Huwezi sema kitu ni uongo kwenye science bila kueleza ukweli wake......Mimi naijua sayansi ipi ya kweli na sayansi ipi ya Uongo, yaani nina njia zangu huwa nazitumia. Ukipata muda wa faragha tu ukawa unahoji na ukalinganisha na uhalisia unajua tu ya kuwa hiki chai na hiki ni kweli.
Mathalani asilimia zaidi ya 90% ya Quantum Mechanics ni Uongo, ukienda kwenye Sayansi ya anga hasa Astronomy zaidi ya asilimia 100 ni Uongo.
Sio jibu la maswali yanguWa kwanza kabisa professor kabudi macho ya kinyonga!
I agree with youNdiyo maana kipimo cha ujiniasi ni "exceptional skills," "rare natural ability," bila kujali tasnia ya mtu husika na hata time factor ("consistency"). That said, the man in question was very special & exceptionally knowledgeable! This doesn’t in any way rule out the obvious fact that any relatively salubrious individual can be so excellent and can even achieve almost anything to which they may choose to focus their undivided attention.
Ukweli wake ni kinyume chake.huwezi sema kitu ni uongo kwenye science bila kueleza ukweli wake......
Kaka nimependa ulivyovuruga kwenye kimalkia chako kuanzia mstari wa pili, Maana utakuwa unaijua mwenyewe na si msomaji😂😂Ndiyo maana kipimo cha ujiniasi ni "exceptional skills," "rare natural ability," bila kujali tasnia ya mtu husika na hata time factor ("consistency"). That said, the man in question was very special & exceptionally knowledgeable! This doesn’t in any way rule out the obvious fact that any relatively salubrious individual can be so excellent and can even achieve almost anything to which they may choose to focus their undivided attention.
Hee kumbe alkua TissHao ndo wake ambao hawanalizagi chuo...most of them Ni TISS
Kutokubaliana wapiUnajua maana ya jamii lkn!
binadamu tulivyoumbwa hatuwezi kukubaliana kila kitu.....
ukishaelewa hichi kitu you will never ever struggle to get into deep argument
simply put mkubaliane kuto kukubaliana
Sasa hivi imekuja habari mpya ya TISS[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]JF bhana ..uzi ni wa huzuni lakini wakati huohuo watu wengine wanatupunguzia stress kwa comments zao
Hawa jamaa huwa wanasingiziwa ja wengiHao ndo wake ambao hawamalizagi chuo...most of them Ni TISS
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi imekuja habari mpya ya TISS[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Mimi kichwa cha habari nikajua ni Transport officerHee kumbe alkua Tiss
Huu Uzi bhana [emoji38][emoji38][emoji1751]
Jamaa amekivutuga kimalkia kwa hasira utafikiri alipiga gambe kwanza halafu kikajaa kichwaniKaka nimependa ulivyovuruga kwenye kimalkia chako kuanzia mstari wa pili, Maana utakuwa unaijua mwenyewe na si msomaji[emoji23][emoji23]
jf humu...unakuta ww mwanaume yani jina tuu sio guarantee ya kufanya niamini ww ni demuKwani amefufuka?
Alikuwa wa kike??si alikuwa mwanaume au..[emoji848]!?!
Nimezunguka kooote,sijapata jibu liloniridhisha kama hili.Asante sana mkuu!Huyu aliangushwa na u genius wake
Hawa wakiwa level ya chini huwa hawasomi wala hawahudhurii vipindi na hakuna anayejali na wanafaulu
Huko chuo marks haziko kwenye mtihani tu, unazikusanya kwenye kazi nyingi kama assignments nk ikiwemo mahudhurio
Akishaanza kutohudhuria maprofesa wanaona dharau maana siku zote hawapendi dharau
Kwahiyo ukichanganya kukosa kwa marks za course works na fitina za maprofesa lazima afeli
Elimu ya ‘advance’ ndo elimu gani hiyo?Elimu ya Advance ndiyo ngumu zaidi katika levels zote za elimu TZ. Curriculum ina content kubwa inayopaswa kumalizwa ndani ya muda mfupi sana, kihalali mwaka na nusu.
Comb za sayansi ni hatari zaidi hivyo mtu kupata consistently masomo yote above 98% for sure he is exceptional. Which means ubongo wake ameweza kuelewa kile alichokuwa amekisoma kwa ujumla wake by 98% tena katika domain dofauti za physics, chemistry and mathematics.
High IQ inapimwa kwa maswali na uwezo wa kuyasolve maswali husika. Juhudi zake katika kile alichokuwa anakifanya ni za kuheshimiwa.
Kama huamini ni wewe.jf humu...unakuta ww mwanaume yani jina tuu sio guarantee ya kufanya niamini ww ni demu
Kazi kwelikweli[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]