Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Sas mkuu kama yuko humu Jf sitaar ashausoma mchezo?au ata marafik zake siwatamwambia thn plan itafel
 
Ushauri wangu siku ya tukio nenda na watu kibao kwa ajili ya ulinzi,,,nenda njombe ukajizindike,tafuta bastola ya kutishia,,,,kwani ukifanya hayo utakua umejisogezea Sikh zako za kifo
 
Uliwezaje kupata password? Hapo nahisi pana ukakasi ni rahisi kupitia account kwa kutumia simu yake pamoja na hivyo ni vigumu kuzipata labda kama alizinote mahali jambo ambalo kwa watu wa leo sidhani
 
Sasa kama unajua hautaki ushauri umeweka thread hapa ili iweje? Au ndo unataka tukusaidie kukupatia namba za wapiga picha waje siku ya tukio!

Tunasubiria part 2 tujue kilitokea kitu gani but be very careful

Happy new year in advance
Kwani kila thread inaomba ushauri?
 
Kama unampenda kweli mkomoe huyo jamaa sio demu wanawake ni wadhaifu panga fumanizi then umkomeshe huyo jamaa pia msaidie dada wa watu asiharibiwe na huyo jamaa

Mapenzi mabaya kupenda kubaya sana najua unafanya hivyo ila pia hilo jambo litakuuma sio mchezo utatamani usingefanya hivyo
 
Dawa ya uahenzi ni ushenzi,demu wake naye angemwambia mumewe mtarajiwa kua yeye ni msaliti tena analiwa hadi tigo halafu asepe amuache jamaa kuliko kuacha hadi jamaa agundue mwenyewe.
 
Kwa ulichopanga kumfanyia ikatokea umemkosa Nina uhakika utamtoa roho msichana wa watu. We ni hopeful prisoner.
 
Kama sio Chai za Jf basi kazi ipo mkuu.


Pole Sana, lakini pia angalia unaweza kumdhalilisha/kumuumiza lakini ukajikuta umejifedhehesha mwenyewe na ukadharaulika mbele ya Jamii yako iliyokuheshimu.
Hakuna jamii itakayomdharau,watakaomdharau jamaa watakua ni waungaji wakubwa wa vitendo ovu kama anavyofanya huyo mdada.
 
Mwenzenu revenge yangu n kukaa kimya nashangaa ndo hua inamuumiza my dear ex ,haishi kuniomba msamaha japo niliwah mwambia nishamsamehe na awe na Amani ...,ila naona hua haamin kama nilisamehe.
Kwasababu hamcherewi kulipiza kwa gume gume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…