Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

MKUU NIMEKUPENDA SANA MKUU, BIG UP SANA KWA KUNINYOOSHEA UYO MBUZI ANAYEITWA MWANAMKE MZINZI, MIMI NINA WANGU HAPA ILA NATAFUTA NJIA NZURI YA KUNYOOSHA NA MIMI ILI AJE ASIMULIE VIZAZI VYAKE VYOTE
Ha ha mkuu hii sio mchezo inataka uwe hivo ukiiga utajuta binafsi siwezi
 
Mkuu hii haikubariki sawa ni maamzi yako wangapi wanafanya usaliti lakini wanakuja kubadirika nakuwa watu wazuri ulianza kutoa funzo zuri ila baadae ukadhamilia kuuwa hapana kumbuka nawewe utapata watoto wanawake ndohawahawa kila raherl mkuu ukaona had wazazi wako hawana chakukushauri saw mkuu ikitokea nyingine tuletee inafunzo kubwa hasa upande wao
 

Bwana mkubwa mimi nakuelewa sana yalishawah kunitokea ya kunitokea na bint alikula hela zangu nyingi sana akapeleka mbususu kwa wahuni nilimpiga chini anateseka mpaka leo na sikumwambia kwanini nimemwacha hadi leo hajui kitu
 
Just wondering km Mwenyenzi Mungu angekua mgumu kutusamehe km ww unavyotia ugumu ingekuaje?
Una moyo Mgumu like you have never sin, and sad enough you are proud of it.
Hii sio revenge anymore huu sasa ni ukatili.
Usimpangie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…