Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Biashara matangazo
 
Kama unamjua Shkuba ndio chanzo cha hizo bata unazoziona.
Usione watu matajiri dunia ina mengi hii ila shkuba inabidi aje aandike kitabu aisee ntakuwa wa kwanza kununua
 
Tuelezee kidogo kuhusu Shkuba mkuu
Story yake ni ndefu kidogo lakini ni mmoja ya watanzania walioisumbua sana serikali ya marekani jamaa alikuwa anaishi kama yupo kwenye movie

Kesho ntakuelezea vizuri ila kaa ukijua alikuwa Gwiji wa madawa ya kulevya Sasahiv anatumikia kifungo marekani huko kabla hajakamatwa ndio alikuwa anatembea na Resty bura na kazaa nae Inasemekana kamuachia mali nyingi sana
 
Na hata hiyo nyumba zilipo ofisi za wasafi ni mali ya Shkuba.
Alizaa na Shkuba mtoto wa kike na ndo mrithi wa mali za baba yake mama mtu ni mlinzi wa mali tu...OVA
 
Tunasubiri story mkuu, hivi shkuba alipigwa mvua ngapi??? Lakini rest hakuzaa nae alizaa na mwingine yule mwenye nyumba ya wasafi na aliemfukuza pale rest park

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Na hata hiyo nyumba zilipo ofisi za wasafi ni mali ya Shkuba.
Alizaa na Shkuba mtoto wa kike na ndo mrithi wa mali za baba yake mama mtu ni mlinzi wa mali tu...OVA
Hapana shkuba sio mwenye Ile nyumba na Wala hajazaa na rest, aliezaa nae walitibuana live, alikuwa jela za huku Huku kwa uhujumu uchumi nafkiri

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Swadakta wafanye kazi za kinabii sio ujanja ujanja .Tena uwape majembe yenye mipini mifupi na butu.Kusoma kwangu kote bible sijaona nabii alikuwa MC ila wakulima na wafugaji wapo .Wakalime.
 
Nili sikia story za mwamba, Ali kuwa ni balaa
 
Ngoja wawe wengi ili bei zishuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…