Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Mm ni mwanamke, nimeumia sana pale unapompa MTU moyo wako akauchezea.

Wewe uko kama mm nikimpenda MTU nimemaliza, tamaa zote naweka chini, na kipindi hicho nakutana na visu vikali sana, ila najipa moyo kuwa huyu ni shetani hawezi kumzidi bf wangu, kiukweli na huwa no sitowagi

Wakuu hakuna mwaka niliopata vishawishi kama huu, tiyari nishapata Bf yupo mbali nampenda namuheshimu, yaan utafikiri yupo karibu nami,

Kazi ninayoifanya lazima nikutane na high class people, kwenye lift naenda ofisini ndo ysiseme, nakutana na wanaume balaa ila naajipa moyo kuwa L ni the right person.

Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,

' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.

Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??

Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.

Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi

Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
 
Mm ni mwanamke, nimeumia sana pale unapompa MTU moyo wako akauchezea.

Wewe uko kama mm nikimpenda MTU nimemaliza, tamaa zote naweka chini, na kipindi hicho nakutana na visu vikali sana, ila najipa moyo kuwa huyu ni shetani hawezi kumzidi bf wangu, kiukweli na huwa no sitowagi

Wakuu hakuna mwaka niliopata vishawishi kama huu, tiyari nishapata Bf yupo mbali nampenda namuheshimu, yaan utafikiri yupo karibu nami,

Kazi ninayoifanya lazima nikutane na high class people, kwenye lift naenda ofisini ndo ysiseme, nakutana na wanaume balaa ila naajipa moyo kuwa L ni the right person.

Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,

' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.

Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??

Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.

Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi

Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
Hongeraaa kwa msimamo je shemeji yupo imara au hata upepo unamtingisha jirizishe ili usipoteze muda
 
Usisahau kutuletea mrejesho mkuu hiyo tarehe 07 january. Make nimesave kwenye kalenda nisisahau kabisa.
 
Yaani jf kuna wavulana wanafiki sana ukisoma michango ya kwenye nyuzi nyingine na walichoandika hapa ndo utaelewa na isitoshe jamaa hajatuomba ushauri katushirikisha tu mkasa wake hapo tunachopaswa ni kusubiri mrejesho tu sio hayo mapovu yenu yasiyo na faida [emoji40][emoji40][emoji35]
 
Usisahau kushare nasi feedback baada ya tukio.
 
Mkaushie2
Sio uhungwana kumuharibia mtu maisha yake kisa hasira zako
Amekuumiza sawa lkn c kwa kuonesha mambo yake ya siri mbele za hao wote
Bora ufanye ata kwa wazaz pekee ila sio mbele ya kadamnasi
 
Sasa kama unajua hautaki ushauri umeweka thread hapa ili iweje? Au ndo unataka tukusaidie kukupatia namba za wapiga picha waje siku ya tukio!

Tunasubiria part 2 tujue kilitokea kitu gani but be very careful

Happy new year in advance
Yeye kuliweka hapa ni part of relief so kubali tu.
 
Kisheria imekaaje mkuu? Wanafamilia yake wanaweza kurevenge kwako pia kisheria. Labda uact as though you did not know that before and kuna third party asuyejulikana amefanya hiyo kazi ya kuvujisha.

All the best boss. Cover your ass.
 
Mm ni mwanamke, nimeumia sana pale unapompa MTU moyo wako akauchezea.

Wewe uko kama mm nikimpenda MTU nimemaliza, tamaa zote naweka chini, na kipindi hicho nakutana na visu vikali sana, ila najipa moyo kuwa huyu ni shetani hawezi kumzidi bf wangu, kiukweli na huwa no sitowagi

Wakuu hakuna mwaka niliopata vishawishi kama huu, tiyari nishapata Bf yupo mbali nampenda namuheshimu, yaan utafikiri yupo karibu nami,

Kazi ninayoifanya lazima nikutane na high class people, kwenye lift naenda ofisini ndo ysiseme, nakutana na wanaume balaa ila naajipa moyo kuwa L ni the right person.

Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,

' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.

Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??

Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.

Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi

Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
Naunga mkono hoja..
 
Back
Top Bottom