Result Sports waitaja Simba SC kuwa ya 151 duniani, kuwa na wafusi wengi kwenye mitandao ya kijamii

Result Sports waitaja Simba SC kuwa ya 151 duniani, kuwa na wafusi wengi kwenye mitandao ya kijamii

Jamani acheni porojo za kwenye mitandao. Nyie ndio mnasabaisha hata wachezaji wajione wako zaidi ya Barcelona kumbe safari bado. Timu yenyewe hiyo mnayoisifu kila kukicha mara ina washabiki mara inaweza kuifunga Real Madrid mara ni ya 2 duniani kwa ubora wakati inafungwa na vitimu visivyojulikana.
Yaani watu wakaa na akili zao wanaumiza vichwa kwa takwimu halafu wewe unaita porojo? Halafu ukiambiwa Barcelona inawafuasi wengi inamaana haifungwi?
 
Wanasimba maijisifu sana mkasahau hata yanga walikuwa na mashabiki lukuki. Enzi Manji Yangaikiwa inaahinda.
 
Jamani acheni porojo za kwenye mitandao. Nyie ndio mnasabaisha hata wachezaji wajione wako zaidi ya Barcelona kumbe safari bado. Timu yenyewe hiyo mnayoisifu kila kukicha mara ina washabiki mara inaweza kuifunga Real Madrid mara ni ya 2 duniani kwa ubora wakati inafungwa na vitimu visivyojulikana.
Wewe aliyekuambia timu kubwa haifungwi nani? Ndivyo mlivyo. Watu wanaongelea ranking mbalimbali mwenzetu unasema kufungwa na timu ndogo. Lipuli ilyowahi kukufunga timu kubwa?? Jitahidi kujadili kilicho mezani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli Yanga ina mashabiki wengi Wazeee wenye Umri mkubwa, wakoloni haswaaaa na Wamefulia pia na wengi wao wanatumia Vitochi hao akiwa Kijana ujue ni yule tegemezi kwa Mzeee baba Mwanayanga.
 
wenye akili wanashindana kwa ubora wa timu uwanjani, mambumbumbu yanashindania idadi ya washabiki mitandaoni.
 
Sawa
255763577819_status_00cce743d9e8472284fd55c39d3d50cb.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mwehu tu, kila kitu kina takwimu, hata nyie wabovu ipo idadi yenu..!
wenye akili wanashindana kwa ubora wa timu uwanjani, mambumbumbu yanashindania idadi ya washabiki mitandaoni.
 
Saa zingine Bodaboda Fc mnashangalia mambo ya kusadikika sasa kama ni ya 51 wewe shabiki pishi yako imeongezeka?
 
Wa matopeni tufanye ninyi ni kwanza duniani kuwa na mashabiki mbumbumbu kama alivyowaita Aden Rage tuache hiyo 151 wakati mwingine uwe na akili ngumu kuishabikia simba maana inakutoa ufahamu Timu oekee ya kihistoria na nchi hii inajulikana timu ya wananchi
 
Hivi umesoma ulichoandika? Hata hivyo kuandika tu huwezi, je utaelewa kitu kwenye hili..Chura we!
Wa matopeni tufanye ninyi ni kwanza duniani kuwa na mashabiki mbumbumbu kama alivyowaita Aden Rage tuache hiyo 151 wakati mwingine uwe na akili ngumu kuishabikia simba maana inakutoa ufahamu Timu oekee ya kihistoria na nchi hii inajulikana timu ya wananchi
 
Back
Top Bottom