Yaani watu wakaa na akili zao wanaumiza vichwa kwa takwimu halafu wewe unaita porojo? Halafu ukiambiwa Barcelona inawafuasi wengi inamaana haifungwi?Jamani acheni porojo za kwenye mitandao. Nyie ndio mnasabaisha hata wachezaji wajione wako zaidi ya Barcelona kumbe safari bado. Timu yenyewe hiyo mnayoisifu kila kukicha mara ina washabiki mara inaweza kuifunga Real Madrid mara ni ya 2 duniani kwa ubora wakati inafungwa na vitimu visivyojulikana.
Mnasemaje kuhusu Yanga kuwa nafasi ya 72?Hongera sana Simba SC, tunastahili kuwa hivyo na lengo kuwa namba moja Afrika..NguvuMoja
Wewe aliyekuambia timu kubwa haifungwi nani? Ndivyo mlivyo. Watu wanaongelea ranking mbalimbali mwenzetu unasema kufungwa na timu ndogo. Lipuli ilyowahi kukufunga timu kubwa?? Jitahidi kujadili kilicho mezani.Jamani acheni porojo za kwenye mitandao. Nyie ndio mnasabaisha hata wachezaji wajione wako zaidi ya Barcelona kumbe safari bado. Timu yenyewe hiyo mnayoisifu kila kukicha mara ina washabiki mara inaweza kuifunga Real Madrid mara ni ya 2 duniani kwa ubora wakati inafungwa na vitimu visivyojulikana.
Achananaye huyo, utaumiza kichwa bure tu.Yaani watu wakaa na akili zao wanaumiza vichwa kwa takwimu halafu wewe unaita porojo? Halafu ukiambiwa Barcelona inawafuasi wengi inamaana haifungwi?
Wewe aliyekuambia timu kubwa haifungwi nani? Ndivyo mlivyo. Watu wanaongelea ranking mbalimbali mwenzetu unasema kufungwa na timu ndogo. Lipuli ilyowahi kukufunga timu kubwa?? Jitahidi kujadili kilicho mezani.
Sent using Jamii Forums mobile app
We ndo unaongea kauli hizi?Hata njia ya kuelekea motoni ina wafuasi wengi.
Wa matopeni tufanye ninyi ni kwanza duniani kuwa na mashabiki mbumbumbu kama alivyowaita Aden Rage tuache hiyo 151 wakati mwingine uwe na akili ngumu kuishabikia simba maana inakutoa ufahamu Timu oekee ya kihistoria na nchi hii inajulikana timu ya wananchi