Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Mara yumo humu na kashasoma thread, anajitaarisha kukumwaga kabla siku ya kupeleka barua 😀
 
Hahahahhaha huyu DEMU hana bahati kachambia gunzi Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nili test ku subscribe naona inekubali kwa kuwa nimeona post yako sasa ngoja nianze kuandaa kigoda hapa pamoja na kumenya njugu hizi pindi ifikapo tarehe hiyo niwe nimetulia nakla tartiiiiiibu kabisa MBARIKIWE
 
mfanyizie....mkate kidevu hahahaa noma mkuu.
 
Ni hivi, mi huwa siumizwi alafu anayeniumiza akabaki salama, nikiumizwa mi nakuumiza

Tarehe 7 january, save the date....

USIPOTEZE MUDA KUNISHAURI CHOCHOTE, HUWA NIKIPANGA SIPANGUI..

Mkuu nipo nafuatilia tarehe uliyoweka. Pambana mwanau atishiwi nyauf
 
Huu ndo uanaume we jamaa kagombee ubunge
Safi sana kamanda namuunga mkono amuumize tu alafu afunge ukurasa mkuu huu si mwaka wa maumivu na mateso ni mwaka wa kutafuta maisha
 
Kwa ufupi hii ni taarifa tu, so ushauri wako hautabadili chochote wala kuongeza chochote, vipi lakin uzima upo??


USIPOTEZE MUDA KUNISHAURI CHOCHOTE, HUWA NIKIPANGA SIPANGUI..
wewe ni mpumbavu kuliko wapumbavu wote, sisi wenzio wanaume hatuko hivyo. kwa taarifa yako, itakugarimu sana, umemzaa huyo mwanamke hadi ujione wewe ndio umeumizwa sana kiasi cha kumteketeza naman hiyo? si umemjua juzi tu? halafu, ukifanya hivyo hautabaki salama, jiandae either kufa, kufutwa kizazi au kufanywa zezeta. usione hao machizi kwenye majalala ukafikiri walizaliwa hivyo, walifanya jambo ambalo ni la kipumbavu mtu akalipiza kisasi. hivi unaamini mimi nina dada yangu kwa mfano, unamfanyia hivyo halafu nakuacha tu, utaliwa tigo mjinga wewe. mashangazi zake, mama zake, wazazi wake etc, bibi zake, unafikiri watakuacha salama, ulimzaa wewe huyo binti, hata kama ana kosa, una haki gani kwake kufanya hayo? wewe utakuwa na matatizo makubwa sana halafu maisha yako si marefu sana nakuhakikishia kama utakuwa na akili kama hiyo. hao wanawake wakati mwingine usiwaone wanatoa milio ya kwenye ngono, ukiwafanya kitu kibaya huwa wanaweza kufanya kitu cha ajabu sana dhidi yako kwa siri. beware!
 
da Kama kweli utafanya hivyo utakua umemfanyia ukatili WA hali ya juu!Angalia Tu asije akajiua.
binti wa watu ajidhuru au aaibike halafu atajua kuwa kumbe ana ndugu wengi na hatari kiasi hicho? ukatili anaoupanga ni mkubwa sana kiasi kwamba lazima ndugu wataingilia kati.
 
Back
Top Bottom