Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Kwani wakati binti anafanya usaliti hakufikiria jinsi inavyomgharimu jamaa?, acha utetezi wa ovyo. Jasho la mwanaume liliwe na bado mwanamke afanye usaliti njenje?, kingine mhusika aliambiwa akiri kosa lake mbele ya wazazi ila akazidi kukaza kuwa hakufanya kosa lolote, hakuna kitu kibaya sana kinachokera kama mtu muongo anayejitetea kwa uongo wakati tayari ushahidi upo. Ni kumchoma tu na ushahidi aone mapuuza yake mbele ya watu

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Exactly mkuu ndio uhalisia wao, utakuta hata misimamo hawana kabisa aiseee

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Nionyeshe sehemu niliyosema alichofanya binti ni sawa.
Nasubiri hapa, unionyeshe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba watu tumehonga ndinga ...
Tumezungusha dunia nzima zunguka Japan , Sydney kote

Ila bado tukatendwa

Tukasamehe masta [emoji23] easy tu endelea na maisha yako fresh

Sema sikulaumu masta Hawa viumbe so disgusting muda mwingne
Disgusting kama takataka za jakarta

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly mkuu ukp sahihi kabisa. As usual to tie all loose ends

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Si ndio hapo mkuu nawashangaa sana hawa wadada wanaomtetea mwanamke mwenzao [emoji2] ukute nao pia ndio tabia na hulka zao hawaoni shida hata

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sisi hatujapinga huyo binti kuachwa,usaliti ni kitu kibaya na sidhani kama kuna mtu anatetea usaliti.
Tunachosema sisi ni namna uliyomuacha.


Sent using Jamii Forums mobile app
Jino kwa jino lazima kiumane, kwani huyo binti alipokuwa akihudumiwa vyote hivyo na bado akamsaliti limuacha jamaa namna gani? Acha kutetea upande mmoja

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu yangu kutendwa nimewahi,kusalitiwa nimewahi na hasara niliyoipata ni ya muda wangu..lakini sikuhangaika kulipa kisasi,Mungu mwenyewe alilipa.Ni swala la muda tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa siku upate hasara ya vyote, usalitiwe, upotezewe muda, upptezewe rasilimali na jasho lako ndio utaelewa [emoji851] mahusiano mengi mwanamke ndiye mnufaika mkuu

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Na je kulikuwa na ulazima gani kwa binti kukana mashtaka hata baada ya kupewa nafasi kwa kuulizwa na akajitetea ujinga kuwa hakufanya usaliti wowote?, aliyechangia huo moto kuwa mkubwa ni binti yeye mwenyewe tu.

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Jino kwa jino lazima kiumane, kwani huyo binti alipokuwa akihudumiwa vyote hivyo na bado akamsaliti limuacha jamaa namna gani? Acha kutetea upande mmoja

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
Sijatetea upande mmoja boss.

Nimesema pia kwamba binti kwa aliyoyafanya anastahili kuachwa.
Nachukia sana usaliti & udanganyifu..hata ningekuwa mimi,nikimkamata mtu ananisaliti namuacha.
Hiyo jino kwa jino ndiyo ambayo mm sikubaliani nayo...naamini Mungu huwa analipa vizuri.

Lakini anyway,huenda alifanya hayo maamuzi akiwa na hasira..mtu akishakuwa na hasira basi anaweza fanya lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hili tunaelewana sasa [emoji41]

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Sasa siku upate hasara ya vyote, usalitiwe, upotezewe muda, upptezewe rasilimali na jasho lako ndio utaelewa [emoji851] mahusiano mengi mwanamke ndiye mnufaika mkuu

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119].

9. Epuka kumhonga mchumba vitu vya thamani kubwa, kumsomesha nk.
Usiwekeze Sana kwa mchumba. Lakini Kama unadhani uchumba ukivunjika hutaumia mpe ila Kama unaona uchumba ukivunjika utaumia usimpe.

Simaanishi wachumba wasisaidiane, kuna viwango vya kusaidiana wachumba. Mengine hayo ukitaka kuyafanya weka ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okee.
Sawa haina shida kama ulivyosema.
Lakini mkuu kwa mfano ungemuacha tu bila kufanya hivyo,ungejisikiaje?
Na je, unajisikiaje sasa kumuona yupo katika hiyo hali kama kichaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Asingejisikia vizuri maana maumivu ya kusalitiwa na bado mhusika akakufanya mjinga mbele za watu huwa hayafutiki kirahisi hivyo, mimi naamini kama binti angekiri kumsaliti jamaa mbele ya familia nzima na kuomba msamaha walau jamaa asingeonyesha ushahidi wa zile texts etc walau nafsi yake ingetulia na kumaliza hilo jambo kiubinadamu kabisa. Shida ni mtu kapewa nafasi ya kukiri na badp akakaza kuwa hana kosa, kingine ni baba wa binti moto aliouchochea ndio huo jamaa akatoa ushahidi wote. Acheni kuyakandia maamuzi ya jamaa zingatieni mambo yaliyochochea hadi akaweka ushahidi hadharani.

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Matatizo yote chanzo chake ni binti..hilo najua.
Ila kwa mazingira aliyokuwa nayo,si rahisi sana namna hiyo kukiri hilo kosa pale.


Ila haya mambo ni magumu sana,
Kuna wanawake hawajui wanataka nini maishani.
Kuna wanaume pia hawajui wanataka nini maishani... though upande wangu naona ningeacha tu bila kulipiza kisasi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…