TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Duuh kwamba kutumia simu kubwa ndo kuonyesha uwezo wa mtu

Hee hatari Sana

Na sisi tunaopenda kuishi ki local kwenye hii modern world

Kuna muda nlpotea hapa Jf nlkua zangu na button phone smartphone nkaachana nayo kwa muda

Aisee huu Uzi bhana [emoji38][emoji38]
Another failed fellow..

Ndo yale yale ya TO anayeishia kifundisha tuition na kutembelea Alteza..
 
Science ni rahisi maana ukitumia tu kanuni vizuri na ukaielewa hyo formula hukosa hesabu mia moja, same applies kwa chemistry na physics. Tofauti na arts subject lazima usome vitabu vingi Sana na hata usahishaji wake tofauti na hesabu
Acha masihala dada yangu msuli wa PCB ,PCM na PGM haufanani kabisa na masomo yenu ya arts acha kabisa.Yaani kitabu kimoja mf Roger kukimaliza chote ni shughuli si ya kitoto,acha kabisa na hasa sisi tunaosoma shule hizi za serikali acha kabisa.

Mimi huyo jamaa kwangu ni genius,mimi mwenyewe nimesoma PCM advance, washikaji zangu kibao walisoma arts walikuwa wanakula bata na walifaulu vizuri sana advance.

Tena kama hawa PCB ndio daaah,nakumbuka Tanganyika Library kuna jamaa mmoja wa Pugu alikuwa anavipanga vitabu vya Biology,kuanzia kwenye unyayo mpaka magotini.
 
Maisha hayako fair Ndo maana Mimi semister ya kwanza tu pale mipango ikanishinda huyo chap kwenye miradi ya baba mwaka mmoja baadae nikaozeshwa mke WANGU mzuri saiv napush ndinga ya 20+ m mke anapush yake ya maana crown watoto wawili jumba jumba kwel sio kujificha ilimrad pakuche now na 23 age NAKUSHUKURU MUNGU WEWE NDO MTOAJI NA MKADIRIAJI LAKINI POPOTE ULIPO NA HALI YOYOTE USILAUMU MAANA MUNGU ANAMAANA YAKE ANAWEZA KUKUPA ELIMU LAKINI MAISHA MAFUPI TENA YASIYO YA RAHA NA ANAWEZA KUKUPA PESA NYINGI LAKIN HAMNA WATOTO AU NDUGU HATA MMOJA KWAHYO TUSHUKURU KWA KILA KTU MAANA MUNGU ANAMIPANGO DHIDI YETU [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] WABILAH WA TWAIQFU
 
Maisha hayako fair Ndo maana Mimi semister ya kwanza tu pale mipango ikanishinda huyo chap kwenye miradi ya baba mwaka mmoja baadae nikaozeshwa mke WANGU mzuri saiv napush ndinga ya 20+ m mke anapush yake ya maana crown watoto wawili jumba jumba kwel sio kujificha ilimrad pakuche now na 23 age NAKUSHUKURU MUNGU WEWE NDO MTOAJI NA MKADIRIAJI LAKINI POPOTE ULIPO NA HALI YOYOTE USILAUMU MAANA MUNGU ANAMAANA YAKE ANAWEZA KUKUPA ELIMU LAKINI MAISHA MAFUPI TENA YASIYO YA RAHA NA ANAWEZA KUKUPA PESA NYINGI LAKIN HAMNA WATOTO AU NDUGU HATA MMOJA KWAHYO TUSHUKURU KWA KILA KTU MAANA MUNGU ANAMIPANGO DHIDI YETU [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] WABILAH WA TWAIQFU
JF humu hakuna mnyonge kila mtu ana hela ,humu ruksa kujipakulia minyama utakavyo..........yaani ni wewe na bando lako,so tamba uwanja ni wako.
 
JF humu hakuna mnyonge kila mtu ana hela ,humu ruksa kujipakulia minyama utakavyo..........yaani ni wewe na bando lako,so tamba uwanja ni wako.
Sawa ni kwel lakini sio kila mmoja na kwa vile umeshajijengea hvo akilini mwako Sina faida na Hilo kukuthibishia. So elewa kwenye mamba Kuna kenge na kwenye kenge Kuna mamba. By the way unawivu na roho mbaya utaki kusikia watu Wana maisha mazuri wewe pambana tu Uokoe familia yako.
 
Sawa ni kwel lakini sio kila mmoja na kwa vile umeshajijengea hvo akilini mwako Sina faida na Hilo kukuthibishia. So elewa kwenye mamba Kuna kenge na kwenye kenge Kuna mamba. By the way unawivu na roho mbaya utaki kusikia watu Wana maisha mazuri wewe pambana tu Uokoe familia yako.
Sihitaji uthibitishe ,nikuone wivu kwa vitu vyako ulivyojipa umiliki humu JF....wee vipi 🤣🤣🤣🤣,sasa umejuaje familia yangu kama ina maisha magumu.......🤣🤣🤣

Ngoja basi na mimi nijipakulie minyama,nina nyumba tatu,maduka mawili ya vinywaji vya jumla na bajaj nne na degree yangu ya Engineer ambayo imenipa vyote hivyo...........

😂😂😂😂😂
 
Mmmhhh[emoji849][emoji849][emoji849] me Sina degree Ila nmerith tu kwa daddy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wamemaliza kupinga ugenius wa Kihombo wamehamia kwenye tecno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wereva hatuziachi ng'oo[emoji1787]
Teh teh teh 🤣 🤣🤣 dada unapenda ligi sana haaa haaa haaa 😃😃😃😃.
 
Eti ukariri physics,
Maths
Chem?
Hilo gumu

Huyo alikuwa gifted na watu wenye uwezo mkubwa kiakili huwa wako hivyo wanafanya vitu tofauti na watu wengine, Mambo magumu ndio wanataka kujifunza siku zote.

Huyo anaesema anakariri NI wivu unamsumbua, anafikiri abavyo anakariri history ndio physics
Kuna masomo matatu huwezi kukariri na ukikariri lazima utafeli. Haya ni Physics, Chemistry na Mathematics. Kwa tuliosoma masomo hayo tunajua. Binafsi nilisoma PCB, ni biology pekee ndio inahusisha kukariri kwingi japo nayo ukimeza sana bila kuelewa lazima uumie tu
 
Huku mwishoni msela alikosa dira kabisa, alikuwa mtu wa Tungi na gambe, alikosea mwanzoni sana pale alipofaulu alijiona km yy Ndo akili yenyw Kmbe kawaida, alitakiwa apewe counselling Za Hali ya juu sana
 
Kaandika vitabu au kaunganisha materials mbalimbali kutoka ktk vitabu vya wazungu??? No wonder alisema waliompita ni Mungu na Mzungu!

Kuna ma TOs wan nguvu wengi sana na walifaulu vizuri sana na wapo wanatumika sehemu nzuri sana! Unamjua Lusekeli?? Emil Patrick? Ma wengine wengi tu ni ma directors na ma technicians na madaktari wa nguvu kabisa wametulia!

Most of people humu mnaongea kwa juu juu kuhusu uwezo wa mtu kiakili. Watu wenye uwezo kiakili ni wengi sana sema ni wakati gani kaanza kujitambua? Kuna waliofeli la saba wakaja kufaulu single digit o level kuna waliofeli o level wakaja kuchana form six vibaya sana so inategemea ni wakati gani mtu kajitambua au kapata msukumo.

Akili ya mtu ipo ktk imagination fullstop ndio maana huyu jamaa alikua akimpenda Einstein! Wakati wengine wana kariri wapo ambao baada ya kusoma kuna clear picha wanaona kuhusu mambo wanayosoma! Jiulize watoto hawa wanaoitwa prodigy! Mtoto wa mwaka mmoja anasoma mpaka quantilion digit zaidi ya 15 huko anasoma wazazi wanashangaa maana wapo na mtoto kila siku ndani na hakuna mzazi anayeweza kumfundisha mtoto wa mwaka mmoja those stuffs

Akili ni imaginations kuna mambo mtu anaona wengine ni ngumu kuona hapo ndio kunatokea utafauti wa akili! Hizo logic zina mwisho ndio maana Einstein alisema Logic will take u from point A to B but Imagination will take u anywhere na hiyo ndio akili.

Ukitaka kujua kiwa imagination ndio kila kitu leo hii wewe mtu wa chuo ukirudishwa o Level nadhani utapata A Zote kwa sbaabu una picha kubwa ya kutosha. Na ukitaka kumpima mtu akili usimpime kwa kusoma soma weka wayoto ambao hawajawahi kabisa kuwa ktk mazingira fulani kisha wape task utaona wapo ambao wataelewa faster na wengine kidogo na wengine hawatakia hata na mwanga wa what its all about! That is imagination!
Classic! Out of fallacy
 
May his soul rest in eternal peace.

Huyu mwamba hakumaliza petroleum engineering pale udsm, alidisco akiwa third yr. nlikuwa nyuma yake mkuu. Mwamba alikuwa anajua sana, sema petroleum ilimpeleka puta sana.
Sio kumpeleka puta aliendelea na ubize wake kusaka pesa, huyu mwamba ndio alama ya Tanzania kwa Physics, rest in peace mwamba, products alizozitoa inatosha kuurithi ufalme wa Bwana. The immortal has gone but his spirit will live in his students
 
Acha masihala dada yangu msuli wa PCB ,PCM na PGM haufanani kabisa na masomo yenu ya arts acha kabisa.Yaani kitabu kimoja mf Roger kukimaliza chote ni shughuli si ya kitoto,acha kabisa na hasa sisi tunaosoma shule hizi za serikali acha kabisa.

Mimi huyo jamaa kwangu ni genius,mimi mwenyewe nimesoma PCM advance, washikaji zangu kibao walisoma arts walikuwa wanakula bata na walifaulu vizuri sana advance.

Tena kama hawa PCB ndio daaah,nakumbuka Tanganyika Library kuna jamaa mmoja wa Pugu alikuwa anavipanga vitabu vya Biology,kuanzia kwenye unyayo mpaka magotini.
Ukweli usemwe masomo ya sayansi sio ya kitoto jamani...mimi na social Science yangu wala hatukusumbuana.
 
Back
Top Bottom