TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Sijakurupuka.

Wewe jibu swali.
Umekurupuka..maana hujafuatilia mazungumzo yangu na yule member niliyemuuliza swali.
Swali nililomuuliza 'Kwa hiyo kufeli chuo ndio kutokuwa na akili?'. Hivi unashindwaje kuelewa mantiki ya hili swali?
 
Yes Tanzania most of students wanasoma vitu kwa sababu
Hayo yapo Tanzania tu?

Marekani wazazi hawakai chini na watoto kujadili career choices, kwamba e bana eeh, unataka kusoma Art History and Theatric Dancing kaa ukijua unaweza ku lost. Duniani huko hakuna hiyo ?

Halafu sio kila anae pursue passion yake anakuja kufurahia. Wapo walio pursue passion baadae wanajuta kwa kuona haina manufaa. Your blanket singling out of Tanzania is misguided.

Halafu kama system ni mbovu hawa ndio ma genius wa hiyo Tanzania, waingie humo kwenye system wakarekenishe mambo basi, badala kuishia kufundisha ma tuition ya miembeni na kuridhika na vi Alteza vya hapa na pale. Wanataka nani awawarekebishie mambo ????
 
Ndoto nyingi za maskini haziko huru kaka,me nilipenda sana kuwa RUBANI nilifanya kila niliwezalo ili nifikie huko,nilivyofika A-level maajabu ndo yakaanziaga hapo.
Inasikitisha. Maana lisaa limoja tu ni dola nyingi mno. Imagine una masaa mangapi hadi uwe rubani ?Nchi zingine ungepata ufadhili kutoka serikalini ili utimize ndoto zako.
 
pole sana , mimi nakuelewa kwa sababu ilishawai kunikuta but sipo interested kuandika hapa.
labla siku nikiwa tayari nitashusha kamkasa kidogo, hilo linafanya nimuite kiyombo his genius
 

You don't know that!

Unajuaje alilazimishwa kusoma Engineering na wazazi na jamii?

Alikuwa na passion ya kuandika vitabu ? Kitabu gani kaandika ???

ISBN namba ya vitabu vyake ni ngapi?

Muhammed Said kaandika vitabu vyake vinasema uhuru wetu uliletwa na wajomba zake wa Kariakoo waliobaguliwa, wild and wooly, lakini vina ISBN! Vya marehemu mwamba Elias Kihombo namba zake ngapi ????
 
hebu tuanzie hapa, umeshasoma chuo ukajua changamoto za malecture?
unaweza disco tu kwa kutoingia class, lect. anaweza atoe assigment mda usio rasmi kisa ana kisilani na mtu fulani, anaweza weka vikwazo vikwazo hasa wale wanafunzi ambao ni best,
kuna mshikaji aliacha chuo Muhimbili mwaka wa nne siyo kisa alikuwa vibaya bali aliandamwa sana . hadi chuo akakiona kigumu , yupo mwingine tena hapo hapo mwimbili mwaka wa mwisho Nafikiri alikuwa Radiology aliamua kuacha siyo naye alifeli but ni visa vya chuo.
mwaka 2014 , jamaa alikuwa anapiga pindi , wakati anapiga pindi alituelezea kidogo ,alisema vilikuwa ni visa kisa yeye alikuwa hayupo darasani muda mwingi, ndo kilicho mfanya a discont...
 
so sorry bro, i wish to hear from other T.O akina William Maro wa Mzumbe, na wengine
 
Dah!..una akili nzuri sana mkuu..
 
Kuna vitu vya kukariri lakini si physics wala hesabu kama hujui hujui na kama unajua unajua tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…