Aisee mkuu you nailed it..Yani mpaka mwili unanisisimka.Hiki kisa kuna jamaa yangu mmoja ni msanii maarufu sana hapa tz na nje ya nchi.Kisa hiki kilimtokea sema yeye binti alimkataa jamaa na kurudisha mahali ili aolewe na mtu mwingine alitoka nje ya nchi(mbongo) na alikua na uwezo kifedha na akazaa nae mtoto mmoja wa kike.Baadae yule binti akaachika kwa yule jamaa mwingine so akawa hana direction.Ikabidi arudi kwa jamaa yangu akiwa analia anataka kurudiana nae.Jamaa akakaza vibaya mno kama ulivofanya wewe,tatizo hakua na msimamo wa kudumu.Yule demu akatishia kujiua asipomkubalia ombi lake hapo jamaa yangu akategeka na akakubali kuonana na yule binti nyumbani kwa mshikaji(kosa kubwa alilolifanya).Bahati mbaya akafanya nae mapenzi na kufungua ukurasa mpya wa mapenzi,binti akanaswa ujauzito.Wazazi,ndugu,jamaa na marafiki wa jamaa yangu walishamkataa yule binti maana alionesha dharau kurudisha mahali na jamaa alikua process ya mwisho kufunga ndoa.So ilipotokea hivo ikabidi jamaa ampeleke kwa wazazi wake kwa kisingizio cha mimba[emoji16].Kishingo upande wazazi wakakubali na jamaa ikabidi aingie tena kwenye mfumo wa yule binti bila kujua kama ana mtoto.Saizi wanaishi pamoja na kamjengea nyumba huko Kijichi na anakaribia kujifungua,,ila binti ana mambo ya ajabu sana na kamshika sana jamaa hafurukuti wala hamsikilizi mtu yeyote zaidi ya binti(inasemekana jamaa katengenezwa).Nakupongeza kwa msimamo wako japo pale kwenye kushindwa kumla yule rafiki ake binti mimi ningemtafuna siku ile ile ndio mengine yafuate[emoji23]