Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Nina shida moja katika maisha yangu, nayo kuwa tayari kupokea ninachostahili, kuna kosa nililifanya kwenye project moja hivi ikanisababishia nipoteze mamilioni ya pesa wala sikwenda kuomba msamaha wala kubargain nilipoteza ile fedha, namimi huwa nampa mtu anachostahili lakin natahadharisha kabla, kwahiyo akisema aje na kisasi nayeye, asee balaa lake sijui litakuwaje, ngoja tusubiri tuone, of course mimi mwenyewe sio mwepesi sana, anyway ngoja tusubiri tuone.
 
Aiseee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
We mwamba[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu utauwa mtu
 
Tena kinaliwa kwa Pesa maana yake kauza (malaya) pili inavyoonyesha alikuwa anaenda kutoa side B apo ni Zaid ya uzinzi na uasherat

Muda mwingine watu wanatetea upuuzi tu.

Uzuri jamaa alimuonya kabisa demu, so mwnmke alishindwa kujizuia kuendekeza Tamaa

Mwisho kabisa jamaa ww ni Zaidi ya mwnAume Big up sana ww ni Amir jeshi mkuu
 
Mbona yupo sawa tu roho mbaya gani hiyo na kwani inasemaje
 
Mi nakuelewa sana aseeh!sijui kwa nini sipendagi mtu amsaliti MTU!!nachukia sana usaliti!
 
Mkuu inafaa kutolea movie kabs hii story yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…