TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Mkuu,

Mchepuo uliokuwa mgumu advance miaka ya 1970-1988 ni CBA (Chemistry, Biology na Agriculture) wanafunzi 24 nchi nzima pointi 7 na shule ilikuwa moja tu hapo Shirika la Elimu Kibaha (Kibaha High School) several students were getting mad.

Ugumu wa PCM advanced level ni Chemistry maana inaharibu equilibrium ya kuweka kumbukumbu iliyo sahihi ya kile ulichojifunza ila Physics and Advanced Mathematics yanaleta raha sana maana yanapatana

Ugumu wa PGM ni Geography maana ina maneno mengin ya nadharia (literature ukilinganisha na Physics na Advanced Mathematics ambapo binomial functions, differential functions, integration functions, ietc yanapatikana kote kote.

Ugumu wa PCB ni Physics maana Chemistry na Biology zinawiana na kubebana (Matokeo ya mchanganyiko wa vitu-Chemistry na matokeo ya mchanganyiko asili-Biology)

Watu waliochukua Engineering, Medical Doctor, waheshimiwe daima maana mziki wake sio wa kitoto

Syllabus ya Cambridge ilikuwa ikitumika advanced level kwa masomo ya sayansi ni bora urejeshwe ili kuboresha taaluma
 
Dah huyu mwamba story zake nimesikia sana, Minaki sijui kama alifika ila walipitaga kina Walter tu.

Moody physics alifariki mkuu.. nimesoma sana kwake, notes zake zilikua zinakupa hints ukachimbe zaidi.
Yeahh!! Minaki kaja sana, wakati huo mwaka 2006-08 nipo Alevel katufundisha theory za physics na jinsi ya kufoji practicals..nakumbuka mwaka 2006 alishawahi kunyolewa nywele na mwl chungu alipokutwa bwenini Lumumba wakat ulikuwa mda wa parade, mwl chungu alifikiri n mwanafunzi wa minaki
 
Planna ulimuacha Zilihona ama nani?? Mie nilimuacha Lifuriro.
Mipango elimu yao kukomoana, kama sekondari
 
R.I.P
 
Mkuu baba swaleh iyo avatar picha yako ni majuzi tu nimegundua jamaa alikuwa anaitwa Nikola Tesla
 
Huyu Tanzania one Elias Kihombo alikuwa kama Iran one Mohsen Fakhrizadeh yule nuclear scientist aliyeuwawa na waisraeli.
 
Elimu yetu haiwapi watu kama hao nafasi waka shine na pia choices za masomo ni chache.

Otherwise angepewa nafasi ya kusoma kitu ambacho anakipenda na anakimudu angemaliza vizuri tu, labda angevumbua na mavitu mengine ya Physics. Very sad.
Ishu inakuja stress za maisha, huku familia inakutegemea huku unahitaji ukae darasani n.k

Maisha ya chuo kikuu cha UDSM yanataka ukomae na madesa muda wote.Sishangai kusikia jamaa alidisco degree yake ya kwanza. Inahitaji utulie sana pale chuoni kwasababu mambo unayotakiwa uyasome ni mengi na muda ni mchache. Watu wengi wameingia UDSM na one zao za form Six ila mwisho wa siku wamedisco au kuambulia GPA za pass tu.
 
Vipi unaikumbuka comment yako #76?
Ndio mkuu wakati huo nilikuwa comment na ID yangu nyingine @mbususu ebthusiast kwasababu hii yangu ya maghayo ilipigwa ban. Nitakutag kwenye iyo ID.

Check page ya 4 comment #64
 
Hakudisco kwa sababu ya kufeli, alidisco kwa sababu ya dharau kwa Malecture
 
Rest easy brother,[emoji120] Mungu akurehemu[emoji120] umeacha alama bora duniani, anaonekana alikuwa humble Sana , kupitia picha yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…