Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,

' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.

Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??

Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.

Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi

Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
Yaani kuulizwa swali hili tu tena huku mtu yupo kwenye gari na anakupa maagizo ukafikirie ndiyo unaita majaribu? Ama kweli dada zetu mpo desperate.
 
MREJESHO....

Naomba kwanza niwaombe radhi wote mliokuwa mnasubiria mrejesho hadi mkachoka, niwashukuru pia wale waliokuja PM kunishauri na polen maana ushauri wenu haukuzingatiwa.

Tarehe 07 january kila mwaka itakuwa ni siku yangu ya kumbukumbu.

Kwanza nianze kwa kusema kisasi ni haki ya mtu aliyefanyiwa ubaya pasipo yeye kufanya ubaya, siku tajwa hapo juu ni siku niliyeachana na mwanamke wangu ambaye ndo tulikuwa kwenye hatua muhimu za kuoana, mwanamke aliyenifanyia ushenzi wa kishenzi na mim nikawa sina namna zaidi ya kumfanyia ushenzi wa kishenzi kama yeye.

Siku ilianza vema kwa safari ndefu kuelekea kwa wazazi wake, nikiwa na mshenga na mzazi wangu na baadhi ya ndugu, njian stori zilikuwa za kunipongeza kwa kuchukua uamuzi huu wa kuoa, wakati wote mim nilikuwa kimya nikizid kutafakari zaid jinsi nitakavyopeleka kilio kikuu kwa yule binti, nikiri kwamba nilifikiria pia kuhusu wazazi wake na wangu pamoja na ndugu, jamaa na marafiki watakaokuwepo ila bad luck ni kwamba option ilikuw moja tu.

Majira ya saa 2 hv usiku tukawasili nyumbani kwa binti, tulipokelewa kwa bashasha na shamra shamra sana, tukapikiwa chakula kisha tukapelekwa sehemu ya kupumzika na kesho saa 4 asubuhi ikawa ndo muda muafaka wa tukio la mahari ili pia sisi tuweze kurudi mapema.

Asubuhi ilikucha vema sana, nikiwa nimeprint messages zote na zile picha tayari kwa kumpiga mtu tukio, muda wa kwenda sehemu iliyoandalia ya mazungumzo ukafika, kama mnavyojua muoaji huwa anaitwa mwishoni baada ya wazee kukabidhiana mahari waliyokubaliana, ikabidi mimi niombe kuvunja utaratibu kwa kuomba niwepo kwenye kutoa mahari hiyo km haitakuwa shida sana, mshenga akasema sio shida inawezekana tu, kweli niliruhusiwa na mshenga akapiga maneno maneno pale ikawa uwepo wangu pale wala sio shida.

Baada ya kukaribishwa na upande wa kikeni ukafika muda wetu sasa wa kujimwambafy kwa kutoa mpunga then taratibu zingine zifuate hapo mim nikainterven kwa kuomba niongee kdg, baba wa binti akasema niruhusiwe maana ile ni kwa ajili yetu, basi nikaomba binti aitwe pale kwenye kikao, ni km walitaka kudadisi kitu ila mim nikaomba binti aje kabla hatunaendelea, niliongea politely sana wala sikuwa na hasira, binti akaitwa na kumbe alikuwa kwenye kuandaa chakula hivyo ikabidi akimbie bafun faster kisha akaja.

Pamoja na wazazi wa binti lakin pia kulikuwa na wajomba, baba wadogo shangazi yake mmoja na kaka zake. Sikua na maneno mengi nikasema straight tu, nimeghairi kuoa na mahari isilipwe na nimeona niliseme hili mbele ya binti na kikao hiki kikubwa ambacho kinahusisha familia zote mbili, watu wakabaki na butwaa, walitaman kuhis nimechanganyikiwa lakin kwa jinsi nilivyokuwa naongea ikabid wafute hayo mawazo, wakawa buzy sasa kunisikiliza.

Nikamwita binti kwa jina lake, nikamuomba binti aweke wazi kila kitu pale kuhusiana nayeye kuwa na mwanaume mwingine, mama wa binti jasho likamtoka akaanza kumuuliza binti yake km ni kweli alikuwa anafanya ushenzi ule, binti akakana akasema sio kweli na hajawahi kujihusisha na mwanaume yeyote tangu nimchumbie huku machozi yanamtoka akaanza kuapa kwa majina yote ya mungu wake, akaanza kujifanya anataja vifungu vya biblia, asee walokole ni wanafiki nafiki sana.

Kikao kikawa kimebadilika sura, kila mtu akabaki ana hamu ya kuujua ukweli, mshenga akaniita tutoke nje kidogo nikakataa, nikamwambia binti aache kupretend aseme ukweli, akaendelea kukataa pale, basi baba wa binti akasimama akasema yeye km mzazi wa binti na mkuu wa ile familia ile ni aibu kubwa na km nitashindwa kuthibitisha basi ataenda kwenye vyombo vya sheria kudai fidia ya binti yake, kwanza ya kumpotezea muda na pili ya kumdhalilisha na kumuumiza kisaikolojia binti yake.

Baada ya kuona binti anakomaa kwamba sio kweli na mzee wangu akawa yupo tu haelewi aseme nini sasa, nikazama kwenye begi na nikatoa picha na printing za screenshots za msg, nilikuwa nazo za kutosha, nikamkabidhi mzee wake nyingine nikampa yeye mwenyewe na zingine mshenga wangu, nikamwambia aendelee kubisha sasa, kukawa kimya kwa muda baadaye binti akakosa nguvu akaanguka na kuzimia, ikabidi akambizwe hospital.

Baba yangu alinilaumu sana kwa kitendo kile, hata mshenga akasema nilitakiwa niseme mapema tungepiga simu tu kwamb tumeahirisha kuliko nilichokifanya, nikawajibu tu moyo wangu usingeridhika kufanya kirahis vile lakn pia binti angepata nafasi ya kuwaongopea wazazi wake na wangemwamin kwa kuwa ni binti yao, namim kwa wazazi wa yule binti ningebaki kwenye kumbukumbu mbaya milele, nikawaomba wanielewe tu hakuna namna.

Ikapangwa jion tuwe ni kikao tuone nini kinafuata sasa.

ITAENDELEA...

Mrejesho: Sehemu ya pili
Very good.
 
Aiseee!!
Haya mambo yapo serious kiasi hicho? [emoji15]
Binafsi nilidhani changamsha genge.


Ila kwa ile revenge, lazima tu wangereact kwa namna moja ama nyingine
Aisee[emoji1544]

Tuhadithie kwa uchache Mkuu.
Ila alichofanya huyu mwamba ni sahihi Sanaa
WATOTO WA kike WA miaka ya hivi karibuni wengi ni Malaya Malaya mnoo Yaani hata umpende vipi ,hapendeki halafu Sasa unaweza shangaa analiwa na MTU WA ajabu sana
Nikupe mkasa,siku Moja nimelala ndani kwangu mara nagongewa"Niko Dom kikazi Kwa mda Sasa nimepanga"Sasa kadada kamekuja kananiomba kulala kwangu Kwa kua bwana Ake akilewa anampiga mpk anazimia ,nikamkubalia nikafunga mlango ,within 2hrs za maongezi ananiambia ana bwana wake mwingine anaemhudumia,mambo kibao mara ana mimba hamjui baba yupi,mara sijui hvi mara vile miye Niko hapo naangalia game ya Cape Verde na Bafana Bafana,nilishangaa sana ujue nikaona ananiboa TU mimi...kwanza Hana haiba ya kike yule Binti ,Yaani hajitambui hata kidogo Yaani jus a stranger like me kuniambia mambo yake nikajua hapa hamna mtuu
WATOTO wetu kike WA kizazi Cha 1995 kuja ni hovyo mno kuliko hovyo yenyewe wao lakini waliotulia japo ni wachache mnoo"

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mm ni mwanamke, nimeumia sana pale unapompa MTU moyo wako akauchezea.

Wewe uko kama mm nikimpenda MTU nimemaliza, tamaa zote naweka chini, na kipindi hicho nakutana na visu vikali sana, ila najipa moyo kuwa huyu ni shetani hawezi kumzidi bf wangu, kiukweli na huwa no sitowagi

Wakuu hakuna mwaka niliopata vishawishi kama huu, tiyari nishapata Bf yupo mbali nampenda namuheshimu, yaan utafikiri yupo karibu nami,

Kazi ninayoifanya lazima nikutane na high class people, kwenye lift naenda ofisini ndo ysiseme, nakutana na wanaume balaa ila naajipa moyo kuwa L ni the right person.

Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,

' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.

Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??

Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.

Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi

Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
Malaya Malaya ndo watamuona mshikaji ana roho mbaya na wengine wanaume wana hasira wake zao au wachumba zao wanagongewa na hawana Cha kufanya hvyo wanatoa hasira Kwa mshikaji ila km ni kaka yangu Nampa sapoti 100%wanawake wengi siku hizi Malaya sanaaa Tena mnoooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sawa kaka provided that ulishamtahadharisha,mwenzenu nikiwambia kwamba sitokuja kuchepuka maisha yangu yote hamniamini.Mwanamme anakupenda,anakupa kila kitu anahangaika huku na huko atafute kwa ajili yako alafu kizembe zembe unagawa tamu yake? unatafuta nini kama sio gunia mbili za mkaa.
Mi aliniambia atanikata shingo kabisa japo ni kama utani ila sikupuuzia na sikuona kama ni shida ikiwa ananitreat kama malikia.
Wanawake nawaibia siri olewa na mtu anayekupenda,alafu muheshimu nakwambia utakula mema ya nchi
 
Ila alichofanya huyu mwamba ni sahihi Sanaa
WATOTO WA kike WA miaka ya hivi karibuni wengi ni Malaya Malaya mnoo Yaani hata umpende vipi ,hapendeki halafu Sasa unaweza shangaa analiwa na MTU WA ajabu sana
Nikupe mkasa,siku Moja nimelala ndani kwangu mara nagongewa"Niko Dom kikazi Kwa mda Sasa nimepanga"Sasa kadada kamekuja kananiomba kulala kwangu Kwa kua bwana Ake akilewa anampiga mpk anazimia ,nikamkubalia nikafunga mlango ,within 2hrs za maongezi ananiambia ana bwana wake mwingine anaemhudumia,mambo kibao mara ana mimba hamjui baba yupi,mara sijui hvi mara vile miye Niko hapo naangalia game ya Cape Verde na Bafana Bafana,nilishangaa sana ujue nikaona ananiboa TU mimi...kwanza Hana haiba ya kike yule Binti ,Yaani hajitambui hata kidogo Yaani jus a stranger like me kuniambia mambo yake nikajua hapa hamna mtuu
WATOTO wetu kike WA kizazi Cha 1995 kuja ni hovyo mno kuliko hovyo yenyewe wao lakini waliotulia japo ni wachache mnoo"

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaani Bina inahuzunisha
Sasa alikuwa anakuambia mambo yake ya hovyo jamani...Kwa style hiyo ashindwe kudundwa kweli😂
Mtu una mwanaume ana nia thabiti na anakuhudumia vizuri, sijui unataka nini tena jamani!
Ila wanawake sisi🙌🏿

Jamaa amefanya sahihi kumuacha, Sema kaumiza pia na wazazi wake ambao hawana Hatia na sidhani kama walikuwa wanajua chochote kuhusu upuuzi wa huyo binti Yao.
Kweli mchuma janga hula na wakwao.
 
Back
Top Bottom