Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Sasa katika hadithi yako ma mitego kibao hujaonyesha mbadala ya hao character mbili ni nani
 
Wanamtetea mpenzi wa Jamaa washaliwa side B[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1483]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Nimegundua kupitia comment wengi humu si waaminifu, mnapenda sana kusamehewa mkijiwekea kinga mkikosea nanyinyi msamehewe, ukikosea utalipia na ndo kanuni ya maisha ilivyo, kabla sijafanya lolote nilimtahadharisha huyu binti, wala haikuwa surprise kwa kilichotokea, alafu mbaya zaidi kuna wanaume humu nao wanasema eti mimi katili, ndo wonder mnapelekeshwa na wanawake zenu, malofa kweli.
 
SINCE DAY ONE wee ni mwanangu kabisa hatuna tofauti [emoji1732][emoji1732]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba watu tumehonga ndinga ...
Tumezungusha dunia nzima zunguka Japan , Sydney kote

Ila bado tukatendwa

Tukasamehe masta [emoji23] easy tu endelea na maisha yako fresh

Sema sikulaumu masta Hawa viumbe so disgusting muda mwingne
 
Mwanetu [emoji119][emoji119][emoji16][emoji16]
 
Ndio mkuu, natural curiosity
 
Mtoa mada alianza kwa kusema tabia yake halisi huwa akiumizwa yeye anakuumiza zaidi. Hivyo wala simlaumu.

Changamoto ninayoiona ni kwamba kuna matukio tuyafanyayo leo huwa yanajirudia kwa vizazi vyetu. Hivyo sitashangaa kwa matukio makubwa zaidi ya haya kutokea kwa watoto wa mtoa mada.
 
Mkuu, nimepata nafasi ya kusoma huu mkasa wako kuanzia mwanzo hadi mwisho kwa umakini sana. Ni wa kusisimua sana. Nina haya ya kusema.
1.Kama yote ambayo umeyaandika yana ukweli (ikiwa na pamoja na kwamba wewe huwezi kuwa na mahusiano ya kingono au kugonga wanawake wawili kwa wakati mmoja) basi itoshe kusema kwamba wewe ni mmoja kati ya wanaume wachache sana duniani ambao wanaelewa hasa na kuiishi maana ya commitment ya kingono.
2.Aliesema kwamba ukianza safari ya kulipa kisasi basi uchimbe makaburi mawili kwanza, hakukosea. I hope umeshaandaa hayo makaburi, naona yakienda kuhitajika muda si mrefu ujao.
3.Huyo rafiki wa huyo binti ni tatizo kubwa sana kwako (ni weak link, au wahuni wanaita "loose end"), kuna uwezekano mkubwa sana yeye akawa kiungo muhimu kwenye kuhitajika makaburi mawili niliyotaja hapo juu. Kama unaweza, kata mawasiliano ya aina yote na yeye before it is too late.
4.Sometimes, we learn the most important lessons in life the hard way. I hope you wont have to.
 
Wote wanaotetea tabia za huyo dada nao ni wasaliti tu kwa waume wao. Kama una mwanaume na anakuhudumia kwa kila kitu kwanini unakubali kitumbua chako kiliwe na mwanaume mwengine, huo kwangu ni ushamba tena wa kiwango cha standard gauge. Mimi mtu msaliti simpendi na sipo tayari awe pamoja nami kwenye maisha yangu iwe rafiki,ndugu au mume wangu. Nikishakujua msaliti nakukwepa nakaa mbali na ww. Tuwe waaminifu jamaniiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…