Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Siamini kama Saint Anne anamtetea huyo malaya alietoa hadi mtaro kwa laki moja..Sawa. Ila umekuwa mstari wa mbele kumtetea huyo mchumba feki. Amevuna alichopanda hakuna namna ya kuweza kumtetea asee.
Kwangu mimi mleta mada angekuwa hajafanya sawa kama tu angemuua ila alichofanya nampa [emoji817].
Uteseke kivipi?Tunafata inapobidi ila kwenye uhalisia gemu iko tofauti sana ukijifanya mwema lazima uteseke
Nionyeshe nilipomtetea huyo mwanamke.Sawa. Ila umekuwa mstari wa mbele kumtetea huyo mchumba feki. Amevuna alichopanda hakuna namna ya kuweza kumtetea asee.
Kwangu mimi mleta mada angekuwa hajafanya sawa kama tu angemuua ila alichofanya nampa [emoji817].
Kamati za mapenzi ni noma sanaAisee mkuu you nailed it..Yani mpaka mwili unanisisimka.Hiki kisa kuna jamaa yangu mmoja ni msanii maarufu sana hapa tz na nje ya nchi.Kisa hiki kilimtokea sema yeye binti alimkataa jamaa na kurudisha mahali ili aolewe na mtu mwingine alitoka nje ya nchi(mbongo) na alikua na uwezo kifedha na akazaa nae mtoto mmoja wa kike.Baadae yule binti akaachika kwa yule jamaa mwingine so akawa hana direction.Ikabidi arudi kwa jamaa yangu akiwa analia anataka kurudiana nae.Jamaa akakaza vibaya mno kama ulivofanya wewe,tatizo hakua na msimamo wa kudumu.Yule demu akatishia kujiua asipomkubalia ombi lake hapo jamaa yangu akategeka na akakubali kuonana na yule binti nyumbani kwa mshikaji(kosa kubwa alilolifanya).Bahati mbaya akafanya nae mapenzi na kufungua ukurasa mpya wa mapenzi,binti akanaswa ujauzito.Wazazi,ndugu,jamaa na marafiki wa jamaa yangu walishamkataa yule binti maana alionesha dharau kurudisha mahali na jamaa alikua process ya mwisho kufunga ndoa.So ilipotokea hivo ikabidi jamaa ampeleke kwa wazazi wake kwa kisingizio cha mimba[emoji16].Kishingo upande wazazi wakakubali na jamaa ikabidi aingie tena kwenye mfumo wa yule binti bila kujua kama ana mtoto.Saizi wanaishi pamoja na kamjengea nyumba huko Kijichi na anakaribia kujifungua,,ila binti ana mambo ya ajabu sana na kamshika sana jamaa hafurukuti wala hamsikilizi mtu yeyote zaidi ya binti(inasemekana jamaa katengenezwa).Nakupongeza kwa msimamo wako japo pale kwenye kushindwa kumla yule rafiki ake binti mimi ningemtafuna siku ile ile ndio mengine yafuate[emoji23]
Hebu nionyeshe hiyo sehemu nilipomtetea huyo mwanamke.Siamini kama Saint Anne anamtetea huyo malaya alietoa hadi mtaro kwa laki moja..
Mdogo wangu anne umepatwa na nini?
Ayo umeyasema wew sasa sio mimi
Mimi nilishasema mwanamke niwe nimeishi nae hata miaka 20 tuna watoto sita..sitosamehe wala kujiuliza mara mbili kama akitafunwa huko nje na nikajua. Narudia sitosikiliza hata neno moja kutoka Mbinguni wala popote paleNimegundua kupitia comment wengi humu si waaminifu, mnapenda sana kusamehewa mkijiwekea kinga mkikosea nanyinyi msamehewe, ukikosea utalipia na ndo kanuni ya maisha ilivyo, kabla sijafanya lolote nilimtahadharisha huyu binti, wala haikuwa surprise kwa kilichotokea, alafu mbaya zaidi kuna wanaume humu nao wanasema eti mimi katili, ndo wonder mnapelekeshwa na wanawake zenu, malofa kweli.
Sawa nimeyasema Mimi.Ayo umeyasema wew sasa sio mimi
Ningeshangaaa...mimi nime quote kutokana na quote ya chalii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilishasema mwanamke niwe nimeishi nae hata miaka 20 tuna watoto sita..sitosamehe wala kujiuliza mara mbili kama akitafunwa huko nje na nikajua. Narudia sitosikiliza hata neno moja kutoka Mbinguni wala popote pale
Wewe Kama hujawahi kuteseka basi hongera
Mwambie akuonyeshe nilipomtetea huyo dada.Ningeshangaaa...mimi nime quote kutokana na quote ya chalii
Mimi kuteseka nimewahi,Wewe Kama hujawahi kuteseka basi hongera
Basi vizuri ubarikiweMimi kuteseka nimewahi,
Tena karibia mwaka mzima,
Ila kisasi sikulipa,alilipa Mugu.
Nilizidi tenda wema, baadaye mtu anakuja kunililia mm nilishasonga mbele kama injili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unaungana na sisi kwenye chama cha watu wasiotishika na machozi ya kinafki na kizandiki yaliojaa utapeli ndani yake? hahaha
Point yangu mimi ni kwamba kisasi ni juu ya Mungu.Basi vizuri ubarikiwe
Mtu akikusaliti achana naye,Kwa hiyo unaungana na sisi kwenye chama cha watu wasiotishika na machozi ya kinafki na kizandiki yaliojaa utapeli ndani yake? hahaha
Sikatai ila wacha wanaolipiza waendelee kupambana maana level za maumiv ziko tofauti
Kwa kiwango chochote kile Cha maumivu,kisasi ni juu ya Mungu.Sikatai ila wacha wanaolipiza waendelee kupambana maana level za maumiv ziko tofauti
Mkuu wewe na kiranga ni ndugu?Kwani ye ndio wa kwanza kudhurika???
Wengi sana wamedhurika...atapata haki yake mbinguni