Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Nae atakua anahudhuria sherehe na mumewe ....mana mc sherehe yeyote analeta mkewe waje kushiba bure,nimekua naona hilo sana

Wake wa Ma MC Hawafati chakula ukumbini. Bali wana majukumu

Ma Mc wengi wake zao wanawaweka nafasi ya umeneja wa biashara yao.

Hivyo akikodiwa kwenye sherehe mkewe nae anakuja kama meneja kwa ajili ya kusimamia staff wao wote.

Maana mc akiwa mbele anasherehesha hawezi msimamia Dj , hawezi jua kama kuna spika haziko sawa. Pia kusimamia vyombo vyao vya muziki kama vipo salama.

Ma dj wengi vichaa usipowasimamia nyimbo za kupiga hawachelewi kupiga singeli muda wote. Huku harusi ni ya kilokole

Hapo ndipo wake zao wanapopata nafasi ya kuja kwenye sherehe.

Hao wake wa ma MC wanakuwa wanavaa casual kikazi. Tshirts zenye jina la Mc. Pamoja na jeans
 
Wake wa Ma MC Hawafati chakula ukumbini. Bali wana majukumu

Ma Mc wengi wake zao wanawaweka nafasi ya umeneja wa biashara yao.

Hivyo akikodiwa kwenye sherehe mkewe nae anakuja kama meneja kwa ajili ya kusimamia staff wao wote.

Maana mc akiwa mbele anasherehesha hawezi msimamia Dj , hawezi jua kama kuna spika haziko sawa. Pia kusimamia vyombo vyao vya muziki kama vipo salama.

Ma dj wengi vichaa usipowasimamia nyimbo za kupiga hawachelewi kupiga singeli muda wote. Huku harusi ni ya kilokole

Hapo ndipo wake zao wanapopata nafasi ya kuja kwenye sherehe.

Hao wake wa ma MC wanakuwa wanavaa casual kikazi. Tshirts zenye jina la Mc. Pamoja na jeans
Ndo naonaga kuna wale wanawake kumbe ndo hivyoo.
 
Mie nilikua nafanyaa shuleni kwenye graduu, kwa uraiani nilifanya kwnye send off ya rafiki angu.

Ngoja nianze kuwa serious sasa,

Ni bonge ya business nakuhakikishia hautojutia.

Mimi i wish ningekuwa na mwanamke mwenye akili kama zangu..

Shida masister du wanaona aibu..inabidi niende na masela tupu wanajisimamia wenyewe.

Biashara ya kuongea tu masaa machache unakunja pesa ni biashara tamu sana. Mtaji mdomo tu.
 
Ni bonge ya business nakuhakikishia hautojutia.

Mimi i wish ningekuwa na mwanamke mwenye akili kama zangu..

Shida masister du wanaona aibu..inabidi niende na masela tupu wanajisimamia wenyewe.

Biashara ya kuongea tu masaa machache unakunja pesa ni biashara tamu sana. Mtaji mdomo tu.
Yaan hii inanifaa kabisa na ni talent yanguu haswaaa.
Ngoja niwe serious sasa na hii kazii.
 
Dada/mama huyu amekuwa maarufu Sana kwenye mitandao ya kijamii Kama mfanyabiashara maarufu wa chakula na vinywaji, pia vipodozi.

Wakati fulani alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi. Anaonekana ni very successful businesswoman, tajiri mkubwa haswa ukiiangalia namna anavyospend na mume wake mpenzi. Mara yupo Dubai, mara visiwa vya Malves, saizi yupo mbugani for wedding anniversary.

Kila weekend yupo kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt akipata raha.

Jamani huyu ni nani haswa?

wacha ushambenga! Kwanza Malves ndo nn?
 
Moja send off na moja harusi.. ninunue mziki milioni karibu 10 kisha nikafanye kigodoro.

Pia sherehe za kigodoro zipo kwenye dini fulani... ambazo kwa mimi hawawezi nipa kazi zao. Maana wataniona Kafiri
Hongera Mkuu katika Chama Chetu cha ma-MC Tanzania bara
 
Hongera Mkuu katika Chama Chetu cha ma-MC Tanzania bara
Nikija kuwa Rais, ma-MC wote nawakusanya na kuwapeleka kulima kwa Lazima kwenye mapori tengefu ya serikali yaliozagaa kila kona na kukaa kibwererebwerere nchini. Yani haya mi- maMC ni unproductive. Ni kuwatumikisha tu kwenye kilimo huko porini ili taifa lipate chakula cha kutosha.
 
Nikija kuwa Rais, ma-MC wote nawakusanya na kuwapeleka kulima kwa Lazima kwenye mapori tengefu ya serikali yaliozagaa kila kona na kukaa kibwererebwerere nchini. Yani haya mi- maMC ni unproductive. Ni kuwatumikisha tu kwenye kilimo huko porini ili taifa lipate chakula cha kutosha.
Nimechekaaa🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom