missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,014
- 7,361
Haeleweki..mwanasheria gani yuko free kama mwalimu wa part time..hivi picha ya Hugo ilitumwaga humu?Hivi ni mwanasheria kweli mbona jamaa kazubaa hivo[emoji26]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haeleweki..mwanasheria gani yuko free kama mwalimu wa part time..hivi picha ya Hugo ilitumwaga humu?Hivi ni mwanasheria kweli mbona jamaa kazubaa hivo[emoji26]
Hiyo plot cnc 2020 ilikua inauzwa na john kuna jamaa yng ndio alikua anaitafutia mteja shida bei watu wakawa wanakomea 400m yeye john alikua anataka 600m top...nashangaa kusikia huyo dada anasema plot inamhusu kivipiHaeleweki..mwanasheria gani yuko free kama mwalimu wa part time..hivi picha ya Hugo ilitumwaga humu?
Hana kazi...wanasema alifeli lawHaeleweki..mwanasheria gani yuko free kama mwalimu wa part time..hivi picha ya Hugo ilitumwaga humu?
Anataka mil 25 alipwe kama fidia ya ujenzi wa bar kwenye hicho kiwanjaHiyo plot cnc 2020 ilikua inauzwa na john kuna jamaa yng ndio alikua anaitafutia mteja shida bei watu wakawa wanakomea 400m yeye john alikua anataka 600m top...nashangaa kusikia huyo dada anasema plot inamhusu kivipi
Mshaanza kumsagia kunguni tena😅Hivi kamaliza hata form 4 kweli?....naona kama ana akili ndogo[emoji848]
Anatafuta hela za bure bure. Yeye si ni tajiri afungue pengine chap.Anataka mil 25 alipwe kama fidia ya ujenzi wa bar kwenye hicho kiwanja
We hupendi raha mama?😅Akili yake ni bangi tosha wala hahitaji booster yule. Sema anapenda kuwa na raha
Anatafuta hela za bure bure. Yeye si ni tajiri afungue pengine chap.
Ohoooo. Mbona hatari inanukia sasa. Maisha ya showoff atayaweza tena maana lile duka peke yake haliwez mpeleka bata kila siku labda kama ana source nyingine ya mapatoNasikia Duka ni kodi za lile ghorofa [emoji119]
Kwani alilazimishwa kujenga?mana hapo alikua anakaa kwa hisaniAnataka mil 25 alipwe kama fidia ya ujenzi wa bar kwenye hicho kiwanja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haeleweki..mwanasheria gani yuko free kama mwalimu wa part time..hivi picha ya Hugo ilitumwaga humu?
Kamaliza 2006 4m4Hivi kamaliza hata form 4 kweli?....naona kama ana akili ndogo[emoji848]
Duuuh na hajawahi kurudia? Basi ana jimwili likubwaaaa na yeye ni mdogoKamaliza 2006 4m4
Hajarudia Resty ni Toto lile limezaliwa 1988!!!ana mwili mkubwa tu!!na ule unono toka tuko shule hawajahi kuwa mwembamba yule dadaDuuuh na hajawahi kurudia? Basi ana jimwili likubwaaaa na yeye ni mdogo
Ohoooo. Mbona hatari inanukia sasa. Maisha ya showoff atayaweza tena maana lile duka peke yake haliwez mpeleka bata kila siku labda kama ana source nyingine ya mapato
Mchangieni jamani onesheni upendo maana kule kwake “Da resty” huwa hazikaukagi 😂😂😂Anatafuta hela za bure bure. Yeye si ni tajiri afungue pengine chap.
Muda wa kuishi kwa reality umewadia sasa! Zile million 10/10 za wasafi hakuna tena 😂... Sponsor ameamua kuchachamaa sasa kazi kwenu mashabiki!Mi Mwenyewe Nna duka karibu na pale aisee maybe ni vile ni maarufu pengine anaingiza faida 1m per day
Ila vinginevyo siyo rahisi kula bata daily bila side hustles
Mi sio mwanasheria lkn Kwa hili namwona Testy ni mjinga, alipweje hiyo fedha wakati wenyewe hawaitaji hiyo bar hapo?? Anayo makubaliano waliyoandikishiana?? Suluhu ilikuwa ni yeye kukaa nao mezani tu, kule insta hapawez kumsaidia. Angeomba kule mahakaman wapewe ruhusa wakae mezan, lkn hii mambo ya mtandao itamuharibiaAnataka mil 25 alipwe kama fidia ya ujenzi wa bar kwenye hicho kiwanja
Tena angefanya hivyo angepata wateja balaaa. Wale wafuasi wake wangemuunga mkonoAnatafuta hela za bure bure. Yeye si ni tajiri afungue pengine chap.
Kitimoto safi kama keki ipo kimara temboni oppodite na bar maarufu insitwa Buffalo wanaita kwa Kimario. Ukikosa utanu nitakurudishia hela. Njoo inbobo kwa maelekezo zaidiJoshua nielekeze sehemu ya kitimoto safi best[emoji848]