TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Acheni wivu wazee. Kama alichoweza kufanya jamaa wewe hujaweza vua kofia tu. Jamaa anadesrve.
Watu wote hawa wanaotoa respect sio kwamba hawajui wanachofanya.

Mnaosema alikariri physics, chemistry na PURE mathematics mbona ninyi hamjafanya?
Waliopita advance tena katika kombi yenye P wanaelewa mziki ulivyo.

RIP Mister.
Achana nao mkuu
Wanajiropokea tu ili kujifurahisha lakini ukweli ni kwamba jamaa alikuwa na akili za ajabu.
 
Tuishi maisha mazuri, tujiwekee malengo makubwa na tuyatimize. Ukiweza saidia wasio jiweza ili tukifa tuache alama, watakaobaki watukumbuke kwa mema tuliyoyafanya, let's not pass like a shadow.
R.I.P Elias.
 
Nimemkubali huyu kijana. Itoshe kusema alikuwa gifted. Nimeona alikuwa na passion ya kufundisha. Sijui kwa nini hakuenda chuo kusoma Education. Wakati mwingine zile sauti za kukuambia soma hiki upate kazi nzuri wakati hauna passion na hicho kitu. Kushindwa kumaliza degree mbili tofauti UDSM sio kwamba alikuwa kilaza but hakuwa na passion ya Engneering,sema zile sauti kasome uhandisi zilikuwa na nguvu kuliko yeye. Ndo maana hakuweka msisitizo sana kwenye masomo.
Nimeangalia Facebook yake nimeona alikuwa na passion ya kufundisha. Alitakiwa asome research,findings na kufundisha.
Too sad hapa Tanzania watu hawafanyi wananchokipenda. Unakuta mtu anakwenda kusoma Education sababu tu apate mkopo ila passion yake Law.
Too sad,it is difficult to follow your passion in Tanzania.
 
Baba Swalehe poleni kwa msiba. Lakini mbona huyo jamaa mlikuwa mnapaisha sana, wakati Tanzania One wanakuwapo kila mwaka? Huyo alifanya vizuri mwaka wake, lakini sio kwamba alikuwa bora zaidi ya wengine.
 
Najua zilikua quota system.....

Ila kwa bwana Chegere kama kweli angefika huko ashindane na best of the best halafu akawafunika then atleast tungempa hiyo title directly...

Pia of course kibongo bongo ame-set strong case
Chegere kasoma Gotherbeg University

Yuko BoT now nadhan
 
Nimemkubali huyu kijana. Itoshe kusema alikuwa gifted. Nimeona alikuwa na passion ya kufundisha. Sijui kwa nini hakuenda chuo kusoma Education. Wakati mwingine zile sauti za kukuambia soma hiki upate kazi nzuri wakati hauna passion na hicho kitu. Kushindwa kumaliza degree mbili tofauti UDSM sio kwamba alikuwa kilaza but hakuwa na passion ya Engneering,sema zile sauti kasome uhandisi zilikuwa na nguvu kuliko yeye. Ndo maana hakuweka msisitizo sana kwenye masomo.
Nimeangalia Facebook yake nimeona alikuwa na passion ya kufundisha. Alitakiwa asome research,findings na kufundisha.
Too sad hapa Tanzania watu hawafanyi wananchokipenda. Unakuta mtu anakwenda kusoma Education sababu tu apate mkopo ila passion yake Law.
Too sad,it is difficult to follow your passion in Tanzania.
Alisoma kamaliza Telecom ndo hakumaliza
 
Najua zilikua quota system.....

Ila kwa bwana Chegere kama kweli angefika huko ashindane na best of the best halafu akawafunika then atleast tungempa hiyo title directly...

Pia of course kibongo bongo ame-set strong case
Chuoni mimi nilisoma uhasibu, Martin alisomea uchumi.sasa sababu mimi advance sikosoma uchumi nikamuomba awe ananifundisha uchumi maana kwenye kozi yetu ni lazima usome uchumi.
Jamaa alinifundisha uchumi nikapata A semester ya 1 na A semester ya 2.
Na alinifanya nisiwe na group discussion na wanafunzi wenzangu maana wenzangu waliokuwa wametoka ECA,EGM na HGE ndio walikuwa wanaongoza kufundisha kwenye ma-discussion group ya uchumi.Ila the way Chegere alivyonifundisha nilikuwa nawaona wanaongea pumba tu uchumi hawaujui.
Mimi nikawa ratiba yetu na Martin chegere ni kila jumapili jioni tunasolve maswali yote ya seminar ya uchumi na past papers.
Martin ameniachia alama ya A mbili za uchumi. Mungu ambariki the best TO of Tanzania in all time.
Nyongeza:
Nilichompendea Martin nilikuwa nikimfuata tusome na kusolve maswali alikuwa haniulizi in advance IFRS weekend ijayo tunasoma topic gani? Yeye anakuja na peni tu halafu anasolve maswali yote.
 
Semester ya kwanza wanacalculate GPA hapo UDSM?.

Waliosoma Coet UDSM watusaidie kuhakiki taarifa hizi. Ila GPA huwa zinakuwa calculated Na kwenye vyeti vinawekwa mwishoni. Labda jamaa aliona kwenye Cheti cha mshikaji.
Ila GPA ya 4.9 daaah [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Mkuu,

Umekosea sana kumtukuza mja wa Mungu kama 'The Best Of The Best', hii sio sawa

Ukitaka kujua wanafunzi waliokuwa na akili zisizo za kawaida darasani katika masomo ya sayansi kuanzia sekondari hadi chuo jikite miaka kati ya 1966-1989, baada ya hapo hakuna kitu kwa sababu silabasi tayari zilikuwa zimebadilika na masomo kurahisishwa sana lakini kulikuwa na wigo mpana wa kupata maarifa nje ya mfumo wa darasani hasa mitandao nk.

Msingi mzuri wa mwanafunzi kukuza kipaji kwa matumizi sahihi ya akili ni kufundishwa na mwalimu aliyefaulu daraja la kwanza na masomo anayofundishwa ndio kafauli vizuri hapo ufundishaji ni wa moyo wote kuliko wa leo ambao lengo lao ni kipato tu.

Combination zifuatazo ndizo zilikuwa zinatoa wanafunzi wenye akili sana

1. CBA (Chemistry, Biology & Agriculture) mpaka mwaka 1987 shule ilikuwa ni moja tu chi nzima yenye wanafunzi 24 tu na sharti awe daraja la kwanza kutoka kidato cha nne);
2. PCM (Physics, Chemistry & Advanced Mathematics) wanafunzi wenye akili sana walikuwa wakipatikana kwenye shule maalumu za serikali au seminari; (Kibaha, Ilboru, Old Moshi, Pugu, Tambaza, Minaki, Moshi Tech, Tanga Tech, Galanos, Mkwawa, Mazengo, Weruweru, Ashira nk)
3. PGM (Physics, Geography & Advanced Mathematics) maelezo kama hapo namba 2
4. PCB (Physics, Chemistry & Biology) maelezo kama namba 2
5. CBG (Chemistry, Biology & Geography) maelezo kama namba 2
6. EGM (Economics, Geograph & Advanced Mathematics) maelezo kama namba 2

Kuna watu walipata A za masomo yote kuanzia kidato cha nee, kidato cha sita na chuo daraja la kwanza lakini utashangaa aliokuwa nao na walipata daraja la pili au tatu kwa sasa ni Maprofesa au PhD holders na utafiti kibao for nothing productive for personal or community advancement.

Kuna wengine anaweza asiingie darasani kwa siku kadhaa, haendi prep, hashiriki discussion session na wenzie lakini kwenye mtihani masomo yote anachukua A zote

Fomula ya kujenga ubongo vizuri ili uwe naakili isiyo ya kawaida ni kumsikiliza mwalimu darasani ABC principles anazofundisha kisha changamoto zote na njia sahihi za kukabiliana nazo utaziweza siku zote. Kusoma notisi, kutafuta rejea kwenyye vitabu mbalimbali na kushiriki majadiliano na wenzako ni nyongeza tu.

Umeelezea vyema mkuu !
 
................Nilikusoma katikati ya mistari ile kauli obviously ulidhamiria kusema ameondoka kwa ngoma ila ukaachia jamii ijiongeze,nawajua sana wabongo hata hao wanaouliza uliza vijikauli kama “alikuwa anaumwa/ajali au nini” ni kutafuta umbea ila kama kafa kafa tu kama ni kwa kuugua kafa kama ni kwa ajali kafa sasa kwamba kafaje ni yeye na Mungu wake sisi haituhusu wala haimuhusu mtu yeyote.

Ulikuwa huna sababu ya kusema unatafakari,unatafakari kama nani.....baba yake au ndugu yake?hiyo kauli para ya chini kama umenitukana na wewe iwe hivyo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Eti kama umenitukana nawewe hivyo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waliosoma Coet UDSM watusaidie kuhakiki taarifa hizi. Ila GPA huwa zinakuwa calculated Na kwenye vyeti vinawekwa mwishoni. Labda jamaa aliona kwenye Cheti cha mshikaji.
Ila GPA ya 4.9 daaah [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Sio Coet tu Udsm nzima, kuanzia matokeo ya mwaka wa kwanza kwa chini kabisa katika statement of results GPA inawekwa.
Nimesoma hapo UDBS 2008/9 - 2011. Na tupo wengi tu humu
 
Marehemu hana hatia ,mtu akifa hapaswi kunenewa mabaya..!wapo wanao mjua zaidi lakini hawamnenei mabaya.

Huu ni mda wa kumuombea apokelewe pema peponi.Kila mwanadam ana safari yake ya maisha hayo ndio maisha aliyoandikiwa kuishi hapa duniani.

Wapo waliograduate na kufa few months after gradu,ni maisha yooh

Una busara sana sana mkuu, umeelezea vyema. Hakuna haja ya kuanza kumrushia lawama mtu ambaye tayari ameshatangulia
 
Dah huyu mwamba story zake nimesikia sana, Minaki sijui kama alifika ila walipitaga kina Walter tu...

Moody physics alifariki mkuu.. nimesoma sana kwake, notes zake zilikua zinakupa hints ukachimbe zaidi..
Pond boy mwenzangu
 
Ndio huyo mshikaji wako Chegere?

That guy must be really smart basi...

Hajawahi soma USA,say Harvard au Yale?

Its funny from Kindergarten yupo Tanzania tu mpaka leo?

Angeenda Harvard akawa matched na the brights of the world na akawa out-perform aisee tungesema mengine hapa...

Nadhani Rweyemamu Anatory tu ndio aliweza hiyo ya kufunika dunia nzima...

But thats an angle to look at too

Can you tell me a bit more about Rweyemamu Anatory.! Nikitoka ibadani nitaingia YouTube kumcheck huyu Martin Chegere.
 
Waliosoma Coet UDSM watusaidie kuhakiki taarifa hizi. Ila GPA huwa zinakuwa calculated Na kwenye vyeti vinawekwa mwishoni. Labda jamaa aliona kwenye Cheti cha mshikaji.
Ila GPA ya 4.9 daaah [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Wana calculate hata first semister na mwaka ukiisha gpa inawekwa kabisa then kwenye cheti ndio wanaweka overall GPA, Mimi sijapata cheti Ila nikiingia kwenye ARIS yangu nakuta matokeo na GPA yake ingawa sijapata cheti
 
Back
Top Bottom