Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Sema mbeba mapochi pochiMmewe Sasa hv MC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema mbeba mapochi pochiMmewe Sasa hv MC
He!? UsinambieMmewe Sasa hv MC
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmewe Sasa hv MC
He!? Usinambie
Hivo eh?Mc ni biashara ina hela sana. Kama ukiwa na wateja.. mc kuongea masaa matatu tu kwenye harusi anakunja zake milioni easy tu. Katika mwezi mmoja ni rahisi sana kuingiza milion 5 mpaka 10 kwenye u mc tu.
Je ni biashara gani yenye hicho kipato?
Ndio maana siku hizi ma banker, ma lecture wa vyuo, watu wengi wenye CPA wamejiingiza kwenye biashara ya U MC wa masherehe
Eehh....MC kwekaHe!? Usinambie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]atachangamkaaaMC na alivyozubaa vile
Mtu km gara b Yuko full booked mwaka mzima na Bei yake liyopita ilikua 4m Nadhani Kwa Sasa amepanda day na ualimu kaachaMc ni biashara ina hela sana. Kama ukiwa na wateja.. mc kuongea masaa matatu tu kwenye harusi anakunja zake milioni easy tu. Katika mwezi mmoja ni rahisi sana kuingiza milion 5 mpaka 10 kwenye u mc tu.
Je ni biashara gani yenye hicho kipato?
Ndio maana siku hizi ma banker, ma lecture wa vyuo, watu wengi wenye CPA wamejiingiza kwenye biashara ya U MC wa masherehe
huenda bi mkubwa kachoka kulea marioooEehh....MC kweka
Aloo si balaa hili, ila ili ufanikiwe kuwa Mc bora Kuna vitu inabidi uvipe kipaumbele.Mtu km gara b Yuko full booked mwaka mzima na Bei yake liyopita ilikua 4m Nadhani Kwa Sasa amepanda day na ualimu kaacha
Jamani kaahhuenda bi mkubwa kachoka kulea mariooo
Hapo sasaMkuu mbona tayari unamjua sasa kuliko sisi
Gara B anachukua kuanzia 3M. MC unalipaa sanaaa.Mc ni biashara ina hela sana. Kama ukiwa na wateja.. mc kuongea masaa matatu tu kwenye harusi anakunja zake milioni easy tu. Katika mwezi mmoja ni rahisi sana kuingiza milion 5 mpaka 10 kwenye u mc tu.
Je ni biashara gani yenye hicho kipato?
Ndio maana siku hizi ma banker, ma lecture wa vyuo, watu wengi wenye CPA wamejiingiza kwenye biashara ya U MC wa masherehe
Gara B anachukua kuanzia 3M. MC unalipaa sanaaa.
Hiyo 4m anakuja na vyombo vya mziki na dj wakeMtu km gara b Yuko full booked mwaka mzima na Bei yake liyopita ilikua 4m Nadhani Kwa Sasa amepanda day na ualimu kaacha
Nae atakua anahudhuria sherehe na mumewe ....mana mc sherehe yeyote analeta mkewe waje kushiba bure,nimekua naona hilo sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]atachangamkaaa
Vyakula vitu vidogo hivyo Chief. Aibu nyingine zikupite plsNae atakua anahudhuria sherehe na mumewe ....mana mc sherehe yeyote analeta mkewe waje kushiba bure,nimekua naona hilo sana
Hiyo 4m anakuja na vyombo vya mziki na dj wake