Results Sports bado wanaitafuta ilipo.
Ile timu wanapenda liaResult Sport Wakitaja hiyo nafasi ambayo wapo basi huenda wakasema wanabaguliwa
Yanga Kwenye zile klabu bora Africa haikutajwa, Kwenye list ya Klabu zenye wafuasi wengi haipo. Sasa hawa Yanga wao wapo dunia ya ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani acheni porojo za kwenye mitandao. Nyie ndio mnasabaisha hata wachezaji wajione wako zaidi ya Barcelona kumbe safari bado. Timu yenyewe hiyo mnayoisifu kila kukicha mara ina washabiki mara inaweza kuifunga Real Madrid mara ni ya 2 duniani kwa ubora wakati inafungwa na vitimu visivyojulikana.Kwa mujibu wa takwimu ambazo zimetolewa na mtandao wa Result Sports ambao unajihusisha na utoaji takwimu za wanamichezo, klabu, ligi na mashirikisho, umeitaja klabu ya Simba SC kuwa ya 151 duniani kwa kuwa na wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii ikiongozwa na Barcelona ya Hispania na ikishika nafasi ya 8 Afrika ikiongozwa na klabu ya Al Ahly ya Misri na namba1 kwa Afrika Mashariki na Kati.View attachment 1332419View attachment 1332422
ili waone kama itaingia kwenye orodhaResults Sports bado wanaitafuta ilipo.
umejitahidi kuandika angalau umeonekana mjanja, kumbe bonge la .....Wanawake wengi mikia na ndio watumiaji wakubwa wa mitandao
Jamani acheni porojo za kwenye mitandao. Nyie ndio mnasabaisha hata wachezaji wajione wako zaidi ya Barcelona kumbe safari bado. Timu yenyewe hiyo mnayoisifu kila kukicha mara ina washabiki mara inaweza kuifunga Real Madrid mara ni ya 2 duniani kwa ubora wakati inafungwa na vitimu visivyojulikana.