TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Jamaa alitufundisha organic chemistry 2007 pale kibaha secondary. Alikuwa bingwa wa 'kubeba' (kukariri) maana alikuwa anashusha ubaoni notisi kama zilivyo kwenye madaftari.

We'll remember you.
 
RIP muddy physics ( huyu mwamba alikua anamponda sana mgote pale tution)
 
Yeahh!! Minaki kaja sana, wakati huo mwaka 2006-08 nipo Alevel katufundisha theory za physics na jinsi ya kufoji practicals..nakumbuka mwaka 2006 alishawahi kunyolewa nywele na mwl chungu alipokutwa bwenini Lumumba wakat ulikuwa mda wa parade, mwl chungu alifikiri n mwanafunzi wa minaki
Minaki idumu,Chungu adumu nakumbuka Minaki University
 
Shida ya bongo watu kama hawa mara nyingi wanawapigwa ndele na ndugu zao au watu wao wa karibu, kiukweli ni kwamba wengii sana hawatoboi.

Sababu kuu hatuna guidance nzuri za kifamilia.. huyu jamaa angepata malezi na usimamizi kama watoto wa kihindi na ki arabu angefika mbali sana na physics yake..

Jamaa alishika shika vihela na kupata kajina kakubwa mapema .. akawa mtu wa mademu sana..

Kipindi anaingia udsm 2006 first year yeye ndiye alikuwa mwaka wa kwanza maarufu kuliko wote udsm kwa mwaka wake... akiwa mwaka wa kwanza tu udsm akawa anaitwa shule mbali mbali na tution centre mbali mbali kwenda kufundisha physics na kusolve maswali. Huko akawa anapata vihela hela vingi tofauti na boom.. hivyo vihela na jina lake akawa anagonga sana mademu.. inasemekana akaja akapata moto aka miwaya
 
Sababu kuu hatuna guidance nzuri za kifamilia.. huyu jamaa angepata malezi na usimamizi kama watoto wa kihindi na ki arabu angefika mbali sana na physics yake..

Jamaa alishika shika vihela na kupata kajina kakubwa mapema .. akawa mtu wa mademu sana..

Kipindi anaingia udsm 2006 first year yeye ndiye alikuwa mwaka wa kwanza maarufu kuliko wote udsm kwa mwaka wake... akiwa mwaka wa kwanza tu udsm akawa anaitwa shule mbali mbali na tution centre mbali mbali kwenda kufundisha physics na kusolve maswali. Huko akawa anapata vihela hela vingi tofauti na boom.. hivyo vihela na jina lake akawa anagonga sana mademu.. inasemekana akaja akapata moto aka miwaya
[emoji3][emoji3] alaf mtu anakimbilia et alirogwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu kuu hatuna guidance nzuri za kifamilia.. huyu jamaa angepata malezi na usimamizi kama watoto wa kihindi na ki arabu angefika mbali sana na physics yake..

Jamaa alishika shika vihela na kupata kajina kakubwa mapema .. akawa mtu wa mademu sana..

Kipindi anaingia udsm 2006 first year yeye ndiye alikuwa mwaka wa kwanza maarufu kuliko wote udsm kwa mwaka wake... akiwa mwaka wa kwanza tu udsm akawa anaitwa shule mbali mbali na tution centre mbali mbali kwenda kufundisha physics na kusolve maswali. Huko akawa anapata vihela hela vingi tofauti na boom.. hivyo vihela na jina lake akawa anagonga sana mademu.. inasemekana akaja akapata moto aka miwaya
Chupi hazijawahi kumuacha mtu salama

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Dah mwana kafa, dah aisee. Dah RIP huyu mwamba kanifundisha phyisics sana pale mzumbe motto mwenge, Dah mwamba alikuwa anajua sana madude sema, hakuna mtu alikuwa anahisi anaakili kama mwamba, alikuwa anajiita Eistein, dah huyu ni pigo kubwa kwa wanafunzi wa physics , jamaa kafa na physics yake, RIP MWAMBA.
aisee mzee huyu mwamba alikua balaa sisi tulokua tunasoma mzumbe sec tunamuelewa..kwann tuition yake aliita mzumbe motto? watu hawaelewi kuhusu hilo.. jamaa alisoka tosa why aliita tuition yake mzumbe motto??? alikua anapenda sana shule ya mzumbe asome masomo yake advance sasa hakupata nafasi...ndo mana akarudi zake Tossa boys akiwa na hasira ya kuwa bora kuliko wote Tanzania...kama hasira za kutokuchaguliwa shule bora ya vipaji maalumu Mzumbe sec school .na alifanikiwa kuwa bora TO kutokea Tosamaganga...Mzumbe inapendwa bwana..kuna raha yake kusoma pale .unapewa heshima na attention kila unapoenda wanajua mtu anajielewa huyu.. !! DETERMINATION IS OUR MOTTO...daima mbele nyuma mwiko
 
Acha masihala dada yangu msuli wa PCB ,PCM na PGM haufanani kabisa na masomo yenu ya arts acha kabisa.Yaani kitabu kimoja mf Roger kukimaliza chote ni shughuli si ya kitoto,acha kabisa na hasa sisi tunaosoma shule hizi za serikali acha kabisa.

Mimi huyo jamaa kwangu ni genius,mimi mwenyewe nimesoma PCM advance, washikaji zangu kibao walisoma arts walikuwa wanakula bata na walifaulu vizuri sana advance.

Tena kama hawa PCB ndio daaah,nakumbuka Tanganyika Library kuna jamaa mmoja wa Pugu alikuwa anavipanga vitabu vya Biology,kuanzia kwenye unyayo mpaka magotini.
Tunaita mikate PCB ni balaa
 
Back
Top Bottom