi mwaka 2000 nlipata A katika masomo yote matatu ya PCM. kifupi ni kuwa O- Level nilikuwa na B moja tu ya Kiswahili. A- level nikasimamisha misonge masomo yote.

Nilipokuwa Chuo UDSM. nliishi maisha ya manyanyaso sana toka kwa lectures pale Udsm. Nlinyanyasika sana. Mitihani yangu ikawa inasahishwa kwa umakini mkubwa kunitafutia makosa.

Semister ya kwanza nlikuwa na GPA ya 4.9 na pili 4.9

Mwaka wa pili semister ya kwanza 4.9 ya pili 4.8 walimu wakaanza kuwa na nongwa hasa kwa kuwa nlikuwa naonekana sometimes kuwarekebisha wanapokuwa wanafundisha. Nlikuwa mara nyingi napendekeza njia rahisi za ku solve maswali.

Nlidisco ktk mazingira ya kushangaza sana. Kesi yangu ilienda mbele za watu ambao baadaye wengine walikuja omba msamaha. Namkumbuka Prof mmoja ambaye alikuja gombea urais miaka ya nyuma huyu ndo alikuwa akinipambania na kunitia moyo. Huyu aliniwezesha kurudi tena chuo after 4 years. Nlianza na GPA ya 4.7 nikawa napanda.mpaka nimemaliza Chuo nlikuwa na GPA ya 4.8 nenda kawaulize Coet watakupa habari zangu.

Ndo kisa cha wadau kuniita Chizi Maarifa. Mimi nlikuwa napiga vipindi wanachuo wa masters wanakuja kwangu Hall 4 niwape shule.

Nitawasimulia mambo makubwa kwenye uzi wangu. Ila kuna details ntaficha sababu za kiusalama.
Profesa Shayo wa Maths RIP
 
Back
Top Bottom