TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Another failed fellow..

Ndo yale yale ya TO anayeishia kifundisha tuition na kutembelea Alteza..
 
Science ni rahisi maana ukitumia tu kanuni vizuri na ukaielewa hyo formula hukosa hesabu mia moja, same applies kwa chemistry na physics. Tofauti na arts subject lazima usome vitabu vingi Sana na hata usahishaji wake tofauti na hesabu
Acha masihala dada yangu msuli wa PCB ,PCM na PGM haufanani kabisa na masomo yenu ya arts acha kabisa.Yaani kitabu kimoja mf Roger kukimaliza chote ni shughuli si ya kitoto,acha kabisa na hasa sisi tunaosoma shule hizi za serikali acha kabisa.

Mimi huyo jamaa kwangu ni genius,mimi mwenyewe nimesoma PCM advance, washikaji zangu kibao walisoma arts walikuwa wanakula bata na walifaulu vizuri sana advance.

Tena kama hawa PCB ndio daaah,nakumbuka Tanganyika Library kuna jamaa mmoja wa Pugu alikuwa anavipanga vitabu vya Biology,kuanzia kwenye unyayo mpaka magotini.
 
Maisha hayako fair Ndo maana Mimi semister ya kwanza tu pale mipango ikanishinda huyo chap kwenye miradi ya baba mwaka mmoja baadae nikaozeshwa mke WANGU mzuri saiv napush ndinga ya 20+ m mke anapush yake ya maana crown watoto wawili jumba jumba kwel sio kujificha ilimrad pakuche now na 23 age NAKUSHUKURU MUNGU WEWE NDO MTOAJI NA MKADIRIAJI LAKINI POPOTE ULIPO NA HALI YOYOTE USILAUMU MAANA MUNGU ANAMAANA YAKE ANAWEZA KUKUPA ELIMU LAKINI MAISHA MAFUPI TENA YASIYO YA RAHA NA ANAWEZA KUKUPA PESA NYINGI LAKIN HAMNA WATOTO AU NDUGU HATA MMOJA KWAHYO TUSHUKURU KWA KILA KTU MAANA MUNGU ANAMIPANGO DHIDI YETU [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] WABILAH WA TWAIQFU
 
JF humu hakuna mnyonge kila mtu ana hela ,humu ruksa kujipakulia minyama utakavyo..........yaani ni wewe na bando lako,so tamba uwanja ni wako.
 
JF humu hakuna mnyonge kila mtu ana hela ,humu ruksa kujipakulia minyama utakavyo..........yaani ni wewe na bando lako,so tamba uwanja ni wako.
Sawa ni kwel lakini sio kila mmoja na kwa vile umeshajijengea hvo akilini mwako Sina faida na Hilo kukuthibishia. So elewa kwenye mamba Kuna kenge na kwenye kenge Kuna mamba. By the way unawivu na roho mbaya utaki kusikia watu Wana maisha mazuri wewe pambana tu Uokoe familia yako.
 
Sihitaji uthibitishe ,nikuone wivu kwa vitu vyako ulivyojipa umiliki humu JF....wee vipi 🤣🤣🤣🤣,sasa umejuaje familia yangu kama ina maisha magumu.......🤣🤣🤣

Ngoja basi na mimi nijipakulie minyama,nina nyumba tatu,maduka mawili ya vinywaji vya jumla na bajaj nne na degree yangu ya Engineer ambayo imenipa vyote hivyo...........

😂😂😂😂😂
 
Mmmhhh[emoji849][emoji849][emoji849] me Sina degree Ila nmerith tu kwa daddy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wamemaliza kupinga ugenius wa Kihombo wamehamia kwenye tecno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wereva hatuziachi ng'oo[emoji1787]
Teh teh teh 🤣 🤣🤣 dada unapenda ligi sana haaa haaa haaa 😃😃😃😃.
 
Kuna masomo matatu huwezi kukariri na ukikariri lazima utafeli. Haya ni Physics, Chemistry na Mathematics. Kwa tuliosoma masomo hayo tunajua. Binafsi nilisoma PCB, ni biology pekee ndio inahusisha kukariri kwingi japo nayo ukimeza sana bila kuelewa lazima uumie tu
 
Huku mwishoni msela alikosa dira kabisa, alikuwa mtu wa Tungi na gambe, alikosea mwanzoni sana pale alipofaulu alijiona km yy Ndo akili yenyw Kmbe kawaida, alitakiwa apewe counselling Za Hali ya juu sana
 
Classic! Out of fallacy
 
May his soul rest in eternal peace.

Huyu mwamba hakumaliza petroleum engineering pale udsm, alidisco akiwa third yr. nlikuwa nyuma yake mkuu. Mwamba alikuwa anajua sana, sema petroleum ilimpeleka puta sana.
Sio kumpeleka puta aliendelea na ubize wake kusaka pesa, huyu mwamba ndio alama ya Tanzania kwa Physics, rest in peace mwamba, products alizozitoa inatosha kuurithi ufalme wa Bwana. The immortal has gone but his spirit will live in his students
 
Ukweli usemwe masomo ya sayansi sio ya kitoto jamani...mimi na social Science yangu wala hatukusumbuana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…