Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Sasa kama hutaki ushauri yanini kutuwekea huu upuuzi. Utakapopigwa visu ndo utakumbuka maneno haya. Achana naye ana maisha yake nawe una yako
 
Nakukubali Sana we msweet ila kwa comment hii umeniangusha

Mtu ukimchukia haimaanishi kua ukimuombea mabaya ndo yatamkuta

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Kuna vinasaba vya gahawa humu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kuna kipande kimeniacha hoi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Baba wa binti akaongea mengi km kunilauma mim, nikaon ananiletea uhuni, nikamchana kwamba nilishamweleza kwamba akifanya ushenzi namim nitafanya ushenz na hizo msg kwenye simu zipo na kama binti atakataa nazionesha vile vile jinsi tulivyokubaliana,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni binti kutaka kutoa 0713
Unajua mimi sikubaliani na binti kufanya usaliti,amefanya udanganyifu na udanganyifu ni dhambi.
Na jamaa alikuwa na haki ya kumuacha kabisa, hata ingekuwa mimi..mtu msaliti siwezi kuendelea naye hata iweje.

Shida ni namna alivyomuacha,
Kulikuwa kuna haja gani ya kwenda kumdharirisha hivyo?
Kwanini asimuonyeshe tu vithibitisho na kumuacha pasi na kwenda hadi kwao kama baba yake alivyosema kwamba kwanini hakusema tu ili wapige simu kwamba hawataenda kuonekana.

Namna alivyomuacha ndicho kitu tunakiongelea hapa.
Imemgharimu binti na matokeo yake hayo madhara naye anaanza kuyasuffer..si yeye kwamba yupo salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Big up, msimamo ndo kila kitu. Ila huyo demu kula tu, hana madhara, na ikiwezekana weka ndani kabisa maana anajua misimamo yako
 
Usikute mtoa mada ni mtu mpole sana na huenda akawa ndiyo yule mwanachuo muoaji aliyependa vya kunyonga.

Kama ilivyo title za thredi nyingine tu... Mfano

"Hebu mshauri huyu rafiki yangu" (kumbe ni yeye mtoa mada anahitaji ushauri)

Ila nimependa upole wa mtoa mada na msimamo wa yule jamaa mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…