toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Alimfinyiaga ndani pale hyat regency
Raila Amolo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raila Amolo....
DadakeEe Mungu wangu, huyu huyu Rest?? Na malavidavi yote yalee??
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]loh umenichekesha sanaHapa anayeongelewa kupungua nindada wa rest. Rest mwenyewe naona dawa za kupunguza unene zimemgomea [emoji125][emoji125] anataka kulingana na tank la Lita 2000[emoji125][emoji125][emoji28][emoji28]
Kama anadanga na raila odinga basi ndiko anakopata hela za kujirusha maana resty mara anakoboana, in short Yuko vzuriRaila Amolo....
Akiwa ameolewa na huyu benten wake au kabla?Alimfinyiaga ndani pale hyat regency
we una ufala eti idhi theifu😝😝😝Keagan hujambo dia? Baba hajambo?[emoji23][emoji23]
Kwa sasa muko wapi mtoto mzuri? Msalimie baba jaman mwambie dethilamu idhi theifu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ben 10 Anabeba mapochi Magoroto
Nampenda sana huyo dada...nilianza kumfuatilia kwa ile account yake ya mwanae wa pili growing hollie ,resty cosmetics badae resty kitchen
Sijui kuhusu maisha yake halisi,lakini ninayoyaona insta yananiinspire sana...ni ile aina ya mwanamke anajua kutafuta na kutumia
Wabongo wengi wetu ni wachawiWabongo kwa nn Tunaumia watu wakipendana?
Wabongo hawana jemaWabongo usiwaonyeshe umewin wanakususa woteeee na kukutenga mixer kukuchamba na kukupakazia ..!!! Ukizifuma Kula bata kimya kimya Ila ukiwa na demu mapepe ndo hasara hyo 😀 atatangaza mpak bas
Veri thefuuwe una ufala eti idhi theifu😝😝😝
Rest kula maisha, kula maisha na Kwakuwa umeokoka na kumpa Yesu maisha yako, endelea kuwa ushuhuda kila uendapo, maisha ni mafupi SANA, mchezee mumeo, mpe kila kitu atakacho mwilini mwako isipokuwa sehemu iliyokatazwa ki-biblia.Dada/mama huyu amekuwa maarufu Sana kwenye mitandao ya kijamii Kama mfanyabiashara maarufu wa chakula na vinywaji, pia vipodozi.
Wakati fulani alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi. Anaonekana ni very successful businesswoman, tajiri mkubwa haswa ukiiangalia namna anavyospend na mume wake mpenzi. Mara yupo Dubai, mara visiwa vya Malves, saizi yupo mbugani for wedding anniversary.
Kila weekend yupo kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt akipata raha.
Jamani huyu ni nani haswa?
Yasije yakajitokeza yale ya kibubu challenge tu mara mtu kashikwa na plummer 😁 gram kadha wa kadha. Maana hata dada yule alikuwa mlokole bila shaka na mtoa misaada sana.Rest kula maisha, kula maisha na Kwakuwa umeokoka na kumpa Yesu maisha yako, endelea kuwa ushuhuda kila uendapo, maisha ni mafupi SANA, mchezee mumeo, mpe kila kitu atakacho mwilini mwako isipokuwa sehemu iliyokatazwa ki-biblia.