Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Mwanaume wa kweli haumizwi na mwanamke hata siku moja, unajinyima unampa yeye huyo mkeo? Haya ni maneno ya kishujaa tu sio chochote unachoweza kumfanyia maana dume kamili huwezi lialia huku mbele ya Umma ila ungefanya tu kwa kitendo ukutane na sheria ukavunje mawe maweni tanga kwa ujenzi wa Taifa.
Wewe umekutana na mtu keshapendeza unataka kujimilikisha kirahisi kimikwara unajua alikotokea mpaka akakuvutia? Kila mtu na uhuru wake, sio mkeo huyo na hakukutongoza wala hajakutuma kumgarimikia, tumia akili wakati mwingine badala ya ujinga.
Namimi sikumlazimisha kupokea, kwanini nisimpe mwingine nikampa yeye?? Nilishamwambia mapema sana kuwa akicheza namimi atajuta maisha yake yote, tulikuwa na makubaliano yaani agano, so kwa kuwa amevunja agano basi adhabu hii haiepukiki
 
Kwa ufupi hii ni taarifa tu, so ushauri wako hautabadili chochote wala kuongeza chochote, vipi lakin uzima upo??

Ni hivi, mi huwa siumizwi alafu anayeniumiza akabaki salama, nikiumizwa mi nakuumiza mara 10 alafu fresh, maisha yenyewe mafupi haya, mi niwe na stress alafu wew ucheke ili kiwe nini... sipendagi ubwege kabisa, na nitabaki kwenye kumbukumbu zako milele ukijifanya kuniletea habari za ajabu..

Miez 8 iliyopita nilidate na dada mmoja hivi mrembo, height moja hivi mauzo sana na mzigo wa kuvuta huko nyuma haukuwa haba, kifupi mvuto wa yule dem hauna shaka, kama ni maksi basi A ya 95+... mapema nikamwambia mambo ya kiboya sitaki, km utacheat jitahidi nisijue, nikijua umeumia....Akajifanya hadi kulia pale kwamba ananilove nyang'anyang'a na kamwe hakuna mwanaume kama mimi, nikasema poa but take my words ukinizingua hutoamini nitakachokufany, na km hunitaki niache uende, na kama pia itakuw mechi za dharula tu alafu kimya tuambiane, moyo wangu hauchezewi.. akasema nisiwe na shaka ananipenda, nikasema poa.

Tabia yangu ni kwamba kamwe siwezi kuwa na mpenzi zaid ya mmoja kwa wakati mmoja, so nikiwa na mmoja huyo huyo. Sasa mwezi mmoja nyuma nikausoma mchezo dizain kama demu wangu analiwa hivi, sikumuuliza, nikakomaa hadi nikapata password zake facebook na insta.. nikazama inbox yake, daah ni balaa tupu, ashapigwa mashine na mshikaji mmoja hivi, then jamaa dizain kama anakomaa naye amle 0715 hiv sema demu anabana.. text yake hii hapa..

"Baby naridhika sana nawew, ila unanibania side B, nyimbo za side A zote nimeskiliza why uninyime za side B mpenz?, kama side A nilsikilza kwa elfu 70 bas side B lazma dau lipande.. nielewe bas"

Demu akajibu..

"Mi nina mtu na tuna malengo je akigundua na kuniacha itakuwaje"

Jamaa..

"Hawezi gundua, kwani huwa anakagua huko, ila navyokujua huwez nibania.. nitakutoa out ukafanye shopping ya maana, na nitakutumia 100,000 kesho"

Demu...

"Mmh poa tutaangalia tukikutana tar.22 jamaa akiondoka kama tulivyopanga".

Zipo nyingi nying but hizo kiufupi,....

Mimi kwa huyu demu..., nampa nachopata, najinyima sana apate yeye, nishamtoa shopping za maana mara kibao na tayari nishaandaa pesa nzuri tu kwa ajili yake, Krismass na mwaka mpya, maana tar.hizo sitakuwepo kutokana na majukum ya kazi yangu, nammudu kiujumla, nguo, usafiri, pesa ya kula, malazi nafanya mimi.. yeye hana chochote zaid ya gamba lake la diploma. Muda wote huo sina demu zaid yake.. na on bed naperfom fresh hadi anaomba poo yeye..

Nilichokifanya baada ya kugundua hilo, nimescreenshot charting zote hadi picha walizopiga wakiwa lodge wametumiana kupitia fb messenger nimejitumia kwenye simu yangu, then nimeuchuna.. kifupi tayari nimeshampiga chini ila siwez kumwambia tuachane kiboya boya hiv bila yeye kuonja joto la jiwe kidogo, na kamwe sitafanya naye mapenz tena.. ambacho kimebaki kwake ni kumpa kidonda cha milele..

Ifahamike ananipenda japo tamaa anazo, ashanitambulisha kwa rafiki zake wote, dada yake, hadi mama yake.. kifupi anaitwa mrs mimi... na uchafu anaoufanya ni siri kubwa sana na ndo maana anatumia fb messenger maana anajua siwez hisi chochote huko.. tayari tarehe ya kupeleka barua ishapangwa, tarehe 07 jan... mashangazi zake wote wanajiandaa kwa tukio hilo.. upande wetu pia tunajiandaa..

Nataka nifanye nini?? Siku hiyo ya tukio la kwenda kwao kujitambulisha rasmi ndo siku yangu ya kumuumiza, maana kwao anaaminika sana, anaimba kwaya kanisan, ana vyeo vingi ving vya huko kanisani.. na huwezi mzania hata kidogo kama ni mshenzi.. siku hiyo mbele ya Mchungaji wake, ndugu zake, mama ake, mashangazi na marafiki zake wakiwa na smartphone zao naenda umiza mtu vibaya sana, sio kwamba nitampiga hapana, ila nataka nimafanyie tukio ambalo litaweka maumivu ya kudumu kwenye moyo wake na kamwe hatokuja nisahau..

Tarehe 7 january, save the date....

USIPOTEZE MUDA KUNISHAURI CHOCHOTE, HUWA NIKIPANGA SIPANGUI..
Kalikologaaa .....kamwaga ugali na wewe malizia mboga hakuna namna
 
ingelikuwa na Mungu analipa kisasi kama unavyolipa wewe binaadamu sote tungekuwa na alama za makovu kila sehemu ya mwili. Hakuna kitu kizuri kama kusamehe na ndio maana mtu anaependa kusamehe Mungu huwakusanya malaika wake na kuwashuhudisha oneni Mtu wangu amefanywa hivi na vile na amesemehe. basi pale pale unapewa cheo cha kuwa shujaa na Mungu anakuandalia malipo makubwa kwa ushujaa wako. Achana na ndoa kwa huyo mwanamke mkuu lakini samehe na utajisikia Amani kubwa moyoni mwako. Na ikiwa hutaki ushauri basi.
 
Kama nikweli na sio chai, hii itakua mbaya, unaweza kujikuta unajibu kesi ya manslaughter, na ujue atakaeumia sio yeye pekee, utaidhalilisha familia yake ambao hawakumtuma kufanya hayo(they are innocent), utadhalilisha familia yako especially mama na dada zako na mtageuka talk of the town, ila kwa sababu umeamua na bichwa lako limejaa kiburi na revenge utafikiri hiyo K uliambiwa na mganga wako ndiyo itakua ya mwisho kuchovya na hautapata nyingine, Jiandae kutibu kidonda cha majuto unless wewe sio binadamu wakawaida.
Mkuu nikuhakikishie, kamwe sitajutia hata siku moja.. kumbuka nilishamwambia mapema, anacheza na moyo wangu boya huyu
 
Nakushauri create group la whatsap kwa familia zote mbili then hiyo tarehe 7 rusha hizo SMS ulizoscreen shot na picha ulizodukua/
 
Pata picha alafu unamkuta ma mwingine, vipi... we ngoja tar.07 si inakuja
Una uhakika gani haingii humu jf, na utakuwa umesha mpa taarifa bila kujua?
Labda hata marafiki zake wamo humu..na event ya 7/1 wanaijuwa wana add 1 & 1.paap..wanamtonya kuhusu mipango yak ya revenge.
Naona hii ni stori tuu umeleta humu.
 
Una uhakika gani haingii humu jf, na utakuwa umesha mpa taarifa bila kujua?
Labda hata marafiki zake wamo humu..na event ya 7/1 wanaijuwa wana add 1 & 1.paap..wanamtonya kuhusu mipango yak ya revenge.
Naona hii ni stori tuu umeleta humu.
This is not blah blah braza.. hayupo jf mzee.
 
Mwisho wa siku anayeumia sana ni mwanamke,
Dunia inavyowachukulia wanawake na wanaume ni tofauti kabisa,
Wewe unaweza kuhisi umemkomoa mwanaume lakini mwisho wa siku unaishi kutumbukia kwenye lindi zito la matatizo.
Inawauma sana ikiwa kwenu, acha mnyooshwe
 
Natamani ningekuwa huyo binti,halafu niwe nimepata hii plan yako hapa. Ningekupiga bonge la suprise hadi ungejiona mjinga
 
Inawauma sana ikiwa kwenu, acha mnyooshwe

Siyo jambo jema kumdanganya mwenza wako,
Japo binafsi huwa siwezi kukosa usingizi kisa mwanamke kanidanganya,
Akichepuka ni kwa hasara yake mwenyewe wala hanikomoi kabisa mimi.

Lakini ukweli ni kwamba kuna mambo akifanya mwanamke wa kitanzania jamii ni lazima istuke na kumdharau.
Jinsi mwanamke wa kitanzania anavyoonekana kwenye jamii, siku akichepuka ni ijulikane wazi basi ajue ndiyo mwisho.
Huu ndiyo ukweli ndugu yangu na kwa faida ya wanawake wote humu (Usichepuke kabisaaa sheria za jamii ziko kukundamiza wewe hata kama unaonewa)
 
Siyo jambo jema kumdanganya mwenza wako,
Japo binafsi huwa siwezi kukosa usingizi kisa mwanamke kanidanganya,
Akichepuka ni kwa hasara yake mwenyewe wala hanikomoi kabisa mimi.

Lakini ukweli ni kwamba kuna mambo akifanya mwanamke wa kitanzania jamii ni lazima istuke na kumdharau.
Jinsi mwanamke wa kitanzania anavyoonekana kwenye jamii, siku akichepuka ni ijulikane wazi basi ajue ndiyo mwisho.
Huu ndiyo ukweli ndugu yangu na kwa faida ya wanawake wote humu (Usichepuke kabisaaa sheria za jamii ziko kukundamiza wewe hata kama unaonewa)
Jamii ndo sisi nami nasema mnyooshwe tu teh
 
Namimi sikumlazimisha kupokea, kwanini nisimpe mwingine nikampa yeye?? Nilishamwambia mapema sana kuwa akicheza namimi atajuta maisha yake yote, tulikuwa na makubaliano yaani agano, so kwa kuwa amevunja agano basi adhabu hii haiepukiki
Mkwara mbuzi tu huo.
 
Kwa ufupi hii ni taarifa tu, so ushauri wako hautabadili chochote wala kuongeza chochote, vipi lakin uzima upo??

Ni hivi, mi huwa siumizwi alafu anayeniumiza akabaki salama, nikiumizwa mi nakuumiza mara 10 alafu fresh, maisha yenyewe mafupi haya, mi niwe na stress alafu wew ucheke ili kiwe nini... sipendagi ubwege kabisa, na nitabaki kwenye kumbukumbu zako milele ukijifanya kuniletea habari za ajabu..

Miez 8 iliyopita nilidate na dada mmoja hivi mrembo, height moja hivi mauzo sana na mzigo wa kuvuta huko nyuma haukuwa haba, kifupi mvuto wa yule dem hauna shaka, kama ni maksi basi A ya 95+... mapema nikamwambia mambo ya kiboya sitaki, km utacheat jitahidi nisijue, nikijua umeumia....Akajifanya hadi kulia pale kwamba ananilove nyang'anyang'a na kamwe hakuna mwanaume kama mimi, nikasema poa but take my words ukinizingua hutoamini nitakachokufany, na km hunitaki niache uende, na kama pia itakuw mechi za dharula tu alafu kimya tuambiane, moyo wangu hauchezewi.. akasema nisiwe na shaka ananipenda, nikasema poa.

Tabia yangu ni kwamba kamwe siwezi kuwa na mpenzi zaid ya mmoja kwa wakati mmoja, so nikiwa na mmoja huyo huyo. Sasa mwezi mmoja nyuma nikausoma mchezo dizain kama demu wangu analiwa hivi, sikumuuliza, nikakomaa hadi nikapata password zake facebook na insta.. nikazama inbox yake, daah ni balaa tupu, ashapigwa mashine na mshikaji mmoja hivi, then jamaa dizain kama anakomaa naye amle 0715 hiv sema demu anabana.. text yake hii hapa..

"Baby naridhika sana nawew, ila unanibania side B, nyimbo za side A zote nimeskiliza why uninyime za side B mpenz?, kama side A nilsikilza kwa elfu 70 bas side B lazma dau lipande.. nielewe bas"

Demu akajibu..

"Mi nina mtu na tuna malengo je akigundua na kuniacha itakuwaje"

Jamaa..

"Hawezi gundua, kwani huwa anakagua huko, ila navyokujua huwez nibania.. nitakutoa out ukafanye shopping ya maana, na nitakutumia 100,000 kesho"

Demu...

"Mmh poa tutaangalia tukikutana tar.22 jamaa akiondoka kama tulivyopanga".

Zipo nyingi nying but hizo kiufupi,....

Mimi kwa huyu demu..., nampa nachopata, najinyima sana apate yeye, nishamtoa shopping za maana mara kibao na tayari nishaandaa pesa nzuri tu kwa ajili yake, Krismass na mwaka mpya, maana tar.hizo sitakuwepo kutokana na majukum ya kazi yangu, nammudu kiujumla, nguo, usafiri, pesa ya kula, malazi nafanya mimi.. yeye hana chochote zaid ya gamba lake la diploma. Muda wote huo sina demu zaid yake.. na on bed naperfom fresh hadi anaomba poo yeye..

Nilichokifanya baada ya kugundua hilo, nimescreenshot charting zote hadi picha walizopiga wakiwa lodge wametumiana kupitia fb messenger nimejitumia kwenye simu yangu, then nimeuchuna.. kifupi tayari nimeshampiga chini ila siwez kumwambia tuachane kiboya boya hiv bila yeye kuonja joto la jiwe kidogo, na kamwe sitafanya naye mapenz tena.. ambacho kimebaki kwake ni kumpa kidonda cha milele..

Ifahamike ananipenda japo tamaa anazo, ashanitambulisha kwa rafiki zake wote, dada yake, hadi mama yake.. kifupi anaitwa mrs mimi... na uchafu anaoufanya ni siri kubwa sana na ndo maana anatumia fb messenger maana anajua siwez hisi chochote huko.. tayari tarehe ya kupeleka barua ishapangwa, tarehe 07 jan... mashangazi zake wote wanajiandaa kwa tukio hilo.. upande wetu pia tunajiandaa..

Nataka nifanye nini?? Siku hiyo ya tukio la kwenda kwao kujitambulisha rasmi ndo siku yangu ya kumuumiza, maana kwao anaaminika sana, anaimba kwaya kanisan, ana vyeo vingi ving vya huko kanisani.. na huwezi mzania hata kidogo kama ni mshenzi.. siku hiyo mbele ya Mchungaji wake, ndugu zake, mama ake, mashangazi na marafiki zake wakiwa na smartphone zao naenda umiza mtu vibaya sana, sio kwamba nitampiga hapana, ila nataka nimafanyie tukio ambalo litaweka maumivu ya kudumu kwenye moyo wake na kamwe hatokuja nisahau..

Tarehe 7 january, save the date....

USIPOTEZE MUDA KUNISHAURI CHOCHOTE, HUWA NIKIPANGA SIPANGUI..
Utatupa feedback
 
Wapo wanaocheat ila binafsi si cheat na niko upande wa wanaume wasiocheat kama mtoa mada. Asikwambie mtu ukiwa loyal kwa mwanamke halafu akakuletea mapicha inauma sana mkuu!
Nakubali kwamba inauma Kama ikiwa nawe hufanyi hayo kwa 100%.

Ila ni lazima tuukubali uhalisia kwamba huyo sio wakwanza na kamwe hatakuwa wamwisho kufanya kitu cha namna hiyo, hivyo hicho anachowaza kukifanya huyu ndugu yetu si salama Kwake na Kwa Familia yake.
 
Back
Top Bottom