Naughty girl
Member
- Aug 5, 2017
- 95
- 231
OkayRead between the lines
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkayRead between the lines
SawaYeye kuliweka hapa ni part of relief so kubali tu.
Hahahahaha I survived to tell a taleHebu pita kwa mangi agiza chochote nakuja kulipa, tena mwambie kuwa hupendagi ujinga kabisa That's how to be a man. Yani ww sio mwanaume wa dar kabisa yani wa dar angeanza kum bembeleza kama mama Yake mzazi hiyo plan Tundu lissu anaiita " I SURVIVED SO AS TO TELL A TALE" nenda mzee baba nenda katoe mnyoosho ajue kwamba wewe sio ****. Ur a man, a very strong man. KUDOS!!!!
Unaweza kuita D Day. Sijui kama bidada anajua siku ambayo anaweza kuanguka na kupoteza fahamUmesema tarehe 7 January 2018
NeverHii ni hatar ndugu, nadhani the next episode after your plan is to regret on what you have done.
Nipo conscious sana, very normal yaan.. nisome nielewe vizuriWe jamaa acha kupenda ki hivyo isitoshe hayo mahusiano hayana hata mwaka....kinachofuata ni wewe kujiua maana unatumia mali kupata hao wanawake
Poa tu.. afe. Ni mshenziKaka hii mission italeta impact mbaya sana kwa bidada. Yaan it is a good move but angalia, kuna uwezekano bidada akajiua
Pata picha alafu unamkuta ma mwingine, vipi... we ngoja tar.07 si inakujaMm ni mwanamke, nimeumia sana pale unapompa MTU moyo wako akauchezea.
Wewe uko kama mm nikimpenda MTU nimemaliza, tamaa zote naweka chini, na kipindi hicho nakutana na visu vikali sana, ila najipa moyo kuwa huyu ni shetani hawezi kumzidi bf wangu, kiukweli na huwa no sitowagi
Wakuu hakuna mwaka niliopata vishawishi kama huu, tiyari nishapata Bf yupo mbali nampenda namuheshimu, yaan utafikiri yupo karibu nami,
Kazi ninayoifanya lazima nikutane na high class people, kwenye lift naenda ofisini ndo ysiseme, nakutana na wanaume balaa ila naajipa moyo kuwa L ni the right person.
Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,
' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.
Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??
Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.
Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi
Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
Hakuna kitu km hiyo..Kwa hizi details za mpk tarehe ya kutambulishwa. Bi mdada atapata hizi taarifa na utapigwa kibuti kabla ya hiyo tarehe. Pole though.
SawaKweli.hapa unatupotezea muda Tu
Nitaleta, lolote litakalotokea liwe baya au zuri poa tu.. moyo wangu sio game eti ukikosea unarudia, moyo wangu ni wa damu unaumiaUsisahau kushare nasi feedback baada ya tukio.
Kaka mi navuja jasho, kazi ngumu.. nampa hela yeye mamaee.. nikijipa moyo ni wife alafu wadau wanaplan kumla tigo...Mkaushie2
Sio uhungwana kumuharibia mtu maisha yake kisa hasira zako
Amekuumiza sawa lkn c kwa kuonesha mambo yake ya siri mbele za hao wote
Bora ufanye ata kwa wazaz pekee ila sio mbele ya kadamnasi
Hataree sana...simpatii picha mdada watu siku hiyoKila la kheri