Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Khakhaaaa hii ni revenge kubwa sana, sio kila mtu ni wa mchezo mchezo humu duniani alaaaaaa
 
Una matatizo wewe
 
Mimi nilishasema mwanamke niwe nimeishi nae hata miaka 20 tuna watoto sita..sitosamehe wala kujiuliza mara mbili kama akitafunwa huko nje na nikajua. Narudia sitosikiliza hata neno moja kutoka Mbinguni wala popote pale
The same to me.
 
Kumbe Miaka Inakwenda Aisee Hii Stori Siku Imepandishwa Humu Niliisoma Ikiwa Ma Komenti Zisizozidi Tano Ila Leo Naangalia Ina Komenti #90
Hivi Ilikuwa Na Mlejesho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…