MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Tena wanawapenda sana, ogopa mtu aliyeshika dini halafu akawa kwenye vyombo vya usalama. Anaona kama vile mambo anayofanya ni sehemu ya Ibada πππ. Akimuona Mdude anaona ni kama shetani lucifer kabisaNimeanza kuelewa kwanini vijana wengi wa TAG walipata kazi ndani yq mfumo
Nimeisikiliza hii vizuri sana. Uongozi wa TAG umejibu vizuri sana. Nimemsikia pia mwanae Maghembe akitukana TAG. Madai ya Maghembe kuchangisha michango ya kanisa la mwanaye ndani ya madhabahu ya TAG yamenistua sana. Tuwe na muda wa kusikiliza pande zotemoderator weka hii video kwenye post
Msikilize na Maghembe mwenyewe then utapata hitimisho jema lisilo na mawaaNimeisikiliza hii vizuri sana. Uongozi wa TAG umejibu vizuri sana. Nimemsikia pia mwanae Maghembe akitukana TAG. Madai ya Maghembe kuchangisha michango ya kanisa la mwanaye ndani ya madhabahu ya TAG yamenistua sana. Tuwe na muda wa kusikiliza pande zote
Maghembe na mwanaye niliwasikiliza kabla ya TAG. Nimehitimisha kwamba Maghembe alikuwa na ajenda.Msikilize na Maghembe mwenyewe then utapata hitimisho jema lisilo na mawaa
Hapana sijaya sikia haya yote. Jana Maghembe alikuja na hoja zake tano na ya kwanza ni uamsho.Maghembe na mwanaye niliwasikiliza kabla ya TAG. Nimehitimisha kwamba Maghembe alikuwa na ajenda.
Ni kama familia yake ilichukuliwa uchungaji kama ajira. Mwanaye anasema walitathmini watanufaika vipi na nguvu anayowekeza baba yao TAG Majumbasita ikiwa baba yao hatakuwepo. Ukiwa objective unaona hiki ndio chanzo cha yote. Hayo mengine ni hoja anazotaka kujifichia tu. Ndio maana hata kwenye nyaraka zake anasema "kunyanyaswa" ndio chanzo.
Amekiri kuyaambia makanisa kwamba yamekufa. Hizo ni lugha za kisiasa. Mwanaye Maghembe ametukana TAG kwamba ni wapuuzi na washenzi, umesikia baba yake akikemea mwanaye?
Wametajwa kutumia TAG kukusanya michango ya hilo kanisa lao. Kimazingira hilo linawezekana. Umesikia wakikanusha hilo?
Kitu nimejifunza hapa ni hii huduma ya injili inaonekana kulipa sana. Mchungaji anapokuwa maarufu return ya uwekezaji inakuwa maradufu. Sasa kanisa likibaki kuwa chini ya jimbo mchungaji anaona kama anawachumia wengine. Maana siku asipokiwepo au kuamua kuacha huduma mali za kanisa ataiacha, hiyo ni kwa mujibu wa katibaHapana sijaya sikia haya yote. Jana Maghembe alikuja na hoja zake tano na ya kwanza ni uamsho.
Nadhani inatosha kuyazungumzia haya.
Ahsante kwa yale uliyonijuza kutoka kwa mtoto wake.
Mwendo ni ule ule tuuMchungaji mwenye msimamo mkali inapokuja suala la kumtumikia Mungu aliye hai Rev. Moses Maghembe ameamua kujiondoa kuwa chini ya usimamizi wa kanisa la mahali pamoja laTanzania Assemblies of God T.A.G
Kama ilivyokuwa kwa wajina wa Maghembe, alikuwepo Moses Kulola ambaye alijitenga na T.A.G na kuanzisha E.A.G.T kwa kutokukubaliana na baadhi ya misingi ya kanisa haswa inapokuja suala la kumtumikia Mungu ipasavyo. Wengi tunafahamu uhodari wa Moses Kulola na huduma yake katika kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.
Rev. Maghembe ndiye mchungaji pekee alikuwa na uthubutu wa kukosoa uongozi wa askofu Mkuu wa kanisa la T.A.G Dr. Barnabas Mtokambali. Alikosoa kitendo cha kanisa la kiroho kutoa tuzo ya amani kwa mwendazake wakati matukio ya mauaji yalikuwa juu.
Pia alikosoa waziwazi maadhimisho ya chama cha vijana ndani ya kanisa C.A.S yaliyofanyika Iringa kwa kufanya bonanza la mpira wa miguu. Maghembe alidai ile siyo njia ya kuhubiri injili ila ni kuishiwa kwa maono na kanisa kuanza kuiga mambo ya kidunia, kanisa linatakiwa kuleta athari duniani na siyo dunia ilete athari kanisani
Kuwa na ministry binafsi au kuwa chini ya uongozi. Wewe uko upande gani?
View attachment 3180718
Kama tuu kinachoendelea huko Chadomo.Migogoro ya maslahi tu
Huko ni kama CCM ,fomu ni Moja na hakuna msalia mtume ππDemokrasia na Kanisa haviendani ...
Angalieni Katoliki huku ni Amina tu...
Mbona CCM watu wengi wanapotaka kugombea urais mnatoa fomu moja tu ya Urais??Kama tuu kinachoendelea huko Chadomo.
Watu hawataki kugombea Urais ila wanataka kuwa Mwenyekiti π€£π€£
Na utaratibu unahwshimiwa ,ccm ni taasisi sio Mali binafsi ya mtu kama ilivyo Chadomo.Mbona CCM watu wengi wanapotaka kugombea urais mnatoa fomu moja tu ya Urais??
π³π³ Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!?? Umesemaaaaaaa!?? π₯Ίπ₯Ί Sijakusikiaaaaaa!!!???UKISIKIA TU KITU KINAITWA DHEHEBU WEWE JUA HIYO NI NYUMBA YA IBADA YA IBILISI SHETANI ... SHETANI NDIYO MMILIKI WA MADHEHEBU YOTE ULIMWENGUNI
Ukija kupata akili kubwa utakuja kutambuaπ³π³ Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!?? Umesemaaaaaaa!?? π₯Ίπ₯Ί Sijakusikiaaaaaa!!!???
Nakusikitikia utakufa vibaya wewe...!πππHaa In Maghembe Voice
Utakufa Vibaya Wewe!!!
Wako wapi mkuu, tusaidie kidogoshow mercy usipokuwa na huruma hata na wanyama kuku mbuz binadamu unamwaga damu muda wote nan aliekuambia ufalme wa Mungu utakaa kwa wauaji ? karma wewe endelea kuua ? ujue utauawa iwe kuku ungefunguliwa macho ukaona waliokuwa wanaua wanachinja wanyama wako wap usingesema
What? Hatari basiHaya Makanisa TAG, EAGT etc.wanafiki watupu wanajifanya wana wokovu kumbe wachafu watupu. Naishi nao wengine ni ndugu zangu nawajua nje ndani. Mchungaji anamiliki baa halafu jpil yupo madhabahuni eti anahubiri injili.Pathetic