mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Si uende roddies tuJoshua nielekeze sehemu ya kitimoto safi best[emoji848]
Au unataka sehemu za kwenda kuuza sura
😂
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si uende roddies tuJoshua nielekeze sehemu ya kitimoto safi best[emoji848]
Nipe location best yangu, kitamu?Si uende roddies tu
Au unataka sehemu za kwenda kuuza sura
[emoji23]
Ova
Sawa mkuu...hebu nipe details zaidiKitimoto safi kama keki ipo kimara temboni oppodite na bar maarufu insitwa Buffalo wanaita kwa Kimario. Ukikosa utanu nitakurudishia hela. Njoo inbobo kwa maelekezo zaidi
Nenda mpaka bahari Beach ukifika kunja kushoto,huko utakula mpakq utasazaNipe location best yangu, kitamu?
Huyu mwandishi ndo dena Bura mwenyewe anajipiga promoDada/mama huyu amekuwa maarufu Sana kwenye mitandao ya kijamii Kama mfanyabiashara maarufu wa chakula na vinywaji, pia vipodozi.
Wakati fulani alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi. Anaonekana ni very successful businesswoman, tajiri mkubwa haswa ukiiangalia namna anavyospend na mume wake mpenzi. Mara yupo Dubai, mara visiwa vya Malves, saizi yupo mbugani for wedding anniversary.
Kila weekend yupo kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt akipata raha.
Jamani huyu ni nani haswa?
Unapazungumzia Rudy'fams ile njia ya kushoto mbovu mbovu opposite na legder plaza?Nenda mpaka bahari Beach ukifika kunja kushoto,huko utakula mpakq utasaza
Achana na hao wauza sura wauza kiti moto
Hata temboni pale naye yuko vzr naona kna mdau kakupa info
Ova
Ni hapo au ukitaka siku nyingine nenda white meat ipo Kama unaenda silver sands kabla hujafika kwenye car wash ya kule mbele karibu na hotel yenyewe utaona kibao kushoto kwako baada ya lami ya kwa Asha Migoro utaona WHITE MEATUnapazungumzia Rudy'fams ile njia ya kushoto mbovu mbovu opposite na legder plaza?
Plot imeuzwa tayari no summni kupewaAnatafuta hela za bure bure. Yeye si ni tajiri afungue pengine chap.
PoleNampenda sana huyo dada...nilianza kumfuatilia kwa ile account yake ya mwanae wa pili growing hollie ,resty cosmetics badae resty kitchen
Sijui kuhusu maisha yake halisi,lakini ninayoyaona insta yananiinspire sana...ni ile aina ya mwanamke anajua kutafuta na kutumia
Lemutuz kasema rest ni muuza sembe aka ngada aka unga, yaani madawa ya kulevyaChombo ya Mangi mpenda slope
Iko wazi unashangaa nini? Siku zinahesabika, siku akishanasa kweupe ndio utajua ulishaambiwa ukweli ngoja alengeshwe uone,Lemutuz kasema rest ni muuza sembe aka ngada aka unga, yaani madawa ya kulevya
RIP Le MutuzJamani Rest ndo kaanzisha bifu na lemutuz ama rest kachokozwa???
Aliacha akifanya enzi hizoooIko wazi unashangaa nini? Siku zinahesabika, siku akishanasa kweupe ndio utajua ulishaambiwa ukweli ngoja alengeshwe uone,