Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Ma role model hao!A move on kwani hela ni zake sasa? Huko alipokuwa anazichota ndio mirija ishakata sasa[emoji28] zile milion 10/10 za wasafi kwa mwaka tu zinawapeleka dubai na chenchi inabakia.
Sasa aanze kuishi kwa biashara zake za makeups na hivyo bar ishavunjwa show itakuwa kali! Msichokielewa wanawake wengi wafanyabiashara wanaojiita wapambanaji wanaishi kwa support za wanaume tu[emoji28] ila impression inakuja kuwa eti ni biashara ndio inalipa!
Mali ya mtu...Nafikiri kuna terms walikubaliana mwanzoni na huyo baba mtoto wake ambazo aliona hazitakuja kumbana au kumsumbua baadae
A move on kwani hela ni zake sasa? Huko alipokuwa anazichota ndio mirija ishakata sasa[emoji28] zile milion 10/10 za wasafi kwa mwaka tu zinawapeleka dubai na chenchi inabakia.
Sasa aanze kuishi kwa biashara zake za makeups na hivyo bar ishavunjwa show itakuwa kali! Msichokielewa wanawake wengi wafanyabiashara wanaojiita wapambanaji wanaishi kwa support za wanaume tu[emoji28] ila impression inakuja kuwa eti ni biashara ndio inalipa!
Msichokielewa wanawake wengi wafanyabiashara wanaojiita wapambanaji wanaishi kwa support za wanaume tu😅 ila impression inakuja kuwa eti ni biashara ndio inalipa!
Hao ni mbumbu mbu by natureUnawaongeleaje wale wengine wengi wanaopata support za wanaume na bado hamna wanachokifanya?
Kwa hela ipi?Yaani mwanaume ajiingize naye kugombea jasho la mwanaume mwezake itakuwa jau sana,cha muhimu huyo mwanaume amtafutie mke wake eneo lingine waendelee na mambo yao.
Kashaoa bhanaNdio haya Jokajeusi anakataza kuoa ma single maza 😁