Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

IMG_7307.jpg
 
Mkuu, nimepata nafasi ya kusoma huu mkasa wako kuanzia mwanzo hadi mwisho kwa umakini sana. Ni wa kusisimua sana. Nina haya ya kusema.
1.Kama yote ambayo umeyaandika yana ukweli (ikiwa na pamoja na kwamba wewe huwezi kuwa na mahusiano ya kingono au kugonga wanawake wawili kwa wakati mmoja) basi itoshe kusema kwamba wewe ni mmoja kati ya wanaume wachache sana duniani ambao wanaelewa hasa na kuiishi maana ya commitment ya kingono.
2.Aliesema kwamba ukianza safari ya kulipa kisasi basi uchimbe makaburi mawili kwanza, hakukosea. I hope umeshaandaa hayo makaburi, naona yakienda kuhitajika muda si mrefu ujao.
3.Huyo rafiki wa huyo binti ni tatizo kubwa sana kwako (ni weak link, au wahuni wanaita "loose end"), kuna uwezekano mkubwa sana yeye akawa kiungo muhimu kwenye kuhitajika makaburi mawili niliyotaja hapo juu. Kama unaweza, kata mawasiliano ya aina yote na yeye before it is too late.
4.Sometimes, we learn the most important lessons in life the hard way. I hope you wont have to.
Mkuu......
wew ni BONGE LA MCHAMBUZI .......
MOODS WAWEKEE LAMINATION COMMENT HII
 
Huruma za kipumbafu huwa mara zote zinapelekea kuleta neno Ningejua. Hivi unayemtetea huyu binti unadhani angesema tu kikaoni pale ninamuacha sitoendelea tena na utoaji wa mahari pangeeleweka!? Baba mtu alikuwa keshaanza kuwaka moto na kumtishia jamaa atampeleka kwenye vyombo vya sheria, wewe unaetetea unaona ni sawa!?

Jamaa alishamtahadharisha binti tangu siku ya kwanza juu ya misimamo yake ila binti akaona, wewe nae ni wale wale tu. Na uzuri wangu huu utachomoka hapa!? Kuna watu huwa wanasema sijui usifuatilie simu ya mkeo sijui mchumba wako, huwa nawaona hawana akili timamu. Nihusike katika kila kitu chako, halafu simu tu, nisihusike nayo!?

Sisi wenye misimamo ya namna hiyo tupo na nilishagasema mimi sinaga rivasi kama pikipiki. Jumamosi moja niligombana na mwanamke nlokuwa naishi nae, akawa anarusha maneno hasa ya kejeli na dhihaka, nikawa namsikiliza tu baadae mi nikalala. Nimeamka hiyo jpili ya kimbunga Jobo nikajiandaa nikaenda mzigoni, narudi jioni nikakuta nyumba yote giza. Nikaangalia tunapowekaga funguo nikaiona, nikaingia ndani sikumkuta na kuna vitu akawa kaondoka navyo bila kunitaarifu wala kuniomba. Nilipoona ile hali nikasikitika tu kisha nikatoa tabasamu ya Uchungu kisha nikasema Sawa, nikafuta namba zake zote. Sijamtafuta mpaka leo wala sina mpango wa kumtafuta maisha.
 
Huruma za kipumbafu huwa mara zote zinapelekea kuleta neno Ningejua. Hivi unayemtetea huyu binti unadhani angesema tu kikaoni pale ninamuacha sitoendelea tena na utoaji wa mahari pangeeleweka!? Baba mtu alikuwa keshaanza kuwaka moto na kumtishia jamaa atampeleka kwenye vyombo vya sheria, wewe unaetetea unaona ni sawa!?

Jamaa alishamtahadharisha binti tangu siku ya kwanza juu ya misimamo yake ila binti akaona, wewe nae ni wale wale tu. Na uzuri wangu huu utachomoka hapa!? Kuna watu huwa wanasema sijui usifuatilie simu ya mkeo sijui mchumba wako, huwa nawaona hawana akili timamu. Nihusike katika kila kitu chako, halafu simu tu, nisihusike nayo!?

Sisi wenye misimamo ya namna hiyo tupo na nilishagasema mimi sinaga rivasi kama pikipiki. Jumamosi moja niligombana na mwanamke nlokuwa naishi nae, akawa anarusha maneno hasa ya kejeli na dhihaka, nikawa namsikiliza tu baadae mi nikalala. Nimeamka hiyo jpili ya kimbunga Jobo nikajiandaa nikaenda mzigoni, narudi jioni nikakuta nyumba yote giza. Nikaangalia tunapowekaga funguo nikaiona, nikaingia ndani sikumkuta na kuna vitu akawa kaondoka navyo bila kunitaarifu wala kuniomba. Nilipoona ile hali nikasikitika tu kisha nikatoa tabasamu ya Uchungu kisha nikasema Sawa, nikafuta namba zake zote. Sijamtafuta mpaka leo wala sina mpango wa kumtafuta maisha.
Hivi ndivyo mwanaume anavyotakiwa kuwa, msimamo thabiti, hata ikibidi kufa, ni sawa tu. Tembea humo Mkuu achana na hawa wamama.
 
Mwanamke ambaye namuwekea si chini ya laki 2 kila wiki, hiyo sio ya kula wala mavazi, ni vocha na matumizi yake binafsi, gari yake muda wote ina mafuta, nikamfanya kuwa Malkia kuliko mama angu mzazi, anatokea mama mmoja humu anasema mimi katili, katili gani duniani anaweza kufanya mambo km haya niliyomfanyia huyu binti, tamaa zimepita kiasi kila hela anaitaka, haridhiki, elfu 70 sijui laki inamtoa iman, tuweni serious kdg nyie.
 
Mwanamke ambaye namuwekea si chini ya laki 2 kila wiki, hiyo sio ya kula wala mavazi, ni vocha na matumizi yake binafsi, gari yake muda wote ina mafuta, nikamfanya kuwa Malkia kuliko mama angu mzazi, anatokea mama mmoja humu anasema mimi katili, katili gani duniani anaweza kufanya mambo km haya niliyomfanyia huyu binti, tamaa zimepita kiasi kila hela anaitaka, haridhiki, elfu 70 sijui laki inamtoa iman, tuweni serious kdg nyie.
Mkuu sisi hatujapinga huyo binti kuachwa,usaliti ni kitu kibaya na sidhani kama kuna mtu anatetea usaliti.
Tunachosema sisi ni namna uliyomuacha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nice! Msimamo wako ni mzuri mkuu na pia ndio silaha yako, kwahiyo itumie kwa umakini sana maana inaweza ikapiga pande zote kama mtu
atakuzidi hatua.

Alafu pia, siku ukiingia kwenye mahusiano na huyo rafiki yake itakuwa umejitia kitanzi mwenyewe, na ni mfano mzuri ambapo silaha yako inaweza kutumika dhidi yako. Ameshakujua wewe ni mtu wa aina gani kwahiyo siku ikitokea na yeye ameteleza kivyovyote, kunauwekano mkubwa wa yeye kufanya kila aliwezalo ili usijue na ikitokea akahisi unaweza kujua kwa njia yoyote ile basi hatakuwa na budi ya kufanya 'chochote kile' kuhakikisha na yeye hapotezi kama ilivyotokea kwa rafiki yake.

All the best.
You mean anaweza hata kumuua mchizi?
 
Hata yeye anaweza akaliwa na akasepa.

Usitende yale usiyopenda kitendewa na mwenzio.

Ukitaka mtu mwema basi Anza wewe kuwa mwema.

Hakuna mwenye uhalali wa kutenda dhambi,awe mwanamke au mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini katika hadithi hii , jamaa alikuwa katika mstari, lakini bible ndio shida, unasemaje hapo
 
Lakini katika hadithi hii , jamaa alikuwa katika mstari, lakini bible ndio shida, unasemaje hapo
Katika hii hadithi ni kweli kabisa mwanaume hakuwa msaliti na namsifu sana kwa kuwa na msimamo huo kwani ni wanaume wachache sana kama si pekeyake mwenye huo msimamo dunia yetu ya leo.

Mwanamke/binti amefanya usaliti na simtetei kwa kufanya usaliti kwa sababu ni tabia mbaya,pia ni halali yake kuachwa.

Shida ni namna mwamba alivyomuacha huyo binti,
Kulikuwa na ulazima gani wa kumdharirisha??


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huruma za kipumbafu huwa mara zote zinapelekea kuleta neno Ningejua. Hivi unayemtetea huyu binti unadhani angesema tu kikaoni pale ninamuacha sitoendelea tena na utoaji wa mahari pangeeleweka!? Baba mtu alikuwa keshaanza kuwaka moto na kumtishia jamaa atampeleka kwenye vyombo vya sheria, wewe unaetetea unaona ni sawa!?

Jamaa alishamtahadharisha binti tangu siku ya kwanza juu ya misimamo yake ila binti akaona, wewe nae ni wale wale tu. Na uzuri wangu huu utachomoka hapa!? Kuna watu huwa wanasema sijui usifuatilie simu ya mkeo sijui mchumba wako, huwa nawaona hawana akili timamu. Nihusike katika kila kitu chako, halafu simu tu, nisihusike nayo!?

Sisi wenye misimamo ya namna hiyo tupo na nilishagasema mimi sinaga rivasi kama pikipiki. Jumamosi moja niligombana na mwanamke nlokuwa naishi nae, akawa anarusha maneno hasa ya kejeli na dhihaka, nikawa namsikiliza tu baadae mi nikalala. Nimeamka hiyo jpili ya kimbunga Jobo nikajiandaa nikaenda mzigoni, narudi jioni nikakuta nyumba yote giza. Nikaangalia tunapowekaga funguo nikaiona, nikaingia ndani sikumkuta na kuna vitu akawa kaondoka navyo bila kunitaarifu wala kuniomba. Nilipoona ile hali nikasikitika tu kisha nikatoa tabasamu ya Uchungu kisha nikasema Sawa, nikafuta namba zake zote. Sijamtafuta mpaka leo wala sina mpango wa kumtafuta maisha.
Hujamkomoa, kwani yeye kakutafuta?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke ambaye namuwekea si chini ya laki 2 kila wiki, hiyo sio ya kula wala mavazi, ni vocha na matumizi yake binafsi, gari yake muda wote ina mafuta, nikamfanya kuwa Malkia kuliko mama angu mzazi, anatokea mama mmoja humu anasema mimi katili, katili gani duniani anaweza kufanya mambo km haya niliyomfanyia huyu binti, tamaa zimepita kiasi kila hela anaitaka, haridhiki, elfu 70 sijui laki inamtoa iman, tuweni serious kdg nyie.
Mkuu mwanamke hata umpe dunia nzima kamwe usitegemee hata kuja kugongwa nje yani hawa viumbe sio kabisaa… KUMUAMINI MWANAMKE NI UPUMBAVU maana unajua kabisa ipo siku atakutoa machozi.
 
Naruhusu kuadhibiwa, na siwezi kulaumu nikiadhibiwa kwa kosa linatokana na uzembe wangu
Huoni kama hapo umemkomoa halafu wewe pia umejitafutia matatizo!
Maana ungeweza kumuacha tu pasi na kumdhalilisha vile kwa watu...
Umemuacha kwa style hiyo,huoni kama anaweza kufanya lolote ikiwa ni pamoja na kumdhuru mwanamke wako wa Sasa au utakayekuwa naye baadaye ili wote wakose.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom